Kwa mlio karibu na Kibu Denis mpeni taarifa hii muhimu

Kwa mlio karibu na Kibu Denis mpeni taarifa hii muhimu

Mwambieni yeye ni mchezaji wa kawaida sana ,anachofanya ni kuharibu carrier yake .

Mmwambie pia mashabiki tulishangaa sana kwanini aliongezewa mkataba mbali na kuwa na mchango mdogo sana kwenye timu , kama atarudisha hela na kuondoka tutashukuru sana

Ni hayo tu
Kwenye issue ya Feisal MBUMBUMBU yalipiga kelele kweli......lakini hii ya MVUTA BANGI....wananchi wala hatuna habari.
 
Achaneni naye tapeli Yule. Kwanza hatuna Imani naye tena
 

Attachments

  • IMG-20240723-WA0086.jpg
    IMG-20240723-WA0086.jpg
    418.1 KB · Views: 3
Mwambieni yeye ni mchezaji wa kawaida sana, anachofanya ni kuharibu carrier yake.

Mmwambie pia mashabiki tulishangaa sana kwanini aliongezewa mkataba mbali na kuwa na mchango mdogo sana kwenye timu, kama atarudisha hela na kuondoka tutashukuru sana.

Ni hayo tu.

Pia soma=> Simba kumchukulia hatua za kinidhamu Kibu Denis kwa kutokuripoti kambini
Nilivyoona Chama na Saido hawapo tena Simba nikajua wazi kwamba, Kibu hatofurahia maisha Simba. Na imekuwa hivyo.

Hawa watu walitengeneza ushirika hata wa kupasiana wenyewe mipira ya eneo la mwisho. Yaani walikuwa na timu yao ndani ya timu.

Hata ugomvi wa Chama na Ngoma, Kibu alijiingiza. Hii ni sawa na kisa cha kumlazimisha punda kwenda mtoni, na akagoma kunywa maji.

Wamwache aende.

Ova
 
Mwambieni yeye ni mchezaji wa kawaida sana, anachofanya ni kuharibu carrier yake.

Mmwambie pia mashabiki tulishangaa sana kwanini aliongezewa mkataba mbali na kuwa na mchango mdogo sana kwenye timu, kama atarudisha hela na kuondoka tutashukuru sana.

Ni hayo tu.

Pia soma=> Simba kumchukulia hatua za kinidhamu Kibu Denis kwa kutokuripoti kambini
Mchango wake ni mdogo! Wakati mnachezea kile kichapo cha goli tano ✊ ni yeye ndiye ambaye aliyewafungia angalau goli lile moja!?
Hamzitaki tena mbichi hizi eeh!? Kijani kaona mbali hataki tena kukumbwa na fedheha nyingine ya mwaka huu
 
Kiendacho kwa sangoma hakirudi. Tshs 400m hazirudiii. Ni mtaji wake huko ughaibuni
Unadhani ni rahisi hivyo kutokmea na hela za klabu?

Uwe unapata muda wa kujifikirisha usije kuonekana hamnazo kabisa mkuu.

Simba wanaweza kuanzia TFF kumshtaki Kibu kisha CAF then FIFA.

Anaweza kuamriwa arudishe fedha zote alizochukua za Simba na faini ya usumbufu pamoja na kufungiwa maisha kutojihusisha na masuala ya soka.
 
Unadhani ni rahisi hivyo kutokmea na hela za klabu?

Uwe unapata muda wa kujifikirisha usije kuonekana hamnazo kabisa mkuu.

Simba wanaweza kuanzia TFF kumshtaki Kibu kisha CAF then FIFA.

Anaweza kuamriwa arudishe fedha zote alizochukua za Simba na faini ya usumbufu pamoja na kufungiwa maisha kutojihusisha na masuala ya soka.
Wewe akili huna kibu hachezi tena mpira utampatia wapi
 
Sio kweli kuwa Kibu Denis ni mchezaji wa kawaida ndani ya Simba, Kibu ni lulu ya thamani kubwa ndani ya Simba ndio maana mpaka leo hii Simba wanambembeleza.

Mimi naungana na Kibu, tumuache kijana asake maisha popote, asipopiga pesa nzuri sasa hataweza tena kupiga pesa nzuri huko mbeleni kupitia soka.
Tatizo sio kutafuta pesa, kwanini aongeze mkataba ilhali anajua anatafuta timu?!

Mbona angetafuta timu akiwa mchezaji huru ingekuwa ina mashiko zaidi kuliko kusaini na kukacha kambi.
 
Back
Top Bottom