Kwa milioni 5 naweza kujenga nyumba ndogo Dodoma?

Kwa milioni 5 naweza kujenga nyumba ndogo Dodoma?

Hivi kwa mil. 5 naweza kujenga nyumba ndogo ya chumba 1, sebule, jiko na choo mpaka kiwango gani?

NB: Kiwanja kipo Dodoma Kisasa Au niongeze mpaka ngapi wakuu?
Niuzie mie icho kiwanja
 
Mkuu tuwasiliane, timu yetu yaweza kukufanyia tathimin bure, na gharama zetu ni za chini mno, hiyo nyumba unajenga bila kikwako.
0753961896
0629361896
 
UVIMO
Umoja ulio sheheni wataalam mbalimbali wa kada ya ujenzi.

Tunatoa ushauri na kujenga, ukiwa umejiandaa vema tunakukabidhi nyumba ikiwa tayari imeisha.

UVIMO shuguli zetu ni:

1-Kjenga nyumba.
2-Kupiga lipu
3-Kuskim
4-Rangi
5-Bandaring na kufunga bodi
6-Milango ,madirisha na magril
7-Kupaua
8-Kuweka tiles
9-Wayaring za umeme.
10-Chemba za vyoo
11-Kupaua
12-Kuchimba mashimo ya maji na vyoo.
13-KuSHAURI KUHUSU NYUMBA.

Wasiliana nasi kwa
0629361896
0753961896
 
UVIMO
Umoja ulio sheheni wataalam mbalimbali wa kada ya ujenzi.

Tunatoa ushauri na kujenga, ukiwa umejiandaa vema tunakukabidhi nyumba ikiwa tayari imeisha.

UVIMO shuguli zetu ni:

1-Kjenga nyumba.
2-Kupiga lipu
3-Kuskim
4-Rangi
5-Bandaring na kufunga bodi
6-Milango ,madirisha na magril
7-Kupaua
8-Kuweka tiles
9-Wayaring za umeme.
10-Chemba za vyoo
11-Kupaua
12-Kuchimba mashimo ya maji na vyoo.
13-KuSHAURI KUHUSU NYUMBA.

Wasiliana nasi kwa
0629361896
0753961896
Mnapatikana wapi?
 
Kwa anayehitaji viks sexy lotion kwa 15 tu anicheki
0758527600
IMG_20210304_172811_075.jpg
 
Hivi kwa mil. 5 naweza kujenga nyumba ndogo ya chumba 1, sebule, jiko na choo mpaka kiwango gani?

NB: Kiwanja kipo Dodoma Kisasa Au niongeze mpaka ngapi wakuu?
Njoo nikiuuzie pagale Nzuguni 0712785395
 
Back
Top Bottom