Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
10? Ila sijui kwa kweli. Kwa Dar hapo ela yako ingebaki kabisa.kweli ee? manake nlikuwa nikidraft mahesabu napata 10m
Dar ujenzi ni cheap ukiwa na kiwanja...Kumbe Dar ni cheap zaid
Nadhani unapajua Dodoma kulivyo na anasa,anza nayo fasta hiyo usije ukaila ikaisha, utakapoishia utatafuta nyingine.Hivi kwa mil. 5 naweza kujenga nyumba ndogo ya chumba 1, sebule, jiko na choo mpaka kiwango gani?
NB: Kiwanja kipo Dodoma Kisasa Au niongeze mpaka ngapi wakuu?
10 itafika na kuzidi kidogo kutegemea na finishing unayotakaKweli ee? manake nlikuwa nikidraft mahesabu napata 10m
Ushauri mzuri ila kuna watu wanapenda kuishi sehemu zenye majina makubwa kuna jamaa mji fulani ivi kajenga kajumba ka ajabu kweli hata 1m haifiki but kiwanja kipo sehemu nzuri sana akipauza hakosi 30m to 40m hapo atapata mtaji na nyumba kubwa tu lakin hataki kuuza watu wanamjia lakin wapiBei ya kiwanja kisasa n nzur sanaa kwann usifanye kujiongeza hiyo million tano tafuta kiwanja hata ihumwa au nala bei nafuu sana hata 1M unapata kizur afu cha kisasa unauza unajenga nyumba yako nzur kabisa n mtazamo tu
simkatishi tamaa, ujenzi ni kwenda nao taratibu kadri unavyopata pesa.Unajenga na ela inabaki.
Kwa hio kiwanja kinakua bure?Dar ujenzi ni cheap ukiwa na kiwanja...