Kwa mliofanikiwa ku-root simu zenu tukutane hapa!

Kwa mliofanikiwa ku-root simu zenu tukutane hapa!

Rooting inakupa access ya "kuifanya" simu yako ya Android uipendavyo kwa upande wa Software including OS..

Ku root simu mkuu inategemea aina ya simu japo kuna apps na softwares ambazo zipo multipurpose kwa ajili ya kuroot aina tofauti za simu..

Unaweza kiroot kwa kutumia 'box' au kwa PC+ software au simu yenyewe kwa kutumia apps na flashable zip files...

Kabla ya kuchukua maamuzi ya ku root simh yako yapaswa kifaham madhara na faida zake...!

Hasara ninazoweza kukutajia mbili kuu ni

1. Kupoteza warranty ya simu yako
2. Kuwa kwenye hatihati ya 'kuua' simu yako..

Binafsi siwezi kukaa na simu isiyorootiwa...
Naomba maelezo au program ya namna ya kuroot simu
 
Tusifanye pata potea wakati wa kuroot simu... Kama simu yako ni MTK tumia iRoot iliyokuwa inajulikana kama vRoot... Kwa wenye equinox na snapdragon kwa simu za Samsung tumia CFautoroot...
Mwenye infinix nenda na kingroot au kingoroot
Vi simu ambavyo chipset yake ya MTK ipo below 65xx tumia kina framaroot
kwa tecno H5 itakua wapi kwenye mafungu hayo
 
Tusifanye pata potea wakati wa kuroot simu... Kama simu yako ni MTK tumia iRoot iliyokuwa inajulikana kama vRoot... Kwa wenye equinox na snapdragon kwa simu za Samsung tumia CFautoroot...
Mwenye infinix nenda na kingroot au kingoroot
Vi simu ambavyo chipset yake ya MTK ipo below 65xx tumia kina framaroot
Kwa wenye LG je?
 
Download app inaitwa kingroot baada ya hapo fata maelekezo ndani ya hiyo app and voilaa utakuwa rooted


Ni kawaida sm kurestart wakati wa kuroot so usichachawe
Nilitumia Kingroot na ilipofika kuanzia 60%-70% ikawa inajirestart sana. Swali langu ni kwamba je nikishairoot natakiwa niwe nairoot mara kwa mara? Pia baada ya kuiroot naweza off USB debugging na unkown source au kuziacha zikiwa activated?
Kiukweli baada ya kuona inajirestart niliamua kuiunstall kingroot app maana niliogopa. Kwa maelekezo sahihi naweza kurudia rooting, please msaada wako mkuu
Download app inaitwa kingroot baada ya hapo fata maelekezo ndani ya hiyo app and voilaa utakuwa rooted


Ni kawaida sm kurestart wakati wa kuroot so usichachawe
Nilitumia Kingroot na ilipofika kuanzia 60%-70% ikawa inajirestart sana. Swali langu ni kwamba je nikishairoot natakiwa niwe nairoot mara kwa mara? Pia baada ya kuiroot naweza off USB debugging na unkown source au kuziacha zikiwa activated?
Kiukweli baada ya kuona inajirestart niliamua kuiunstall kingroot app maana niliogopa. Kwa maelekezo sahihi naweza kurudia rooting, please msaada wako mkuu
 
Nimeroot additional features nilio ipata ni ku install adaway ambayo ina support kwenye rooted devices hii inanifanya nisipate Pop up ads niwapo naperuzi nilitumia king root Chinese version simple tu
 
Nimetoka kuua cm yangu hapa natumia tu.
Storage ya simu inazingua apps zinakataa installation
 
Nimetoka kuua cm yangu hapa natumia tu.
Storage ya simu inazingua apps zinakataa installation
Pole sana mkuu,. Wakati mwingine ni vyema kufuata maelekezo sahihi.
 
KATIKA VITU VYOTE HUWEZ ROOT ANDROID 6.0 MASHIMALLOW SIJUI BADO HAWAJA TOA
 
Niliweza kuroot ili niongeze ram nikachemka hapo kwenye kuongeza ram nikaachana nayo root
 
a9bb666153e48afcff90c77998daaacf.jpg


Kama 6.0 huijui ione hiyo 7.1.1 inaitwa Nougat

Ninaisubiri 7.1.2
 
Back
Top Bottom