Kwa mkupuo, Twitter imeverify account za Watanzania zaidi ya 6

Kwa mkupuo, Twitter imeverify account za Watanzania zaidi ya 6

Habari za hivi punde zinazoashiria upepo wa matumaini unazidi kuvuma, ni kuwa Twitter imeverify account zifuafazo, tena kwa mkupuo.

Tundu Lissu
Fatma Karume
Chadema Tanzania
John Mnyika
Zitto Kabwe
Carherine Ruge
ACT Wazalendo

Najua kuna watakaokuja na kubeza na hata kutaka kulinganisha na wengine ambao tayari wamekuwa verified, ila inaonyesha majority ya wamiliki wa hizi account hata hawakuomba hiyo verification.

Swali ni, kwa nini sasa? Kwa nini kwa mkupuo?
Itakuwa Twitter wameamua kuzipita manually hizo accounts maana zimepitia sana misukosuko.
Kuna takataka zinakula Kodi ya walalahoi zimejifungia huko maofisini kazi yao ni ni Kubofya REPORT ACCOUNT kwa hisani ya Jiwe 🐍🐍

Kigogo ameshakuwa restricted zaidi ya mbili.
 
Habari za hivi punde zinazoashiria upepo wa matumaini unazidi kuvuma, ni kuwa Twitter imeverify account zifuafazo, tena kwa mkupuo.

Tundu Lissu
Fatma Karume
Chadema Tanzania
John Mnyika
Zitto Kabwe
Carherine Ruge
ACT Wazalendo

Najua kuna watakaokuja na kubeza na hata kutaka kulinganisha na wengine ambao tayari wamekuwa verified, ila inaonyesha majority ya wamiliki wa hizi account hata hawakuomba hiyo verification.

Swali ni, kwa nini sasa? Kwa nini kwa mkupuo?
Jimbo la twita lazima mshinde tu! Kesho tar 28 tunaenda kuwafanya kitu mbaya hamta sahau! Kura zote kwa ccm
 
Nilishaacha kuthamini hizo verifications baada ya kuona hadi uncle shamte yuko verified huko Instagram
Tick tafsiri yake hiyo ndiyo akaunti rasmi ya mhusika.

Mfano ukisachi, Uncle Shamte watakuja wangapi ?

So, hiyo tick inapunguza migogoro, utapeli na lawama.
 
Nimeanza kuamini wazungu wana AGENDA ya siri na Tanzania hivi inakuaje unaverify account za wanaharakati uchwara tu? kibaya zaidi wanatumia fake names
 
Mi nimeandika barua mara 3 kuomba verification Twitter lakini hawajanijibu. Halafu wanawapa hawa wanaharakati vilaza!
 
Back
Top Bottom