Kwa mliofanikiwa ku-root simu zenu tukutane hapa!

Kwa mliofanikiwa ku-root simu zenu tukutane hapa!

Wakuu Nimejaribu sana kuroot simu yangu ni Android OS 6,marshmallows kwa kutumia King root na kingo root lakini nmechemka kabisa. Kuna kuna mtu ambaye kisha fanikiwa kuroot marshmallows anisaidie tafadhari alifanyaje!!
 
Wakuu Nimejaribu sana kuroot simu yangu ni Android OS 6,marshmallows kwa kutumia King root na kingo root lakini nmechemka kabisa. Kuna kuna mtu ambaye kisha fanikiwa kuroot marshmallows anisaidie tafadhari alifanyaje!!
Marshmallow root kwa pc
 
nimesha download app maelezo namna ya ku root pls
Download app inaitwa kingroot baada ya hapo fata maelekezo ndani ya hiyo app and voilaa utakuwa rooted


Ni kawaida sm kurestart wakati wa kuroot so usichachawe
 
Tusifanye pata potea wakati wa kuroot simu... Kama simu yako ni MTK tumia iRoot iliyokuwa inajulikana kama vRoot... Kwa wenye equinox na snapdragon kwa simu za Samsung tumia CFautoroot...
Mwenye infinix nenda na kingroot au kingoroot
Vi simu ambavyo chipset yake ya MTK ipo below 65xx tumia kina framaroot
 
Habari wakuu.

Nimeona nianzishe uzi huu ili tuweze kushirikishana machache kwa wale waliofanikiwa ku-root simu zao.


Kama ilivyo jadi kwa wanaJF kuelimishana na kusaidiana pale inapobidi.


Wengi wetu tumekuwa tukifanya maamuzi mengine kwa kufuata mkumbo na hatupo tiyari kukiri hilo.


Sasa naomba wale wenzetu wajuzi wa mambo ambao mli root simu zenu kwa sababu mnazozijua mtusaidie namna mnavyoweza kufurahia simu zenu tofauti na ilivyokuwa awali, maana ku-root simu bila sababu hilo ndio tatizo.


Please mtusaidie nasi tuliofuata mkumbo pasipokujua faida zake.


Naombeni wataalamu mtusaidie hapa.


-Endapo kuna Apps, Features na mambo mengine kibao basi tunaweza kufaidi baada ya ku-root simu basi tujimwage hapa.



NB : Nimepitia nyuzi nyingi sana kuhusiana na hili suala la rooting lakini hazipo clear, nyingi zinaishia kuelezea namna ya ku-root.



Regards,...
Mtoa mada ingekua vyema ukaanza na kuelimisha nininmaana ya ku root.
 
KWA WALE WALIOROOT SAMSUNG GALAXY J SERIES WAWEKE APPS ZA KUROOT PLS
 
Back
Top Bottom