Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sisi kibu hatumtaki yani asipokuwepo ndio tuna furahi 😅Tulieni sindano iwaingie ! mlishabikia Fei kubwa kulazimisha kuondoka Yanga wakati ana mkataba sasa zamu yenu
Naunga mkono hoja nimeshangaa sana hata kapewa million 50.Mwambieni yeye ni mchezaji wa kawaida sana, anachofanya ni kuharibu carrier yake.
Mmwambie pia mashabiki tulishangaa sana kwanini aliongezewa mkataba mbali na kuwa na mchango mdogo sana kwenye timu, kama atarudisha hela na kuondoka tutashukuru sana.
Ni hayo tu.
Pia soma=> Simba kumchukulia hatua za kinidhamu Kibu Denis kwa kutokuripoti kambini
Kolo mwenzako huyoKwa takwimu zipi wewe uto ?
Ntibazonkiza aliyekuwa na takwimu nzuri mlimuacha kwanini!!!???Kwa takwimu zipi wewe uto ?
Wakimbizi WA Kongo mawazo Yao huwa ni kuishi Ulaya.Yule ni Mkongo. Amekimbilia Norway na kuomba kibali cha kuishi kama Mkimbizi.
Hamumtaki na 400M mkampa! Kama siyo ujinga ni nini!?sisi kibu hatumtaki yani asipokuwepo ndio tuna furahi [emoji28]
Labda naye alilishwa ugali na sukari guru 🤣Afate exit clause, aweke mpunga Simba.
Mtani, akiachwa hela alizopewa itakuaje?Daa muda unaenda fasta sana. Yaani mchezaji mwenye goli 1 msimu mzima naye anadengua. Huyu anatakiwa asipige hata simu 1 na viongozi. Aachwe tu
Nipo vizuri sanaa. Kibu kutorokea Ughaibuni si kwamba anakwenda kucheza mpira,HAPANA. Anakwenda kutafuta maisha yake nje ya mpira. Kumbuka huyu kijana ana uzoefu wa Ukimbizi. Hababaishwi na hilo.Unadhani ni rahisi hivyo kutokmea na hela za klabu?
Uwe unapata muda wa kujifikirisha usije kuonekana hamnazo kabisa mkuu.
Simba wanaweza kuanzia TFF kumshtaki Kibu kisha CAF then FIFA.
Anaweza kuamriwa arudishe fedha zote alizochukua za Simba na faini ya usumbufu pamoja na kufungiwa maisha kutojihusisha na masuala ya soka.
😆Nipo vizuri sanaa. Kibu kutorokea Ughaibuni si kwamba anakwenda kucheza mpira,HAPANA. Anakwenda kutafuta maisha yake nje ya mpira. Kumbuka huyu kijana ana uzoefu wa Ukimbizi. Hababaishwi na hilo.
Kaumri nako kamekwendakwenda. Ana zaidi ya miaka 32 kwa sasa
AahahaaaNipo vizuri sanaa. Kibu kutorokea Ughaibuni si kwamba anakwenda kucheza mpira,HAPANA. Anakwenda kutafuta maisha yake nje ya mpira. Kumbuka huyu kijana ana uzoefu wa Ukimbizi. Hababaishwi na hilo.
Kaumri nako kamekwendakwenda. Ana zaidi ya miaka 32 kwa sasa
Au mijini ya wanjano njano.Labda naye alilishwa ugali na sukari guru 🤣
Wamesema ni duka la zile 1-5 🤣Au mijini ya wanjano njano.
Acha ujinga.Wamesema ni duka la zile 1-5 🤣