Kwa mlio karibu na Kibu Denis mpeni taarifa hii muhimu

Kwa mlio karibu na Kibu Denis mpeni taarifa hii muhimu

Daa muda unaenda fasta sana. Yaani mchezaji mwenye goli 1 msimu mzima naye anadengua. Huyu anatakiwa asipige hata simu 1 na viongozi. Aachwe tu
 
Unadhani ni rahisi hivyo kutokmea na hela za klabu?

Uwe unapata muda wa kujifikirisha usije kuonekana hamnazo kabisa mkuu.

Simba wanaweza kuanzia TFF kumshtaki Kibu kisha CAF then FIFA.

Anaweza kuamriwa arudishe fedha zote alizochukua za Simba na faini ya usumbufu pamoja na kufungiwa maisha kutojihusisha na masuala ya soka.
Nipo vizuri sanaa. Kibu kutorokea Ughaibuni si kwamba anakwenda kucheza mpira,HAPANA. Anakwenda kutafuta maisha yake nje ya mpira. Kumbuka huyu kijana ana uzoefu wa Ukimbizi. Hababaishwi na hilo.
Kaumri nako kamekwendakwenda. Ana zaidi ya miaka 32 kwa sasa
 
Nipo vizuri sanaa. Kibu kutorokea Ughaibuni si kwamba anakwenda kucheza mpira,HAPANA. Anakwenda kutafuta maisha yake nje ya mpira. Kumbuka huyu kijana ana uzoefu wa Ukimbizi. Hababaishwi na hilo.
Kaumri nako kamekwendakwenda. Ana zaidi ya miaka 32 kwa sasa
😆
 
Kibu kaenda majaribio, mpango wake ni akifuzu majaribio avute mkwanja na kuwarejeshea simba 300m zao...hapo ndo kivumbi kitatimka, ngoja niagize popcorn.
 
Nipo vizuri sanaa. Kibu kutorokea Ughaibuni si kwamba anakwenda kucheza mpira,HAPANA. Anakwenda kutafuta maisha yake nje ya mpira. Kumbuka huyu kijana ana uzoefu wa Ukimbizi. Hababaishwi na hilo.
Kaumri nako kamekwendakwenda. Ana zaidi ya miaka 32 kwa sasa
Aahahaaa
 
Back
Top Bottom