Kwa mliofanikiwa ku-root simu zenu tukutane hapa!

Kwa mliofanikiwa ku-root simu zenu tukutane hapa!

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
20,834
Reaction score
26,217
Habari wakuu.

Nimeona nianzishe uzi huu ili tuweze kushirikishana machache kwa wale waliofanikiwa ku-root simu zao.


Kama ilivyo jadi kwa wanaJF kuelimishana na kusaidiana pale inapobidi.


Wengi wetu tumekuwa tukifanya maamuzi mengine kwa kufuata mkumbo na hatupo tiyari kukiri hilo.


Sasa naomba wale wenzetu wajuzi wa mambo ambao mli root simu zenu kwa sababu mnazozijua mtusaidie namna mnavyoweza kufurahia simu zenu tofauti na ilivyokuwa awali, maana ku-root simu bila sababu hilo ndio tatizo.


Please mtusaidie nasi tuliofuata mkumbo pasipokujua faida zake.


Naombeni wataalamu mtusaidie hapa.


-Endapo kuna Apps, Features na mambo mengine kibao basi tunaweza kufaidi baada ya ku-root simu basi tujimwage hapa.



NB : Nimepitia nyuzi nyingi sana kuhusiana na hili suala la rooting lakini hazipo clear, nyingi zinaishia kuelezea namna ya ku-root.



Regards,...
 
Habari wakuu.

Nimeona nianzishe uzi huu ili tuweze kushirikishana machache kwa wale waliofanikiwa ku-root simu zao.


Kama ilivyo jadi kwa wanaJF kuelimishana na kusaidiana pale inapobidi.


Wengi wetu tumekuwa tukifanya maamuzi mengine kwa kufuata mkumbo na hatupo tiyari kukiri hilo.


Sasa naomba wale wenzetu wajuzi wa mambo ambao mli root simu zenu kwa sababu mnazozijua mtusaidie namna mnavyoweza kufurahia simu zenu tofauti na ilivyokuwa awali, maana ku-root simu bila sababu hilo ndio tatizo.


Please mtusaidie nasi tuliofuata mkumbo pasipokujua faida zake.


Naombeni wataalamu mtusaidie hapa.


-Endapo kuna Apps, Features na mambo mengine kibao basi tunaweza kufaidi baada ya ku-root simu basi tujimwage hapa.



NB : Nimepitia nyuzi nyingi sana kuhusiana na hili suala la rooting lakini hazipo clear, nyingi zinaishia kuelezea namna ya ku-root.



Regards,...
Rooting inakupa access ya "kuifanya" simu yako ya Android uipendavyo kwa upande wa Software including OS..

Ku root simu mkuu inategemea aina ya simu japo kuna apps na softwares ambazo zipo multipurpose kwa ajili ya kuroot aina tofauti za simu..

Unaweza kiroot kwa kutumia 'box' au kwa PC+ software au simu yenyewe kwa kutumia apps na flashable zip files...

Kabla ya kuchukua maamuzi ya ku root simh yako yapaswa kifaham madhara na faida zake...!

Hasara ninazoweza kukutajia mbili kuu ni

1. Kupoteza warranty ya simu yako
2. Kuwa kwenye hatihati ya 'kuua' simu yako..

Binafsi siwezi kukaa na simu isiyorootiwa...
 
Kusema kweli mi bwana kutoot sim ni kama kula chakula siwez kuacha kuroot sim

Kwa sababu mi natumia sana exposes framework kucustomize simu na kufuta bloatware
Pia luckypatcher ili niweze kuhack game
Pia greenify ili niweze kuhibernate app kma sizitumii inasaidia kutunza battery
Pia overclock cpu ya simu yangu
Pia kuflash cyanogen mod ingawa sasa hv natumia oxygen os


Kimsing nikianza kuongelea yote hapa itanichosha na itawachosha na nyinyi
 
Kuwa na simu ambayo haijawa rooted nakosa amani kabisa.
Simu yangu iko rooted, kwa maana hiyo naitumikisha, system apps ambazo sizitumii nimetoa zote, natengeza shortcut nipendavyo mimi, nimebadili launcher3 na kuweka arrow launcher na inafunction kama system app hata niirest simu inabaki na kuoperate normally, nachange font kila ninapohitaji , na control behavior nyingi za simu yangu kwa mfano zile app ambazo zina autostart naziziia.
Yote hayo ni possible ukiroot simu.
 
Rooting inakupa access ya "kuifanya" simu yako ya Android uipendavyo kwa upande wa Software including OS..

Ku root simu mkuu inategemea aina ya simu japo kuna apps na softwares ambazo zipo multipurpose kwa ajili ya kuroot aina tofauti za simu..

Unaweza kiroot kwa kutumia 'box' au kwa PC+ software au simu yenyewe kwa kutumia apps na flashable zip files...

Kabla ya kuchukua maamuzi ya ku root simh yako yapaswa kifaham madhara na faida zake...!

Hasara ninazoweza kukutajia mbili kuu ni

1. Kupoteza warranty ya simu yako
2. Kuwa kwenye hatihati ya 'kuua' simu yako..

Binafsi siwezi kukaa na simu isiyorootiwa...
Asante mkuu, naomba tuwekee link au majina ya hizo Apps nasi tuweze kuzipata.


Shukran
 
Kusema kweli mi bwana kutoot sim ni kama kula chakula siwez kuacha kuroot sim

Kwa sababu mi natumia sana exposes framework kucustomize simu na kufuta bloatware
Pia luckypatcher ili niweze kuhack game
Pia greenify ili niweze kuhibernate app kma sizitumii inasaidia kutunza battery
Pia overclock cpu ya simu yangu
Pia kuflash cyanogen mod ingawa sasa hv natumia oxygen os


Kimsing nikianza kuongelea yote hapa itanichosha na itawachosha na nyinyi
Asante mkuu kwa kututajia na Apps pamoja na faida zake.

Please kama unaweza kutushirikisha app nyingine nzuri kwa rooted phone.


Thanks,..
 
Kuwa na simu ambayo haijawa rooted nakosa amani kabisa.
Simu yangu iko rooted, kwa maana hiyo naitumikisha, system apps ambazo sizitumii nimetoa zote, natengeza shortcut nipendavyo mimi, nimebadili launcher3 na kuweka arrow launcher na inafunction kama system app hata niirest simu inabaki na kuoperate normally, nachange font kila ninapohitaji , na control behavior nyingi za simu yangu kwa mfano zile app ambazo zina autostart naziziia.
Yote hayo ni possible ukiroot simu.
Thanks mkuu, tushirikishane hizo apps za kuondoa system files, pamoja na features nzuri tunazoweza kuenjoy kwenye rooted phones
 
a8dbaf47a57415440787499d994dfa83.jpg
 
Thanks mkuu, tushirikishane hizo apps za kuondoa system files, pamoja na features nzuri tunazoweza kuenjoy kwenye rooted phones
Kazi zangu nyingi nafanya kwa ES EXPLORER PRO. Hii apps ndo inaniwezesha kuunstall hata system apps, kufanya user apps kuwa system apps, kufanya backup ya apps mbali mbali n. k
 
Thanks mkuu nimeanza ku download lakini napokea huu ujumbe, shida inaweza kuwa nini. Simu yangu ipo rooted.


Msaada tafadhali

''An error occured while parsing the package!"
App gani ??

Jaribu kuidownload toka sehem nyingine au download version iliyopita na sio current
 
Apps hizi siwezi kuishi bila kuwa nazo baada ya kuroot

1.greenify
2.lucky patcher
3.xposed framework (modules)
4.amplify battery extender
5.Busy box
6.root app delete
7.Flat bar
8.Battery Calibration
...........................
 
Parse error inatokea pale apk file ikiwa corrupted au ukidownload partially

Ila kwa lucky patcher jaribu kudownload toka site nyingine just google luckypatcher.apk ingia link ya kwanza
 
Back
Top Bottom