X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #201
Siwezi kukata tamaaKila la kheri. Usikubali kukatishwa tamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kukata tamaaKila la kheri. Usikubali kukatishwa tamaa
Kwa hio alikuomba kinyeo ukampa?Mada unayotaka kuingiza kwenye uzi wako itakuharibia
Huu ni uzi wako wa biashara ujinga weka pembeni
ndo hapo sasa wabongo asilimia kubwa ni vichwa maji.Kuwa mwembamba ni njaa?? Unaakili ww? Akili zako zinatumika sawasawa?
January makamba mwembamba
Jerry silaa mwembamba
Hussein bashe mwembamba
Humphrey polepole mwembamba
Luhaga mpina mwembamba
IGP camilius mwembamba
Kumbe na hawa ni njaa.
Usiende huko utaharibu uzi wako. Mimi nitakutafuta unipeleke machimbo ya SharjahNdugu yangu Wana wivu tu...pengine tokea azaliwe sehemu nzuri aliyo wahi kutembelea ni dar es salaam na cocobeach🤣🤣🤣
Na wewe mwembamba !kweli kakosea!Kuwa mwembamba ni njaa?? Unaakili ww? Akili zako zinatumika sawasawa?
January makamba mwembamba
Jerry silaa mwembamba
Hussein bashe mwembamba
Humphrey polepole mwembamba
Luhaga mpina mwembamba
IGP camilius mwembamba
Kumbe na hawa ni njaa.
Shukrani sana Ndugu Iddy kwa kutupa fursa hii. Kwa mtu anayeplan kutembelea Dubai mwezi wa 12/2024, ni;Je unawaza kwenda Dubai kibiashara...?
Je unawaza kwenda Dubai kwaajili ya KUTAFUTA kazi...?
Je unawaza kwenda Dubai kutembea...?
Kwa unae taka kwenda Dubai kwa Sababu nilizo ziainisha hapo juu solution la tatizo lako Mimi ninalo.
View attachment 3017911
Ukifikiria kwenda Dubai usiogope Tena juu ya wapi utafikia, nani atakupokea airport...na ni nani atakutembeza kupata kile utakacho kifata...!
Kwa gharama nafuu sana nitakutembeza na kukuguide kwa muda tutakao elewana.
Hivyo usiogope Tena kuja Dubai...!
Nipo DUBAI kwaajili Yako njoo Whatsapp tujadiliane Katalog von mhando auf WhatsApp ansehen
{+971581480619 Whatsapp}
Pole sana...!Kuna kipindi niliwahi kwenda sehemu nikakosa kazi kwa sababu tu ya muonekano, nakumbuka nilitoka kuumwa malaria kali sana. Hivyo nilikonda vibaya mno, wanaojaji muonekano wako wako sawa.
Nipigie tuzungumze Whatsapp +971581480619Shukrani sana Ndugu Iddy kwa kutupa fursa hii. Kwa mtu anayeplan kutembelea Dubai mwezi wa 12/2024, ni;
1. Kipi anapaswa kuwa amefanya hadi muda huu (assume wahusika Wana passports)
2. Utaratibu wa kupata vissa ukoje na unachukuwa muda gani na gharama kiasi gani kwa kila mtu?
3. Gharama y ndege kama TZS ngapi kwa kila mtu mzima?
4. Kama lengo la safari ni utalii, gharama zake zikoje (tourguide pamoja na vivutio zikoje?
5. Gharama za accomodations zikoje?
6. Ushauri wowote kwa familia inayoplan kutembelea Dubai kwa ajili ya utalii?
Nikushukuru kwa uthubutu wako Ndugu, wewe ni mpambanaji sana sana
Mbona umekaukiana sana mkuu? Jitahidi kula mkuu!Je unawaza kwenda Dubai kibiashara...?
Je unawaza kwenda Dubai kwaajili ya KUTAFUTA kazi...?
Je unawaza kwenda Dubai kutembea...?
Kwa unae taka kwenda Dubai kwa Sababu nilizo ziainisha hapo juu solution la tatizo lako Mimi ninalo.
View attachment 3017911
Ukifikiria kwenda Dubai usiogope Tena juu ya wapi utafikia, nani atakupokea airport...na ni nani atakutembeza kupata kile utakacho kifata...!
Kwa gharama nafuu sana nitakutembeza na kukuguide kwa muda tutakao elewana.
Hivyo usiogope Tena kuja Dubai...!
Nipo DUBAI kwaajili Yako njoo Whatsapp tujadiliane Katalog von mhando auf WhatsApp ansehen
{+971581480619 Whatsapp}
Bwana Iddy, kwa ajili ya uelewa wa wengi, sio vibaya ukatoa ufafanuzi wa hoja zangu. Haya mambo ya kupigiana simu yanaleta ukakasi kind off. Wewe mwaga data hapa jukwaaniNipigie tuzungumze Whatsapp +971581480619
Mkuu umeamini kama yuko dubai au badoIDDY S MHANDO Nimekuuliza unakaa pande ipi maana Dubai imegawanyika sehemu mbili. Moja ni Old Dubai na new Dubai. Au kifupi nikueleze kuwa kuna Uzunguni na uhindini
Nilicho kujibu kupo tofauti na ulicho uliza...?Umelifahamu swali langu lakini
Tatizo muda wa kuandika...😂😂😂 Hoja zako zinahitaji post yake...ila usijali nitakujibuBwana Iddy, kwa ajili ya uelewa wa wengi, sio vibaya ukatoa ufafanuzi wa hoja zangu. Haya mambo ya kupigiana simu yanaleta ukakasi kind off. Wewe mwaga data hapa jukwaani
Tusije umbuana, kwaheri!
🏃🏃🏃🏃🏃una miaka mingapi au mwaka mmoja huko dubai umeanza udalali.
Kwakweli...! Umemaliza Kila kitu😂😂😂😂Humu unabishana na maafisa ushafirishaji na ubashiri
Wengine wanaishi kwa shemeji hawana hata hela ya kuangalia youtube