Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Mpigie muulize...Bange ya wapi Arusha, Moro au Mbeya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpigie muulize...Bange ya wapi Arusha, Moro au Mbeya?
Kwenye issue ya Feisal MBUMBUMBU yalipiga kelele kweli......lakini hii ya MVUTA BANGI....wananchi wala hatuna habari.Mwambieni yeye ni mchezaji wa kawaida sana ,anachofanya ni kuharibu carrier yake .
Mmwambie pia mashabiki tulishangaa sana kwanini aliongezewa mkataba mbali na kuwa na mchango mdogo sana kwenye timu , kama atarudisha hela na kuondoka tutashukuru sana
Ni hayo tu
Ishu ya Fei si mlitaka kumnyima haki yake ya kuvunja mkataba ya kuongea yalikuwepo. Simba Kibu avunje tu, aweke pesa aende hakuna la kuongea.Kwenye issue ya Feisal MBUMBUMBU yalipiga kelele kweli......lakini hii ya MVUTA BANGI....wananchi wala hatuna habari.
Mwaka huu mmeshapoteza ubingwa kabla ya mechi hata 1, uzuri kombe tayari mnalo MAGOMA CUPMpigie muulize...
Naunga mkono hoja! Wamsamehe tu. Milioni 400 kitu gani bhana. Tajiri si ana hela za kutosha!!Kiendacho kwa sangoma hakirudi. Tshs 400m hazirudiii. Ni mtaji wake huko ughaibuni
Tulizeni ushubwada hayawahusu...Mwaka huu mmeshapoteza ubingwa kabla ya mechi hata 1, uzuri kombe tayari mnalo MAGOMA CUP
Ubaya ubwela jirani kwa feijinga ilikuwa utam na mlishangilia ila kwa kibudenga uchungu au sio.Tulizeni ushubwada hayawahusu...
Ubaya ubwele
Sasa hapa umefanyaje ?Kwenye issue ya Feisal MBUMBUMBU yalipiga kelele kweli......lakini hii ya MVUTA BANGI....wananchi wala hatuna habari.
Viongozi wa Simba walifail unampaje mkataba mrefu hivyo...mtu Bange tupu na kichwa kigumu hakifundishikiMwambieni yeye ni mchezaji wa kawaida sana, anachofanya ni kuharibu carrier yake.
Mmwambie pia mashabiki tulishangaa sana kwanini aliongezewa mkataba mbali na kuwa na mchango mdogo sana kwenye timu, kama atarudisha hela na kuondoka tutashukuru sana.
Ni hayo tu.
Pia soma=> Simba kumchukulia hatua za kinidhamu Kibu Denis kwa kutokuripoti kambini
Kwa kumfunga diara wewe unaona ni kitu chepesi?Kwa takwimu zipi wewe uto ?
Nilivyoona Chama na Saido hawapo tena Simba nikajua wazi kwamba, Kibu hatofurahia maisha Simba. Na imekuwa hivyo.Mwambieni yeye ni mchezaji wa kawaida sana, anachofanya ni kuharibu carrier yake.
Mmwambie pia mashabiki tulishangaa sana kwanini aliongezewa mkataba mbali na kuwa na mchango mdogo sana kwenye timu, kama atarudisha hela na kuondoka tutashukuru sana.
Ni hayo tu.
Pia soma=> Simba kumchukulia hatua za kinidhamu Kibu Denis kwa kutokuripoti kambini
Mchango wake ni mdogo! Wakati mnachezea kile kichapo cha goli tano ✊ ni yeye ndiye ambaye aliyewafungia angalau goli lile moja!?Mwambieni yeye ni mchezaji wa kawaida sana, anachofanya ni kuharibu carrier yake.
Mmwambie pia mashabiki tulishangaa sana kwanini aliongezewa mkataba mbali na kuwa na mchango mdogo sana kwenye timu, kama atarudisha hela na kuondoka tutashukuru sana.
Ni hayo tu.
Pia soma=> Simba kumchukulia hatua za kinidhamu Kibu Denis kwa kutokuripoti kambini
Yule ni Mkongo. Amekimbilia Norway na kuomba kibali cha kuishi kama Mkimbizi.Mwambieni yeye ni mchezaji wa kawaida sana, anachofanya ni kuharibu carrier yake.
Mmwambie pia mashabiki tulishangaa sana kwanini aliongezewa mkataba mbali na kuwa na mchango mdogo sana kwenye timu, kama atarudisha hela na kuondoka tutashukuru sana.
Ni hayo tu.
Pia soma=> Simba kumchukulia hatua za kinidhamu Kibu Denis kwa kutokuripoti kambini
Unadhani ni rahisi hivyo kutokmea na hela za klabu?Kiendacho kwa sangoma hakirudi. Tshs 400m hazirudiii. Ni mtaji wake huko ughaibuni
Wewe akili huna kibu hachezi tena mpira utampatia wapiUnadhani ni rahisi hivyo kutokmea na hela za klabu?
Uwe unapata muda wa kujifikirisha usije kuonekana hamnazo kabisa mkuu.
Simba wanaweza kuanzia TFF kumshtaki Kibu kisha CAF then FIFA.
Anaweza kuamriwa arudishe fedha zote alizochukua za Simba na faini ya usumbufu pamoja na kufungiwa maisha kutojihusisha na masuala ya soka.
Tatizo sio kutafuta pesa, kwanini aongeze mkataba ilhali anajua anatafuta timu?!Sio kweli kuwa Kibu Denis ni mchezaji wa kawaida ndani ya Simba, Kibu ni lulu ya thamani kubwa ndani ya Simba ndio maana mpaka leo hii Simba wanambembeleza.
Mimi naungana na Kibu, tumuache kijana asake maisha popote, asipopiga pesa nzuri sasa hataweza tena kupiga pesa nzuri huko mbeleni kupitia soka.