Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,540
- 3,333
Asante Boss.Acha ujinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Boss.Acha ujinga.
Alikuwa na chango mdogo kwenye timu tena..!!??? Si mlikuwa mnamwita MKANDAJI..!!?? Sasa mkandaji anakuwaje na mchango mdogo kwenye timu.!? Mbumbumbu FC a.k.a Makolo, a.k.a Ngada FC, a.k.a Nguruwe FC mna shida sana..!!Mwambieni yeye ni mchezaji wa kawaida sana, anachofanya ni kuharibu carrier yake.
Mmwambie pia mashabiki tulishangaa sana kwanini aliongezewa mkataba mbali na kuwa na mchango mdogo sana kwenye timu, kama atarudisha hela na kuondoka tutashukuru sana.
Ni hayo tu.
Pia soma=> Simba kumchukulia hatua za kinidhamu Kibu Denis kwa kutokuripoti kambini
Tulia weweAlikuwa na chango mdogo kwenye timu tena..!!??? Si mlikuwa mnamwita MKANDAJI..!!?? Sasa mkandaji anakuwaje na mchango mdogo kwenye timu.!? Mbumbumbu FC a.k.a Makolo, a.k.a Ngada FC, a.k.a Nguruwe FC mna shida sana..!!
Sawa, ila ndo keshasepaTulia wewe
Aende tu hana msaada wowoteSawa, ila ndo keshasepa
Na atakwenda wapi ana mkataba tayariSawa, ila ndo keshasepa
Haya maneno yalisemwa hata kwa Chama baada ya kuhamia Yanga. Yaani mmemshindwa then mnaanza kuleta ya sizitaki mbichi hiziAende tu hana msaada wowote
Anataka asign black starMwambieni yeye ni mchezaji wa kawaida sana, anachofanya ni kuharibu carrier yake.
Mmwambie pia mashabiki tulishangaa sana kwanini aliongezewa mkataba mbali na kuwa na mchango mdogo sana kwenye timu, kama atarudisha hela na kuondoka tutashukuru sana.
Ni hayo tu.
Pia soma=> Simba kumchukulia hatua za kinidhamu Kibu Denis kwa kutokuripoti kambini
Nyie yanganaweza msajili Kibu denis kwa kiwango chake ?Haya maneno yalisemwa hata kwa Chama baada ya kuhamia Yanga. Yaani mmemshindwa then mnaanza kuleta ya sizitaki mbichi hizi
Ana kiwango kikubwa au kidogo? Maana ninachojuwa, kwenu, Chama alishuka kiwango siku anahamia Yanga.Nyie yanganaweza msajili Kibu denis kwa kiwango chake ?
Hapo umepigia mstari jibu la makolo kuitwa MBUMBUMBU FCHaiwezekani mtu ana goli moja whole season as a winger mnampa mkataba wa 400million
Unadhani amechukua zote yeye. Usikute amakula 50 milioni tu hapo. Ameamua kuwakomoa watu.Akimbie tu
wacheze wakina balua na chasambi
Naomba mumwambie asigeuke nyuma
Hizo hela walizompa mafala asirudishe abaki nazo
Haiwezekani mtu ana goli moja whole season as a winger mnampa mkataba wa 400million
Hebu wamuache bana!
Mambo ya Simba tuachie wana SimbaNtibazonkiza aliyekuwa na takwimu nzuri mlimuacha kwanini!!!???
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app