Kwa milioni 5 naweza kujenga nyumba ndogo Dodoma?

Kwa milioni 5 naweza kujenga nyumba ndogo Dodoma?

Mkuu garama za ujenzi pamoja na vifaa vya ujenzi dodoma vmepanda sana, kutokana na serikali kuhamia, M 5 Kwa Dodoma hiyo inatosha kununua kiwanja tu, labda kama kiwanja unacho tayari m 5 inaweza ikausaidia kusimamisha boma tu na kupiga bati.
 
Mkuu garama za ujenzi pamoja na vifaa vya ujenzi dodoma vmepanda sana, kutokana na serikali kuhamia, M 5 Kwa Dodoma hiyo inatosha kununua kiwanja tu, labda kama kiwanja unacho tayari m 5 inaweza ikausaidia kusimamisha boma tu na kupiga bati.
Kiwanja kipo mkuu
 
simkatishi tamaa, ujenzi ni kwenda nao taratibu kadri unavyopata pesa.

Nina kibanda cha chumba 1, subule, choo na veranda ya mbele.
Nilikuwa na 2.5M kwa ajili ya finishing ( kuflush kuta na gypsum, kuweka gypsum board, rangi ndani na tiles,)
huwezi amini pesa haikutosha hapo wirering, plaster, septic tank vilikuwa tayari. Plan ilikuwa nihamie, imeshindikana....

Mtaani waliniaminisha kuwa nikiwa 6-7M ningehamia, hapa ishakula zaidi 10M
najaribu kuainisha vitu nilivyonunua na kulipia.
Nyumba ina 27 meter square
1. Box 18 tiles 40x40 pocyline @ 35,000 = 630,000
2. Box 2 tiles 40x40 pocyline black @52,000 = 104,000
3. box 13 tiles 20x40 ceramic ukuta choon @17,000=221,000
4. box 2 tiles 30x30 chooni chini @ 19,000 = 38,000
5. Scatting pc 60 @ 2,000 = 120,000
6. Cement mifuko 9 @ 15,500 = 139,500
7. Mchanga lain lori 1 (4M3) = 150,000
8. Gypsum powder mifuko 6 @ 22,000= 132,000
9. white cement mifuko 4 @ 31,000 = 124,000
10. Gypsum board 10 @ 19,000= 190,000
11. Mikanda 18 @ 3,000= 54,000
12.Rangi silk 20 lts 160,000
13.Rangi ya maji 20 lts 29,000
14. Puti 40kg 35,000
15. vioo vya milango 4, madirisha 2 = 275,000

Choo
Sink la choo =18,000
pvc 2 class B @ 30,000= 60,000
mixer za bomba 108,000

Fundi tiles ndani 5000 x 27msq = 135,000
Chooni 5000 x17 msq =85,000
Fundi bomba 85,000
Fundi rangi pamoja na kuweka vioo 180,000

Jumla = 2,964,500
Mkuu habari, samahani unaweza tuma mchanganuo wa kutokea chini kabla ya finishing
 
mkuu habari, samahani unaweza tuma mchanganuo wa kutokea chini kabla ya finishing
Sidhani kama nitakumbuka, sikuweka kumbukumbu kwa maandishi, nitajaribu.
Kujenga boma
1. Tofali 900@1,300
2.Mawe Lori za 4.5 m3 trip 3@130,000
3.Mchanga wa kokoto mweusi Lori 1=110,000 ( mbadala wa kokoto)
4. Mchanga laini Lori 5@150,000
5. Cement mifuko 45@ 14,500 mpaka plaster
6. Nondo 10mm.....sikumbuki I dad I
7. Mbao za lenta nilikodi @500/day
8.mbao za Bottom na malapa....~45,000
9.Mbao za kupaua na blandering/draft 130 PCs za 2.5M @ 6000
10. 34 pcs Bati za migongo mipana 30G @24,500
11. Fichaboard 94,000
12. Misumari
13. Madirisha 2 @ 115,000
14. Milango 4 @ 140,000
15. Fundi wa kujenga boma 600,000
16. Kupaua pamoja na draft 300,000
17. Fundi plaster na kufitisha milango na madirisha 320,000
 
Sidhani kama nitakumbuka, sikuweka kumbukumbu kwa maandishi, nitajaribu.
Kujenga boma
1. Tofali 900@1,300
2.Mawe Lori za 4.5 m3 trip 3@130,000
3.Mchanga wa kokoto mweusi Lori 1=110,000 ( mbadala wa kokoto)
4. Mchanga laini Lori 5@150,000
5. Cement mifuko 45@ 14,500 mpaka plaster
6. Nondo 10mm.....sikumbuki I dad I
7. Mbao za lenta nilikodi @500/day
8.mbao za Bottom na malapa....~45,000
9.Mbao za kupaua na blandering/draft 130 PCs za 2.5M @ 6000
10. 34 pcs Bati za migongo mipana 30G @24,500
11. Fichaboard 94,000
12. Misumari
13. Madirisha 2 @ 115,000
14. Milango 4 @ 140,000
15. Fundi wa kujenga boma 600,000
16. Kupaua pamoja na draft 300,000
17. Fundi plaster na kufitisha milango na madirisha 320,000
Mkuu vp kuhusu vibali kutoka serikalini ni vp na vina gharimu kiasi gani?
 
simkatishi tamaa, ujenzi ni kwenda nao taratibu kadri unavyopata pesa.

Nina kibanda cha chumba 1, subule, choo na veranda ya mbele.
Nilikuwa na 2.5M kwa ajili ya finishing ( kuflush kuta na gypsum, kuweka gypsum board, rangi ndani na tiles,)
huwezi amini pesa haikutosha hapo wirering, plaster, septic tank vilikuwa tayari. Plan ilikuwa nihamie, imeshindikana....

Mtaani waliniaminisha kuwa nikiwa 6-7M ningehamia, hapa ishakula zaidi 10M
najaribu kuainisha vitu nilivyonunua na kulipia.
Nyumba ina 27 meter square
1. Box 18 tiles 40x40 pocyline @ 35,000 = 630,000
2. Box 2 tiles 40x40 pocyline black @52,000 = 104,000
3. box 13 tiles 20x40 ceramic ukuta choon @17,000=221,000
4. box 2 tiles 30x30 chooni chini @ 19,000 = 38,000
5. Scatting pc 60 @ 2,000 = 120,000
6. Cement mifuko 9 @ 15,500 = 139,500
7. Mchanga lain lori 1 (4M3) = 150,000
8. Gypsum powder mifuko 6 @ 22,000= 132,000
9. white cement mifuko 4 @ 31,000 = 124,000
10. Gypsum board 10 @ 19,000= 190,000
11. Mikanda 18 @ 3,000= 54,000
12.Rangi silk 20 lts 160,000
13.Rangi ya maji 20 lts 29,000
14. Puti 40kg 35,000
15. vioo vya milango 4, madirisha 2 = 275,000

Choo
Sink la choo =18,000
pvc 2 class B @ 30,000= 60,000
mixer za bomba 108,000

Fundi tiles ndani 5000 x 27msq = 135,000
Chooni 5000 x17 msq =85,000
Fundi bomba 85,000
Fundi rangi pamoja na kuweka vioo 180,000

Jumla = 2,964,500
🤔
 
Sidhani kama nitakumbuka, sikuweka kumbukumbu kwa maandishi, nitajaribu.
Kujenga boma
1. Tofali 900@1,300
2.Mawe Lori za 4.5 m3 trip 3@130,000
3.Mchanga wa kokoto mweusi Lori 1=110,000 ( mbadala wa kokoto)
4. Mchanga laini Lori 5@150,000
5. Cement mifuko 45@ 14,500 mpaka plaster
6. Nondo 10mm.....sikumbuki I dad I
7. Mbao za lenta nilikodi @500/day
8.mbao za Bottom na malapa....~45,000
9.Mbao za kupaua na blandering/draft 130 PCs za 2.5M @ 6000
10. 34 pcs Bati za migongo mipana 30G @24,500
11. Fichaboard 94,000
12. Misumari
13. Madirisha 2 @ 115,000
14. Milango 4 @ 140,000
15. Fundi wa kujenga boma 600,000
16. Kupaua pamoja na draft 300,000
17. Fundi plaster na kufitisha milango na madirisha 320,000
Naomba ramani mkuu, Nina project ya ujenzi wa nyumba simple kama yako Dar
 
simkatishi tamaa, ujenzi ni kwenda nao taratibu kadri unavyopata pesa.

Nina kibanda cha chumba 1, subule, choo na veranda ya mbele.
Nilikuwa na 2.5M kwa ajili ya finishing ( kuflush kuta na gypsum, kuweka gypsum board, rangi ndani na tiles,)
huwezi amini pesa haikutosha hapo wirering, plaster, septic tank vilikuwa tayari. Plan ilikuwa nihamie, imeshindikana....

Mtaani waliniaminisha kuwa nikiwa 6-7M ningehamia, hapa ishakula zaidi 10M
najaribu kuainisha vitu nilivyonunua na kulipia.
Nyumba ina 27 meter square
1. Box 18 tiles 40x40 pocyline @ 35,000 = 630,000
2. Box 2 tiles 40x40 pocyline black @52,000 = 104,000
3. box 13 tiles 20x40 ceramic ukuta choon @17,000=221,000
4. box 2 tiles 30x30 chooni chini @ 19,000 = 38,000
5. Scatting pc 60 @ 2,000 = 120,000
6. Cement mifuko 9 @ 15,500 = 139,500
7. Mchanga lain lori 1 (4M3) = 150,000
8. Gypsum powder mifuko 6 @ 22,000= 132,000
9. white cement mifuko 4 @ 31,000 = 124,000
10. Gypsum board 10 @ 19,000= 190,000
11. Mikanda 18 @ 3,000= 54,000
12.Rangi silk 20 lts 160,000
13.Rangi ya maji 20 lts 29,000
14. Puti 40kg 35,000
15. vioo vya milango 4, madirisha 2 = 275,000

Choo
Sink la choo =18,000
pvc 2 class B @ 30,000= 60,000
mixer za bomba 108,000

Fundi tiles ndani 5000 x 27msq = 135,000
Chooni 5000 x17 msq =85,000
Fundi bomba 85,000
Fundi rangi pamoja na kuweka vioo 180,000

Jumla = 2,964,500
Mkuu vioo vya milango ni vipi?? Naona kama gharama nafuu Sana.
 
simkatishi tamaa, ujenzi ni kwenda nao taratibu kadri unavyopata pesa.

Nina kibanda cha chumba 1, subule, choo na veranda ya mbele.
Nilikuwa na 2.5M kwa ajili ya finishing ( kuflush kuta na gypsum, kuweka gypsum board, rangi ndani na tiles,)
huwezi amini pesa haikutosha hapo wirering, plaster, septic tank vilikuwa tayari. Plan ilikuwa nihamie, imeshindikana....

Mtaani waliniaminisha kuwa nikiwa 6-7M ningehamia, hapa ishakula zaidi 10M
najaribu kuainisha vitu nilivyonunua na kulipia.
Nyumba ina 27 meter square
1. Box 18 tiles 40x40 pocyline @ 35,000 = 630,000
2. Box 2 tiles 40x40 pocyline black @52,000 = 104,000
3. box 13 tiles 20x40 ceramic ukuta choon @17,000=221,000
4. box 2 tiles 30x30 chooni chini @ 19,000 = 38,000
5. Scatting pc 60 @ 2,000 = 120,000
6. Cement mifuko 9 @ 15,500 = 139,500
7. Mchanga lain lori 1 (4M3) = 150,000
8. Gypsum powder mifuko 6 @ 22,000= 132,000
9. white cement mifuko 4 @ 31,000 = 124,000
10. Gypsum board 10 @ 19,000= 190,000
11. Mikanda 18 @ 3,000= 54,000
12.Rangi silk 20 lts 160,000
13.Rangi ya maji 20 lts 29,000
14. Puti 40kg 35,000
15. vioo vya milango 4, madirisha 2 = 275,000

Choo
Sink la choo =18,000
pvc 2 class B @ 30,000= 60,000
mixer za bomba 108,000

Fundi tiles ndani 5000 x 27msq = 135,000
Chooni 5000 x17 msq =85,000
Fundi bomba 85,000
Fundi rangi pamoja na kuweka vioo 180,000

Jumla = 2,964,500
Nimekubal
 
Bei ya kiwanja kisasa n nzur sanaa kwann usifanye kujiongeza hiyo million tano tafuta kiwanja hata ihumwa au nala bei nafuu sana hata 1M unapata kizur afu cha kisasa unauza unajenga nyumba yako nzur kabisa n mtazamo tu
mkuu nasikia ihumwa pamekaa vizuri sana
 
Back
Top Bottom