Kwa mkupuo, Twitter imeverify account za Watanzania zaidi ya 6

Kwa mkupuo, Twitter imeverify account za Watanzania zaidi ya 6

VPN ipo, labda kama unamaanisha huenda isipatikane kwa Twitter yenyewe kufa/kufunga shughuli zake duniani!

Kupatikana nikimaanisha normal accessibility localy kwa watumiaji wa kawaida. Na wakiona inafaa, hata internet nayo inaweza kuadimika.
Rejea baadhi ya chaguzi za Afrika.
 
sasa Kigogo wameverify kama nani,maana verification si ni kumbainisha mtu uhalisia wake na identity yake?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimefurahi sana yaani,kwa sababu TISS karata yao ya mwisho kwa kigogo ilikuwa ni kutafuta mbinu za hovyo za kususpend account ya jamaa!
 
Kupatikana nikimaanisha normal accessibility localy kwa watumiaji wa kawaida. Na wakiona inafaa, hata internet nayo inaweza kuadimika.
Rejea baadhi ya chaguzi za Afrika.
Ndo maana nikasema VPN ipo kwa hiyo normal inaccessibility, tatizo linaweza kuwa kwenye hilo la intanet!
 
Habari za hivi punde zinazoashiria upepo wa matumaini unazidi kuvuma, ni kuwa Twitter imeverify account zifuafazo, tena kwa mkupuo.

Tundu Lissu
Fatma Karume
Chadema Tanzania
John Mnyika
Zitto Kabwe
Carherine Ruge
ACT Wazalendo

Najua kuna watakaokuja na kubeza na hata kutaka kulinganisha na wengine ambao tayari wamekuwa verified, ila inaonyesha majority ya wamiliki wa hizi account hata hawakuomba hiyo verification.

Swali ni, kwa nini sasa? Kwa nini kwa mkupuo?
Waverify wasiverify kesho Tundu Lissu OUT kubwa na huyo Maalim Seif wake ambaye leo ameenda kupiga kura wakati ni kinyume na sheria.
 
Waverify wasiverify kesho Tundu Lissu OUT kubwa na huyo Maalim Seif wake ambaye leo ameenda kupiga kura wakati ni kinyume na sheria.
Kuua watu ndo mbinu ya mwisho ya viongozi waliokosa vibali machoni pa wananchi. Meko na CCM mmekosa kibali cha watanzania.CCM wana hofu kuu.Imagine wanaua watu,wamezima whatsapp call,nasikia leo saa sita mchana bank zinapigwa pini,wamezima twitter,wamezima instagram,wamezima facebook,wanazuia SMS,etc.Hii ni hofu ya kukataliwa na wananchi.Hizi ni dalili kuwa CCM imeshashindwa kabla hata ya kura kupigwa.
 
Habari za hivi punde zinazoashiria upepo wa matumaini unazidi kuvuma, ni kuwa Twitter imeverify account zifuafazo, tena kwa mkupuo.

Tundu Lissu
Fatma Karume
Chadema Tanzania
John Mnyika
Zitto Kabwe
Carherine Ruge
ACT Wazalendo

Najua kuna watakaokuja na kubeza na hata kutaka kulinganisha na wengine ambao tayari wamekuwa verified, ila inaonyesha majority ya wamiliki wa hizi account hata hawakuomba hiyo verification.

Swali ni, kwa nini sasa? Kwa nini kwa mkupuo?

Kwani kuna ubaya gani mkuu?
 
Back
Top Bottom