Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kuolewa na hao mabeberu wanao wainamia kila siku.Faidi za kua verified ni zipi?
Yeah haipoTangu asubuhi Twitter haipatikani.
Ukisikia watu wenye IQ ya kuku ndio hawaSecurity ya account yako
Pia ni account yako inakua ni brand coz inaonesha kuaminiwa hata na watu wa nje
Itakuwa Twitter wameamua kuzipita manually hizo accounts maana zimepitia sana misukosuko.Habari za hivi punde zinazoashiria upepo wa matumaini unazidi kuvuma, ni kuwa Twitter imeverify account zifuafazo, tena kwa mkupuo.
Tundu Lissu
Fatma Karume
Chadema Tanzania
John Mnyika
Zitto Kabwe
Carherine Ruge
ACT Wazalendo
Najua kuna watakaokuja na kubeza na hata kutaka kulinganisha na wengine ambao tayari wamekuwa verified, ila inaonyesha majority ya wamiliki wa hizi account hata hawakuomba hiyo verification.
Swali ni, kwa nini sasa? Kwa nini kwa mkupuo?
Mkuu unamatusi ya kisiasa weye....Ukisikia watu wenye IQ ya kuku ndio hawa
Jimbo la twita lazima mshinde tu! Kesho tar 28 tunaenda kuwafanya kitu mbaya hamta sahau! Kura zote kwa ccmHabari za hivi punde zinazoashiria upepo wa matumaini unazidi kuvuma, ni kuwa Twitter imeverify account zifuafazo, tena kwa mkupuo.
Tundu Lissu
Fatma Karume
Chadema Tanzania
John Mnyika
Zitto Kabwe
Carherine Ruge
ACT Wazalendo
Najua kuna watakaokuja na kubeza na hata kutaka kulinganisha na wengine ambao tayari wamekuwa verified, ila inaonyesha majority ya wamiliki wa hizi account hata hawakuomba hiyo verification.
Swali ni, kwa nini sasa? Kwa nini kwa mkupuo?
Tick tafsiri yake hiyo ndiyo akaunti rasmi ya mhusika.Nilishaacha kuthamini hizo verifications baada ya kuona hadi uncle shamte yuko verified huko Instagram
Umenena, matope kabisa hawaMkuu unamatusi ya kisiasa weye....
Hahahahahah hata wewe unaweza kuwa verified [emoji1787][emoji1787]Nilishaacha kuthamini hizo verifications baada ya kuona hadi uncle shamte yuko verified huko Instagram
Faidi za kua verified ni zipi?
Ukiona hivyo ujue wewe ndio kilaza mwandamiziMi nimeandika barua mara 3 kuomba verification Twitter lakini hawajanijibu. Halafu wanawapa hawa wanaharakati vilaza!
Una damu ya kunguni. Mchana hufai usiku hufai yako maji ya moto....Mi nimeandika barua mara 3 kuomba verification Twitter lakini hawajanijibu. Halafu wanawapa hawa wanaharakati vilaza!
VPN ipo, labda kama unamaanisha huenda isipatikane kwa Twitter yenyewe kufa/kufunga shughuli zake duniani!Twitter yenyewe huenda isipatikane baadae.
Mi nimeandika barua mara 3 kuomba verification Twitter lakini hawajanijibu. Halafu wanawapa hawa wanaharakati vilaza!