Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kumbe nipo zangu kigamboni kwenye jua kalii nimepauka kama samaki kibuaNdo ukome 😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe nipo zangu kigamboni kwenye jua kalii nimepauka kama samaki kibuaNdo ukome 😂😂😂😂
Huna akiliMtu ana mshauri mwenzako ili afanikiwe zaidi weww unatoa mfano na mshahara wa Polepole.
Sasa pesa za polepole zinamsaidia nini Mleta uzi au mtoa ushauri? Ni za kwake yeye na familia yake tu hata wewe hazikuhusu.
Unakaa pande ipiJe unawaza kwenda Dubai kibiashara...?
Je unawaza kwenda Dubai kwaajili ya KUTAFUTA kazi...?
Je unawaza kwenda Dubai kutembea...?
Kwa unae taka kwenda Dubai kwa Sababu nilizo ziainisha hapo juu solution la tatizo lako Mimi ninalo.
View attachment 3017911
Ukifikiria kwenda Dubai usiogope Tena juu ya wapi utafikia, nani atakupokea airport...na ni nani atakutembeza kupata kile utakacho kifata...!
Kwa gharama nafuu sana nitakutembeza na kukuguide kwa muda tutakao elewana.
Hivyo usiogope Tena kuja Dubai...!
Nipo DUBAI kwaajili Yako njoo Whatsapp tujadiliane Katalog von mhando auf WhatsApp ansehen
{+971581480619 Whatsapp}
Wee kiboko 😂😂🤣🤣Kumbe nipo zangu kigamboni kwenye jua kalii nimepauka kama samaki kibua
Umesomeka 🤣🤣🤣Mleta mada chukua ushauri wa wadau positively siyo lazima unenepe shavu ila weka tangazo uonekane presentable.
Picha uliyoweka unaonekana Kama dalali wa vyumba mwananyamala au Kigogo kwa wengi watakukwepa.
Kwa TanzaniA ama...?Unakaa pande ipi
Maba kauza simu ili alipe mkopo 🤣😁Wee kiboko 😂😂🤣🤣
Ww na maba mnazingua sana
Mbona Maxence Melo ni mwembamba? 😂 😂 😂In deed,
Ila humble down to the Earth..
Ukiwa mwembamba Sanaaa watu wanakudharau...
Sijawai penda kurudia wembamba wangu wa old stone age abadani
Kivipi asa unataka uje bila kujua gharama za maisha zipojeAmkeeeeeeni,,, kumekuchaaaa,,,,anajitekenya na kucheka mwenyewe🤣🤣🤣💔💔💔🚮
Don’t judge the book by its coverMuonekano wako mbona kama unahitaji wa kukushika mkono na wewe mwenyewe huko Dubai, ni kama fursa zimekupitia kushoto.
Boresha muonekano wako kwanza ndio uweke tangazo. Hiyo picha yako imekaa kama wewe mwenyewe ni tatizo kuliko kuwa suluhisho. Ni ngumu mtu kukuamini.
Jamaniiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alivyojua sipo kwa wazungu tu nikapewa hadi ignore [emoji16][emoji23]
Sijafikia hatua ya kuendesha maisha yangu kitapeliAu tapeli flani hivi😃
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sio ex unayemjua wewe bana!! Ex mwenyewe mwenye misingi ya kiumeni.
Ningetuma picha ila sipendagi kuweka vitu vyangu vinavyonihusu hapa.!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe nipo zangu kigamboni kwenye jua kalii nimepauka kama samaki kibua
Ngoja nifanye mpango wa kwenda dubei 🤣😂😁🤣Jamaniiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wm twende wotee bas mtanii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nifanye mpango wa kwenda dubei [emoji1787][emoji23][emoji16][emoji1787]
Mazao yote ya kiafrika huku ni bidhaa adimu Wana...! Huku awa Awana mashamba...!Kitu kingine, tuambie sisi huku tuwaletee nini huko ili kukuza biashara zetu pamoja na masoko ya nje.
DubaiKwa TanzaniA ama...?
😂😁😁Twende hadi ItalyWm twende wotee bas mtanii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]