FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Eti jamani, kuna crane la tani 26 tuliambiwa ndio kikwazo cha kuanza kujaza maji kwenye Bwawa la Rufiji na limeagizwa toka nje ya nchi; Hivi mliposema nje ya nchi mlimaanisha nje ya sayari hii au ni vipi?
Miezi mingapi inahitajika kulileta hilo crane ambalo nchi nzima hii hakuna? Naomba majibu tafadhali
Miezi mingapi inahitajika kulileta hilo crane ambalo nchi nzima hii hakuna? Naomba majibu tafadhali