Kakashi uchiha
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 604
- 415
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimesha download app maelezo namna ya ku root pls
Marshmallow root kwa pcWakuu Nimejaribu sana kuroot simu yangu ni Android OS 6,marshmallows kwa kutumia King root na kingo root lakini nmechemka kabisa. Kuna kuna mtu ambaye kisha fanikiwa kuroot marshmallows anisaidie tafadhari alifanyaje!!
Sasa wewe haujaroot simu kilichokufanya uanze kudownload hio app ni nini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]nimesha download app maelezo namna ya ku root pls
Download app inaitwa kingroot baada ya hapo fata maelekezo ndani ya hiyo app and voilaa utakuwa rootednimesha download app maelezo namna ya ku root pls
Aina ya simu bossMarshmallow root kwa pc
sawa mkuuDownload app inaitwa kingroot baada ya hapo fata maelekezo ndani ya hiyo app and voilaa utakuwa rooted
Ni kawaida sm kurestart wakati wa kuroot so usichachawe
Mtoa mada ingekua vyema ukaanza na kuelimisha nininmaana ya ku root.Habari wakuu.
Nimeona nianzishe uzi huu ili tuweze kushirikishana machache kwa wale waliofanikiwa ku-root simu zao.
Kama ilivyo jadi kwa wanaJF kuelimishana na kusaidiana pale inapobidi.
Wengi wetu tumekuwa tukifanya maamuzi mengine kwa kufuata mkumbo na hatupo tiyari kukiri hilo.
Sasa naomba wale wenzetu wajuzi wa mambo ambao mli root simu zenu kwa sababu mnazozijua mtusaidie namna mnavyoweza kufurahia simu zenu tofauti na ilivyokuwa awali, maana ku-root simu bila sababu hilo ndio tatizo.
Please mtusaidie nasi tuliofuata mkumbo pasipokujua faida zake.
Naombeni wataalamu mtusaidie hapa.
-Endapo kuna Apps, Features na mambo mengine kibao basi tunaweza kufaidi baada ya ku-root simu basi tujimwage hapa.
NB : Nimepitia nyuzi nyingi sana kuhusiana na hili suala la rooting lakini hazipo clear, nyingi zinaishia kuelezea namna ya ku-root.
Regards,...
Sio kwa ajili ya kila mtu ndio maana haziji pre rooted[emoji3] [emoji3] [emoji3]Tangia niue sim yangu sitakagi tena hako kamchezo
Huko tunaita jail breakingUse iphone ( apple software ) only...
Sasa kwenye thread ya rooting unatafta nini nenda kadownload cydia huku hakukuhusuUse iphone ( apple software ) only...
Sasa simu zenye marshmallow si nitajaza server nzima ya jfAina ya simu boss
Aina ya simu ni infinix HOT 4 LITEAina ya simu boss
Natakiwa kuwa na programu zipi au ip kwenye pc mkuuMarshmallow root kwa pc