X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #181
😂😂😂😂Kwanza hakapo Dubai 😁 Kuna mahala kamejiachanganya🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Kwanza hakapo Dubai 😁 Kuna mahala kamejiachanganya🤣🤣🤣
Ndo useme gharama za kule ???Kivipi asa unataka uje bila kujua gharama za maisha zipoje
Asante sana nitafanyia kazi ushauri wakoPole mleta mada kwa majibu unayopokea humu, ulifanya vyema saana kuweka kila kitu kinachokuhusu ktk hili tangazo lako.
Ninachokushauri ni kwamba, angalia kile wateja wanataka, mfano kama wanataka uwe mtu wa kuvaa mavazi fulani basi tafuta mavazi mazuri nadhifu.
Kuwa mnene au mwembamba sio shida kabisa ila je wavaa nini, mavazi yana uwezo wa kukufanya utambulike kwa namna gani na kuficha baadhi ya mambo fulani.
Unataka uthibitisho Gani nikuonyshe uamini na nitakuonyesha hapa hapa bila kificho...?Ndo useme gharama za kule ???
Ilihali upo Dubai???Haya maneno yanafikilisha sana ni kama vile up ko mwanagati💔🚮
To cut the story short., Uilitakiwa useme "gharama za huku"Unataka uthibitisho Gani nikuonyshe uamini na nitakuonyesha hapa hapa bila kificho...?
Shukrani sanaIDDY S MHANDO ana muda mfupi sana dubai, ni ajabu leo hii anataka kutembeza watu kona za huko.
2. Umekuwa attention sana kuwa katika midomo ya watu kila wakati. Ulitakiwa utulie na kufocus kwa kile kilichokupeleka kwanza. Ukusanye pesa/ mtaji then ndo uangalie fursa zingine (side hustling). Utajikuta kila kitu unakitaka alaf sio efficient kwa wakat huo
3. Jamii forum sio mahala sahihi kwq marketing has hasa ya sasa. Mana hata hata watu wa kuja huko kufanya utalii hawawez kuwa wengi. Watu wengi humu ni wasaka fursa kama mm na wew. So usiipe attention saana kweny plan zako kubwa kubwa kama hizi
Nipo DUBAI city... deira kwenye mtaa wa Al murar...! Kama upo jilani tutafutane +971581480619IDDY S MHANDO Nimekuuliza unakaa pande ipi maana Dubai imegawanyika sehemu mbili. Moja ni Old Dubai na new Dubai. Au kifupi nikueleze kuwa kuna Uzunguni na uhindini
Umelifahamu swali langu lakiniNipo DUBAI city... deira kwenye mtaa wa Al murar...! Kama upo jilani tutafutane +971581480619
Wapi nimesema we ni tapeli.Sijafikia hatua ya kuendesha maisha yangu kitapeli
Inaitwa City Centre Deira. Cities zipo nyingi Dubai. Kuna internet City, International City etcNipo DUBAI city... deira kwenye mtaa wa Al murar...! Kama upo jilani tutafutane +971581480619
To cut the story short., Uilitakiwa useme "gharama za huku"
Kawe kanaelewa kiswahili
Yap...yapInaitwa City Centre Deira. Cities zipo nyingi Dubai. Kuna internet City, International City etc
Hahahaha upload na VISA tuone.Bado najifunza kiswahili ila... kiukweli siwezi kudanganya...kuwa nipo sehemu Fulani kumbe sipo...!
View attachment 3018003
Boda Bado IPO nyumbani nimempa mdogo wangu...!Ila mwamba unaroho safi umeona njia kidgo tu hutaki upite peke yko safi sna wabongo roho mbaya ndio mana wanakushangaa wameshazoea kutapeliwa na wenye vitambi. Boda ulimuachia nani?
Hiyo hapo sema jingineHahahaha upload na VISA tuone.
Hawez kosa.. kuna mawakala wemgi tu wanawapeleka dubai, Qatar na Jordan kwenhe house keeping, casual cleaners na ulinzi. Although weng wao wakienda huwa na mipango ya vidili vingi vingi kama huyu mwishowe wanajiharibia na kurudishwa huku.
Kuna jamaa humu anawalaan sana mana alifanyaga interview pale sinza apelekwe ila waliotabgulia waliharibu kwa style hizi so, ile kampuni imepigwa derales. Iko sinza pale
Usipende kweka kila kitu hadharani unless mtu yupo serious na huduma yako hivyo anahitaji further proof.Hiyo hapo sema jingine