VPN ipo, labda kama unamaanisha huenda isipatikane kwa Twitter yenyewe kufa/kufunga shughuli zake duniani!
Kuaminiwa na watu wa nje ni faida?Security ya account yako
Pia ni account yako inakua ni brand coz inaonesha kuaminiwa hata na watu wa nje
Na haipatikani nimejaribu mara nyingi inagomaTwitter yenyewe huenda isipatikane baadae.
nina wasiwasi hata Jamii ForumTwitter yenyewe huenda isipatikane baadae.
nina wasiwasi hata Jamii Forum
Twitter wangekuwa vichaa kama wangekubalia ombi lako hili.Mi nimeandika barua mara 3 kuomba verification Twitter lakini hawajanijibu. Halafu wanawapa hawa wanaharakati vilaza!
Sasa wewe veryfy ya nini na sura yako mbovu anyway waliogopa sura yako walijua ujiMi nimeandika barua mara 3 kuomba verification Twitter lakini hawajanijibu. Halafu wanawapa hawa wanaharakati vilaza!
Ndo maana nikasema VPN ipo kwa hiyo normal inaccessibility, tatizo linaweza kuwa kwenye hilo la intanet!Kupatikana nikimaanisha normal accessibility localy kwa watumiaji wa kawaida. Na wakiona inafaa, hata internet nayo inaweza kuadimika.
Rejea baadhi ya chaguzi za Afrika.
Faida kuu ni kwamba ni vigumu kuwa suspended kwa mbinu za kijinga.Nimefurahi sana yaani,kwa sababu TISS karata yao ya mwisho kwa kigogo ilikuwa ni kutafuta mbinu za hovyo za kususpend account ya jamaa!Faidi za kua verified ni zipi?
Dickson's head at it's peakJimbo la twita lazima mshinde tu! Kesho tar 28 tunaenda kuwafanya kitu mbaya hamta sahau! Kura zote kwa ccm
Nawe unahangaika na mitandao ya Mabeberu ya Nini?Mi nimeandika barua mara 3 kuomba verification Twitter lakini hawajanijibu. Halafu wanawapa hawa wanaharakati vilaza!
Waverify wasiverify kesho Tundu Lissu OUT kubwa na huyo Maalim Seif wake ambaye leo ameenda kupiga kura wakati ni kinyume na sheria.Habari za hivi punde zinazoashiria upepo wa matumaini unazidi kuvuma, ni kuwa Twitter imeverify account zifuafazo, tena kwa mkupuo.
Tundu Lissu
Fatma Karume
Chadema Tanzania
John Mnyika
Zitto Kabwe
Carherine Ruge
ACT Wazalendo
Najua kuna watakaokuja na kubeza na hata kutaka kulinganisha na wengine ambao tayari wamekuwa verified, ila inaonyesha majority ya wamiliki wa hizi account hata hawakuomba hiyo verification.
Swali ni, kwa nini sasa? Kwa nini kwa mkupuo?
Heheheee.Mi nimeandika barua mara 3 kuomba verification Twitter lakini hawajanijibu. Halafu wanawapa hawa wanaharakati vilaza!
Kuna mtu alisema.Una damu ya kunguni. Mchana hufai usiku hufai yako maji ya moto....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nawe unahangaika na mitandao ya Mabeberu ya Nini?
Kuua watu ndo mbinu ya mwisho ya viongozi waliokosa vibali machoni pa wananchi. Meko na CCM mmekosa kibali cha watanzania.CCM wana hofu kuu.Imagine wanaua watu,wamezima whatsapp call,nasikia leo saa sita mchana bank zinapigwa pini,wamezima twitter,wamezima instagram,wamezima facebook,wanazuia SMS,etc.Hii ni hofu ya kukataliwa na wananchi.Hizi ni dalili kuwa CCM imeshashindwa kabla hata ya kura kupigwa.Waverify wasiverify kesho Tundu Lissu OUT kubwa na huyo Maalim Seif wake ambaye leo ameenda kupiga kura wakati ni kinyume na sheria.
Habari za hivi punde zinazoashiria upepo wa matumaini unazidi kuvuma, ni kuwa Twitter imeverify account zifuafazo, tena kwa mkupuo.
Tundu Lissu
Fatma Karume
Chadema Tanzania
John Mnyika
Zitto Kabwe
Carherine Ruge
ACT Wazalendo
Najua kuna watakaokuja na kubeza na hata kutaka kulinganisha na wengine ambao tayari wamekuwa verified, ila inaonyesha majority ya wamiliki wa hizi account hata hawakuomba hiyo verification.
Swali ni, kwa nini sasa? Kwa nini kwa mkupuo?