Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ww hujielewi mkuu, laki 6 hadi 8 kwa mwezi af n mwanaume mkuu, hela ya unyunyu kabisa ndo unaishi nayo... Af unataka gari, doh, mkuu demu wako tutamla sana mkuu
Rudia kusoma reply yangu ya kwanza na vile alivoiquote.Mbona kama umepata makasiriko na mil 4 ya mwanaume mwenzio.....
[emoji2][emoji2][emoji2]humu watu mnavituko sanaAisee hapo tafuta Corolla ya milioni 2..utapata namba A..then hiyo mbili iliyobaki weka standby ya kuhudumia gari mpaka uizoee milio yake na ujue namna ya kuishi nayo..!
Endelea kukaa kwa mume wa dada yakoMkuu ww hujielewi mkuu, laki 6 hadi 8 kwa mwezi af n mwanaume mkuu, hela ya unyunyu kabisa ndo unaishi nayo... Af unataka gari, doh, mkuu demu wako tutamla sana mkuu
DahAisee hapo tafuta Corolla ya milioni 2..utapata namba A..then hiyo mbili iliyobaki weka standby ya kuhudumia gari mpaka uizoee milio yake na ujue namna ya kuishi nayo..!
[emoji23][emoji23] mwanaume wa dar aliyekariri maisha..Endelea kukaa kwa mume wa dada yako
Wewe pesa bado huijui, nakukumbusha hii ndio mida ya kufunua hotpot rudi fasta usijechelewa
Aisee gari za misele za bei hiyo zipo nyingi tuu.. Unachotakiwa ni kujua wapi utazipata..![emoji23][emoji23] mwanaume wa dar aliyekariri maisha..
Sawa... Kwa hio mil 4 nunua gari af baada ya miez sita ulete mrejesho.....
Niamini mimi, hautokaa uenjoy hata hzo misele.
Utazifaham gereji zote and lastly utaiuza kama screpa...
Hakuna gar ya mil 4 ya misele. Ushamba wako tu unakuunguza mkuu.
Milioni 4? You can't be serious!Wakuu
Nimejichanga sana mpaka kufikisha kiasi cha milion 4 kwa lengo la kununua gari ambayo haitanipa mzigo katka kulihudumia hapa jijini
Kipato kwa mwezi hakipungui laki 6 hakizid laki 8, gari nalihitaji kwa ajili ya mizunguko binafsi hivyo naombeni ushauri ipi itanifaa kwa movement kutoka home kwenda kazini na kurudi.
Hakuti kitu huyoo! Nimeshafuta nyama zote na ugali labda asubiri cha jioni [emoji3]Endelea kukaa kwa mume wa dada yako
Wewe pesa bado huijui, nakukumbusha hii ndio mida ya kufunua hotpot rudi fasta usijechelewa
Bajaji tvsWakuu
Nimejichanga sana mpaka kufikisha kiasi cha milion 4 kwa lengo la kununua gari ambayo haitanipa mzigo katka kulihudumia hapa jijini
Kipato kwa mwezi hakipungui laki 6 hakizid laki 8, gari nalihitaji kwa ajili ya mizunguko binafsi hivyo naombeni ushauri ipi itanifaa kwa movement kutoka home kwenda kazini na kurudi.
Gari zipo hata za 2 millions mkuu... Lkn usitegemee ikawa n nzma.Aisee gari za misele za bei hiyo zipo nyingi tuu.. Unachotakiwa ni kujua wapi utazipata..!
Kuna watu gari wanauza wamekosa sehemu ya kupaki.. Wengine wamekosa muda wa kuziendesha.. Ila gari ni nzima misele unapiga na heshima unapata..!
Kutokujua kusikufanye useme Hakuna..!
Kwa hio wewe una investment kiasi gani mpk Sasa?Hizi ni ndoto nyingi za masikini
Unanunua gari ili uwe unawahi kazi za bosi wako.
Badala ya kuinvest
Zipo nzima Sana tu,yale mabaloon gx90 yako kwa hizo Bei na yanachapa kazi fresh kabisa.Gari zipo hata za 2 millions mkuu... Lkn usitegemee ikawa n nzma.
Aisee hapo ndio unapokosea.. Hakuna bei ya kukupa uzima wa gari ya mtumba.. Unaweza kulipa milioni 500 ila kwa kuwa unataka gari ambayo mpya inauzwa Billion 7(Bugatti Chiron Super Sport) utaishia kupata gari mbovu hata kama umelipa milioni 500..Kwahiyo kwa vigezo vya Corolla namba A million 2 ni gari nzima kabisa..!Gari zipo hata za 2 millions mkuu... Lkn usitegemee ikawa n nzma.