The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
VPN ipo, labda kama unamaanisha huenda isipatikane kwa Twitter yenyewe kufa/kufunga shughuli zake duniani!
Kupatikana nikimaanisha normal accessibility localy kwa watumiaji wa kawaida. Na wakiona inafaa, hata internet nayo inaweza kuadimika.
Rejea baadhi ya chaguzi za Afrika.