Kwa mlio kwenye system, tujuzeni lile crane la tani 26 liliagizwa toka Sayari ipi?

Yaache yaendelee na midomo midomo Yao sisi tuko Mezani tunavunja mifupa
 
Hili bwawa litakamilika mwaka gani?
 
Mkuu FRANCIS DA DON naona hii issue inakuumiza sana na umeamua kushikia bango ahahahaaaa 😁😂😂😂.

Pole sana ndiyo binadamu hawa wanaojinasibu kuipenda nchi yao kumbe nothing to tack out
 
Inatengenezwa kwa specification halafu ni ya kukodi? Kalemani hakujua kwamba hili winchi linahitajika kutengenezwa hadi asema bwawa linajazwa Nov.15? Hivi unakodi vipi kitu ambacho kiko taylor made kwa ajili yako?
Mbona maswali yako yanazidi kichwa chako?
 
Maji yanaweza kujazwa hata kwa muda wa miaka miwili, sio kwamba yanajazwa leo kesho yamejaa; anyway, mimi ninachotaka kujua, hilo Crane liko wapi ili tuanze kujaza maji hilo bwawa? Wameliagiza sayari ipi? Jupiter au Mars?
Mkuu swali lako ni kama kuulizia mkasi kiwanda cha nguo, its irrelevant.
 
Hapo hakuna waandishi bali ni makamba mwenyewe alijibu sswali bungeni kuwa hakuna crane ya kubeba hayo mageti mpaka itoke nje ya nchi.
Na akasema kazi hiyo itafanyika mwezi wa tatu mwaka huu.
 
Tangu mwanzo huu mradi ulikuwa Batili na hautawahi kufanikiwa. Na si huu mradi pekee bali miradi yote inayoanzishwa na CCM . Inaanzishwaga mahsus na maksud kwa ajili ya upigaji.
Hivi ule wenu wa kulima kule morogoro umefikia wapi na yale matrecta alionunua mwenyekiti?
Kwani hhuo mladi kwenye ilani yenu umo na ulijadiliwa?
 
Hivi ule wenu wa kulima kule morogoro umefikia wapi na yale matrecta alionunua mwenyekiti?
Kwani hhuo mladi kwenye ilani yenu umo na ulijadiliwa?
Tulia weweee. Mnaiba bila aibu na huruma.
 
Mkuu usipojua kinaendelea nini huko Stiglaz, unaonekana irrelevant.
Crane haihitajiki kule, na kinachosubiriwa ni mageti ya kuzuia maji, na hilo halijazuia kazi ya ujenzi wa bwawa kuendelea.
Na wewe inaonekana huelewi. Mageti yapo tayari ill crane na kuyashusha na ambazo zinafungwa moja kwa moja ill zitumike kuyafungua na kufunga wakati wowote ndio zilizokuwa zinaelezwa. Zinafungwa moja kwa moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…