Kwa mlio karibu na Kibu Denis mpeni taarifa hii muhimu

Mechi 20 goli moja akajiona na yeye ni wa muhimu .
 
Alikuwa na chango mdogo kwenye timu tena..!!??? Si mlikuwa mnamwita MKANDAJI..!!?? Sasa mkandaji anakuwaje na mchango mdogo kwenye timu.!? Mbumbumbu FC a.k.a Makolo, a.k.a Ngada FC, a.k.a Nguruwe FC mna shida sana..!!
 
Alikuwa na chango mdogo kwenye timu tena..!!??? Si mlikuwa mnamwita MKANDAJI..!!?? Sasa mkandaji anakuwaje na mchango mdogo kwenye timu.!? Mbumbumbu FC a.k.a Makolo, a.k.a Ngada FC, a.k.a Nguruwe FC mna shida sana..!!
Tulia wewe
 
Akimbie tu

wacheze wakina balua na chasambi

Naomba mumwambie asigeuke nyuma
Hizo hela walizompa mafala asirudishe abaki nazo

Haiwezekani mtu ana goli moja whole season as a winger mnampa mkataba wa 400million
Unadhani amechukua zote yeye. Usikute amakula 50 milioni tu hapo. Ameamua kuwakomoa watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…