King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
NikolasiHuyo kwenye i.d
Ni solver nguli
Ambaye hakuwa na demu
You gotch ma point
Sasa si ugeuke Shunie..[emoji57]
Walaa kaka pm ipo wazi hao wakware wapambane na hali zaoUmefunga PM maana umewaDIPU wakware 😛😛😛😛😛
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀.Walaa kaka pm ipo wazi hao wakware wapambane na hali zao
Basi baba yako alikuwa handsome balaaa..Nikigeuka utanikimbia ujue nina sura ya baba angu
Hongera ...mtu lazima kujikubali[emoji122] [emoji122]Hiyo avatar ni mimi mwenyewe...nimejificha sura maana naona aibu sana.
Hapo nilikuwa bar Arusha napata moja moto moja baridi.
Najikubali...ndio maana nimejiweka
Fungua pm basi babeeNimejiweka mwenyewe
Jombiiiiiiiiii muwakilishi wa Kaya jf....Avatar yangu ni weed a.k.a Bangi ...
Hiyo ni kitu naipenda sana hapa duniani baada ya Mama inafata weed .
NB:Mimi sio muhuni ila bangi navuta .
Wa kwanza ni nani?Huyo kwa avatar ni Shahrukh Khan, king of bollywood. Huwa ananinspire sana. Ukifuatilia story yake alianza chin kabisa bila kubebwa. Juhudi na nidham ndio zimemfanya kuwa muigizaj wa pili kwa utajiri duniani.
Naamin kwenye kila mafanikio kuna siri nyuma yake, siri ya wengi ni juhudi na nidham kwa kile unacho kifanya.
Wa kwanza ni nani?
Avatar ni nini?[emoji22][emoji22][emoji22]