Kwa mliochaguliwa kwenda sua ni bonge la chuo,wa vyuo vya kata tusitafutane ubaya ni mtazamo tu

Kwa mliochaguliwa kwenda sua ni bonge la chuo,wa vyuo vya kata tusitafutane ubaya ni mtazamo tu

Kwa wale wote ambao mnakuja sua mmechaguliwa chuo bora kabisa hapa tanzania.but chondechonde wadogo zangu mkija msije mkajisahau coz hapa sua kitabu ni tight ukizingua fasta unaliwa kichwa.sua ni chuo cha kigumu chenye kila kitu.kwa wale mtakaokuja campus ya sua hapa solomon mahlangu mazimbu kuna totoz za maana so niwewe tu ushindwe.mana mnatishiwaga sua hakuna warembo or sjui mara sua hv.but ukwl ni kuwa ukija mazimbu utakutana na totoz kali mpaka utadhani solomon mahlangu si sua.but msisahau kilichowaleta hapa ni kitabu so pigeni shule wadogo
Sema waambie na matatizo kaka mfano lecturers 8 hushea power point 1 na mengineyo napita tu....
 
From my point of view

Kutokana na malalamiko mengi wanayotoa wana JF hususan jukwaa hili la elimu kuwa form six wanaotarajia kujiunga na vyuo wamekuwa wakipost threads ambazo hazina tija wala hazijabeba maana halisi ya madhumuni ya kuwepo kwa jukwaa hili,mnaonaje wakuu ikiwa mtakuwa mnazipita zile threads ambazo nyie mmnaziona za kitoto kusudi watoto na watoto wenzao waweze kushea utoto wao?hata nyumbani huwezi kucheza na watoto,watoto hucheza na watoto wenzao,ila mnapoona wanastahili msaada muwape,but c kwa kuwa undermine,

Ni hayo tu,ahsanteni na adios...
 
Back
Top Bottom