From my point of view
Kutokana na malalamiko mengi wanayotoa wana JF hususan jukwaa hili la elimu kuwa form six wanaotarajia kujiunga na vyuo wamekuwa wakipost threads ambazo hazina tija wala hazijabeba maana halisi ya madhumuni ya kuwepo kwa jukwaa hili,mnaonaje wakuu ikiwa mtakuwa mnazipita zile threads ambazo nyie mmnaziona za kitoto kusudi watoto na watoto wenzao waweze kushea utoto wao?hata nyumbani huwezi kucheza na watoto,watoto hucheza na watoto wenzao,ila mnapoona wanastahili msaada muwape,but c kwa kuwa undermine,
Ni hayo tu,ahsanteni na adios...