Navuta bangi
Member
- Aug 14, 2020
- 80
- 160
Kiwanja kipo mkuuMkuu garama za ujenzi pamoja na vifaa vya ujenzi dodoma vmepanda sana, kutokana na serikali kuhamia, M 5 Kwa Dodoma hiyo inatosha kununua kiwanja tu, labda kama kiwanja unacho tayari m 5 inaweza ikausaidia kusimamisha boma tu na kupiga bati.
Mkuu habari, samahani unaweza tuma mchanganuo wa kutokea chini kabla ya finishingsimkatishi tamaa, ujenzi ni kwenda nao taratibu kadri unavyopata pesa.
Nina kibanda cha chumba 1, subule, choo na veranda ya mbele.
Nilikuwa na 2.5M kwa ajili ya finishing ( kuflush kuta na gypsum, kuweka gypsum board, rangi ndani na tiles,)
huwezi amini pesa haikutosha hapo wirering, plaster, septic tank vilikuwa tayari. Plan ilikuwa nihamie, imeshindikana....
Mtaani waliniaminisha kuwa nikiwa 6-7M ningehamia, hapa ishakula zaidi 10M
najaribu kuainisha vitu nilivyonunua na kulipia.
Nyumba ina 27 meter square
1. Box 18 tiles 40x40 pocyline @ 35,000 = 630,000
2. Box 2 tiles 40x40 pocyline black @52,000 = 104,000
3. box 13 tiles 20x40 ceramic ukuta choon @17,000=221,000
4. box 2 tiles 30x30 chooni chini @ 19,000 = 38,000
5. Scatting pc 60 @ 2,000 = 120,000
6. Cement mifuko 9 @ 15,500 = 139,500
7. Mchanga lain lori 1 (4M3) = 150,000
8. Gypsum powder mifuko 6 @ 22,000= 132,000
9. white cement mifuko 4 @ 31,000 = 124,000
10. Gypsum board 10 @ 19,000= 190,000
11. Mikanda 18 @ 3,000= 54,000
12.Rangi silk 20 lts 160,000
13.Rangi ya maji 20 lts 29,000
14. Puti 40kg 35,000
15. vioo vya milango 4, madirisha 2 = 275,000
Choo
Sink la choo =18,000
pvc 2 class B @ 30,000= 60,000
mixer za bomba 108,000
Fundi tiles ndani 5000 x 27msq = 135,000
Chooni 5000 x17 msq =85,000
Fundi bomba 85,000
Fundi rangi pamoja na kuweka vioo 180,000
Jumla = 2,964,500
Sidhani kama nitakumbuka, sikuweka kumbukumbu kwa maandishi, nitajaribu.mkuu habari, samahani unaweza tuma mchanganuo wa kutokea chini kabla ya finishing
Mkuu vp kuhusu vibali kutoka serikalini ni vp na vina gharimu kiasi gani?Sidhani kama nitakumbuka, sikuweka kumbukumbu kwa maandishi, nitajaribu.
Kujenga boma
1. Tofali 900@1,300
2.Mawe Lori za 4.5 m3 trip 3@130,000
3.Mchanga wa kokoto mweusi Lori 1=110,000 ( mbadala wa kokoto)
4. Mchanga laini Lori 5@150,000
5. Cement mifuko 45@ 14,500 mpaka plaster
6. Nondo 10mm.....sikumbuki I dad I
7. Mbao za lenta nilikodi @500/day
8.mbao za Bottom na malapa....~45,000
9.Mbao za kupaua na blandering/draft 130 PCs za 2.5M @ 6000
10. 34 pcs Bati za migongo mipana 30G @24,500
11. Fichaboard 94,000
12. Misumari
13. Madirisha 2 @ 115,000
14. Milango 4 @ 140,000
15. Fundi wa kujenga boma 600,000
16. Kupaua pamoja na draft 300,000
17. Fundi plaster na kufitisha milango na madirisha 320,000
Simshauri mtu kuuza Kiwanja Kisasa.Bei ya kiwanja kisasa n nzur sanaa kwann usifanye kujiongeza hiyo million tano tafuta kiwanja hata ihumwa au nala bei nafuu sana hata 1M unapata kizur afu cha kisasa unauza unajenga nyumba yako nzur kabisa n mtazamo tu
Tsh 250, 000/-mkuu vp kuhusu vibali kutoka serikalini ni vp na vina gharimu kiasi gani?
🤔simkatishi tamaa, ujenzi ni kwenda nao taratibu kadri unavyopata pesa.
Nina kibanda cha chumba 1, subule, choo na veranda ya mbele.
Nilikuwa na 2.5M kwa ajili ya finishing ( kuflush kuta na gypsum, kuweka gypsum board, rangi ndani na tiles,)
huwezi amini pesa haikutosha hapo wirering, plaster, septic tank vilikuwa tayari. Plan ilikuwa nihamie, imeshindikana....
Mtaani waliniaminisha kuwa nikiwa 6-7M ningehamia, hapa ishakula zaidi 10M
najaribu kuainisha vitu nilivyonunua na kulipia.
Nyumba ina 27 meter square
1. Box 18 tiles 40x40 pocyline @ 35,000 = 630,000
2. Box 2 tiles 40x40 pocyline black @52,000 = 104,000
3. box 13 tiles 20x40 ceramic ukuta choon @17,000=221,000
4. box 2 tiles 30x30 chooni chini @ 19,000 = 38,000
5. Scatting pc 60 @ 2,000 = 120,000
6. Cement mifuko 9 @ 15,500 = 139,500
7. Mchanga lain lori 1 (4M3) = 150,000
8. Gypsum powder mifuko 6 @ 22,000= 132,000
9. white cement mifuko 4 @ 31,000 = 124,000
10. Gypsum board 10 @ 19,000= 190,000
11. Mikanda 18 @ 3,000= 54,000
12.Rangi silk 20 lts 160,000
13.Rangi ya maji 20 lts 29,000
14. Puti 40kg 35,000
15. vioo vya milango 4, madirisha 2 = 275,000
Choo
Sink la choo =18,000
pvc 2 class B @ 30,000= 60,000
mixer za bomba 108,000
Fundi tiles ndani 5000 x 27msq = 135,000
Chooni 5000 x17 msq =85,000
Fundi bomba 85,000
Fundi rangi pamoja na kuweka vioo 180,000
Jumla = 2,964,500
Naomba ramani mkuu, Nina project ya ujenzi wa nyumba simple kama yako DarSidhani kama nitakumbuka, sikuweka kumbukumbu kwa maandishi, nitajaribu.
Kujenga boma
1. Tofali 900@1,300
2.Mawe Lori za 4.5 m3 trip 3@130,000
3.Mchanga wa kokoto mweusi Lori 1=110,000 ( mbadala wa kokoto)
4. Mchanga laini Lori 5@150,000
5. Cement mifuko 45@ 14,500 mpaka plaster
6. Nondo 10mm.....sikumbuki I dad I
7. Mbao za lenta nilikodi @500/day
8.mbao za Bottom na malapa....~45,000
9.Mbao za kupaua na blandering/draft 130 PCs za 2.5M @ 6000
10. 34 pcs Bati za migongo mipana 30G @24,500
11. Fichaboard 94,000
12. Misumari
13. Madirisha 2 @ 115,000
14. Milango 4 @ 140,000
15. Fundi wa kujenga boma 600,000
16. Kupaua pamoja na draft 300,000
17. Fundi plaster na kufitisha milango na madirisha 320,000
Mkuu vioo vya milango ni vipi?? Naona kama gharama nafuu Sana.simkatishi tamaa, ujenzi ni kwenda nao taratibu kadri unavyopata pesa.
Nina kibanda cha chumba 1, subule, choo na veranda ya mbele.
Nilikuwa na 2.5M kwa ajili ya finishing ( kuflush kuta na gypsum, kuweka gypsum board, rangi ndani na tiles,)
huwezi amini pesa haikutosha hapo wirering, plaster, septic tank vilikuwa tayari. Plan ilikuwa nihamie, imeshindikana....
Mtaani waliniaminisha kuwa nikiwa 6-7M ningehamia, hapa ishakula zaidi 10M
najaribu kuainisha vitu nilivyonunua na kulipia.
Nyumba ina 27 meter square
1. Box 18 tiles 40x40 pocyline @ 35,000 = 630,000
2. Box 2 tiles 40x40 pocyline black @52,000 = 104,000
3. box 13 tiles 20x40 ceramic ukuta choon @17,000=221,000
4. box 2 tiles 30x30 chooni chini @ 19,000 = 38,000
5. Scatting pc 60 @ 2,000 = 120,000
6. Cement mifuko 9 @ 15,500 = 139,500
7. Mchanga lain lori 1 (4M3) = 150,000
8. Gypsum powder mifuko 6 @ 22,000= 132,000
9. white cement mifuko 4 @ 31,000 = 124,000
10. Gypsum board 10 @ 19,000= 190,000
11. Mikanda 18 @ 3,000= 54,000
12.Rangi silk 20 lts 160,000
13.Rangi ya maji 20 lts 29,000
14. Puti 40kg 35,000
15. vioo vya milango 4, madirisha 2 = 275,000
Choo
Sink la choo =18,000
pvc 2 class B @ 30,000= 60,000
mixer za bomba 108,000
Fundi tiles ndani 5000 x 27msq = 135,000
Chooni 5000 x17 msq =85,000
Fundi bomba 85,000
Fundi rangi pamoja na kuweka vioo 180,000
Jumla = 2,964,500
Hio gharama haiusishi vioo.Mkuu vioo vya milango ni vipi?? Naona kama gharama nafuu Sana.
Bei inategemea na ukubwa wa nyumba, wana charge per square meterTsh 250, 000/-
Naomba ramani mkuu, Nina project ya ujenzi wa nyumba simple kama yako Dar
Nimeshindwa kuweka hahaNaomba ramani mkuu, Nina project ya ujenzi wa nyumba simple kama yako Dar
Nimekubalsimkatishi tamaa, ujenzi ni kwenda nao taratibu kadri unavyopata pesa.
Nina kibanda cha chumba 1, subule, choo na veranda ya mbele.
Nilikuwa na 2.5M kwa ajili ya finishing ( kuflush kuta na gypsum, kuweka gypsum board, rangi ndani na tiles,)
huwezi amini pesa haikutosha hapo wirering, plaster, septic tank vilikuwa tayari. Plan ilikuwa nihamie, imeshindikana....
Mtaani waliniaminisha kuwa nikiwa 6-7M ningehamia, hapa ishakula zaidi 10M
najaribu kuainisha vitu nilivyonunua na kulipia.
Nyumba ina 27 meter square
1. Box 18 tiles 40x40 pocyline @ 35,000 = 630,000
2. Box 2 tiles 40x40 pocyline black @52,000 = 104,000
3. box 13 tiles 20x40 ceramic ukuta choon @17,000=221,000
4. box 2 tiles 30x30 chooni chini @ 19,000 = 38,000
5. Scatting pc 60 @ 2,000 = 120,000
6. Cement mifuko 9 @ 15,500 = 139,500
7. Mchanga lain lori 1 (4M3) = 150,000
8. Gypsum powder mifuko 6 @ 22,000= 132,000
9. white cement mifuko 4 @ 31,000 = 124,000
10. Gypsum board 10 @ 19,000= 190,000
11. Mikanda 18 @ 3,000= 54,000
12.Rangi silk 20 lts 160,000
13.Rangi ya maji 20 lts 29,000
14. Puti 40kg 35,000
15. vioo vya milango 4, madirisha 2 = 275,000
Choo
Sink la choo =18,000
pvc 2 class B @ 30,000= 60,000
mixer za bomba 108,000
Fundi tiles ndani 5000 x 27msq = 135,000
Chooni 5000 x17 msq =85,000
Fundi bomba 85,000
Fundi rangi pamoja na kuweka vioo 180,000
Jumla = 2,964,500
mkuu nasikia ihumwa pamekaa vizuri sanaBei ya kiwanja kisasa n nzur sanaa kwann usifanye kujiongeza hiyo million tano tafuta kiwanja hata ihumwa au nala bei nafuu sana hata 1M unapata kizur afu cha kisasa unauza unajenga nyumba yako nzur kabisa n mtazamo tu