Mwambieni yeye ni mchezaji wa kawaida sana, anachofanya ni kuharibu carrier yake.
Mmwambie pia mashabiki tulishangaa sana kwanini aliongezewa mkataba mbali na kuwa na mchango mdogo sana kwenye timu, kama atarudisha hela na kuondoka tutashukuru sana.
Ni hayo tu.
Pia soma=> Simba kumchukulia hatua za kinidhamu Kibu Denis kwa kutokuripoti kambini
Mmwambie pia mashabiki tulishangaa sana kwanini aliongezewa mkataba mbali na kuwa na mchango mdogo sana kwenye timu, kama atarudisha hela na kuondoka tutashukuru sana.
Ni hayo tu.
Pia soma=> Simba kumchukulia hatua za kinidhamu Kibu Denis kwa kutokuripoti kambini