Kwa mlio weka 'Avatar', je?, Inamaana yoyote.??, Kwa nini uliichangua hiyo??

Kwa mlio weka 'Avatar', je?, Inamaana yoyote.??, Kwa nini uliichangua hiyo??

Mimi nilivutiwa na harakati za huyu ndugu yangu...na misimamo yake juu ya kutetea usawa na haki za watu weusi Marekani.....

Ni mtu jasiri na asiye na chembe ya uoga na unafiki katika kupigania kile anachoona ni sahihi kwake.......


Respect all, fear none....
 
John cena.

Ni jasiri, anajiamini na ni kipenzi cha watu. Imani yake ya katika kutokukata tamaa anapopigwa, hata wakati amejiandaa sana na pambano hakubali kushindwa (never give up)

Anainuka tena, anajipa moyo na kupambana upya, (hata baada ya kupigwa sana) mwisho wa siku anakuwa mshindi (overcome)
 
Huyo kwa avatar ni Shahrukh Khan, king of bollywood. Huwa ananinspire sana. Ukifuatilia story yake alianza chin kabisa bila kubebwa. Juhudi na nidham ndio zimemfanya kuwa muigizaj wa pili kwa utajiri duniani.

Naamin kwenye kila mafanikio kuna siri nyuma yake, siri ya wengi ni juhudi na nidham kwa kile unacho kifanya.
Wa kwanza ni nani?
 
Avatar ni nini?[emoji22][emoji22][emoji22]
508635.jpg
hii ni avatar yako
 
Back
Top Bottom