Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Utt amis ni vpande vya mutual fund na sio soko la hisa (Share).Utt amis ni soko la hisa,
Hisa sokoni zinaweza kupanda au kushuka unatakiwa ulijue hilo,na ulielewe
Usije ukaleta fujo,siku unaambiwa mil 10 yako thamani yake imeshuka mpaka 4m.
Jifunze kitu kinaitwa passive income and its benefits.Haiwezekani niweke mil 30 halafu mnipe 250k kila mwezi.
Hizi mambo zinawafaa wavivu au wastaafu
Mimi hapa ndio nashindwa kuelewa watu wanatumia ubongo au mavi kufikiria, swali la kwanza kujiuliza huyu mtu mil 30 ameitoa wapi mpaka aieweke asubiri 250k β¦ Kweli mtu mvivu anaweza kuwa na mil 30 ?Haiwezekani niweke mil 30 halafu mnipe 250k kila mwezi.
Hizi mambo zinawafaa wavivu au wastaafu
Mimi hapa ndio nashindwa kuelewa watu wanatumia ubongo au mavi kufikiria, swali la kwanza kujiuliza huyu mtu mil 30 ameitoa wapi mpaka aieweke asubiri 250k β¦ Kweli mtu mvivu anaweza kuwa na mil 30 ?
Haiwezekani niweke mil 30 halafu mnipe 250k kila mwezi.
Hizi mambo zinawafaa wavivu au wastaafu
KujengaMkuu kati ya kujenga na kuweka utt ungechagua nini?
Hiyo UTT haina connection na hii serikali? Yasije tokea mambo NHIF wanakopa ela hawarudishi?Tunaweza kutofautiana kimtazamo lakini ukweli unabakia pale pale, kwa Tanzania yetu hii, ukiondoa uwekezaji kama wa UTT, karibu biashara zingine zote ni pasua kichwa. Usipoibiwa na watu, utafirisiwa na Serikali. Utitiri wa makodi, matozo na blah blah kibao.
Kujenga.Mkuu kati ya kujenga na kuweka utt ungechagua nini?
Sasa wewe ndiye ungeleta taarifa sahihi sio kuimba taarabu. Je hiyo UTT haina connection na serikali?Hivi unajua kuwa UTT AMIS ni taasisi iliyopo chini ya wizara ya fedha? Unaanzaje kuifananisha na DECI au hauna taarifa jinsi gani inaoperate na aina ya mifuko yake? Kuwa na taarifa boss.
Unashangaa nini mkuu? Sio kila mtu ana akili ya Biashara,wengine ni waajiriwa,mishahara minono na mtu anajua kutunza pesa,katunza kapata 30m.Hivi huwa mnawezaje kuwaza kupata pesa kiasi fulani kikubwa kuliko uwezo wa akili zenu?
Kama umeipata kwa kubeti basi endelea kubeti hadi iishe au utapata nyingine.
Milioni 30 uwekeze kwenye faida ya laki 3, (yaani 1%).... huu ni udumavu wa ubongo.
Nipatie 10M tu nikuletee laki tano kila mwezi, hapo tumegawana faida.
kwenye hiyo m30 toa sio zaidi ya milioni 2 kwa ajili ya biashara.Salaaam Wachumi
Rejea mada hapo juu
Je upi ni uwekezaji ulio bora endapo katika harakat zako za utafutaji ukajaaliwa umeishika 30Mil cash
Na option ukawa umeweka ni hizo mbili kati ya kuwekeza utt amis ambapo kwa utafiti niliofanya humu return yake yaweza kuwa 250k-300k per month
Na kujenga nyumba ya kupangisha ambapo return yake kwa uwekezaji wa 30Mil naamin pia wazoefu watatoa muangaza
Nb/ katika ujenzi wa nyumba tuna assume kiwanja bado
JE NI UPI UWEKEZAJI ULIO BORA KATI YA HIVYO KWA MTAZAMO WAKO?
πππππ Atalia uku anachekakwenye hiyo m30 toa sio zaidi ya milioni 2 kwa ajili ya biashara.
milioni 28 iliobaki jenga nyumba.
Asikushauri mtu hiyo pesa yote kuingiza kwenye biashara, Utakuja kulia kuliko mtu alofiwa na mzazi wake.
Anaweza kujenga,ila akili nzuri ni kuizalisha ifike kama 100M. Then, akiitoa hiyo 30 akajenga its ok anabaki na cash nzuri ambayo anaweza kufikiria sasa issues kama UTT. Nina maana, kwa hiyo hela unaweza kufanya vyote viwili endapo utavuta subira.Jenga nyumba utakula mafao mpaka unazeeka
Kabisa mkuu.πππππ Atalia uku anacheka
Kwa mtazamo wako unadhani huko sipajui....huko sio rahisi brother....ikibidi mwambie na shetani mwenyeweEndelea kuwa mjinga angalia tarehee kwanza we unaye jichanga
View attachment 2918630