Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Sikuja kutafuta shavu huku ndugu yangu...hata hivyo tokea ni zaliwe sikuwahi kunenepa huu ndio mwili wangu ninao pendezwa nao...!
Endelea kuhisi...!Unatafuta fursa kwa watu eeeeh.... Watu wameshtuka. Wanahisi....
Mkuu habari,
Nauli haipo constantly ila ndege za AirTanzania uki booking mwezi kabla ya safari inaweza kuwa rahisi kuliko mashirika mengine ya ndege...? Fursa zote zipo kwa kukumegea Siri tu vijana wengi mnao wasingizia kuwa wanauza madawa ya kulevya wenye frem za sinza na kwengineko mizigo yao wanaichukua moja kwa moja DUBAI ndio maana Wana mudu kulipia Kodi za frem zao🤣🤣🤣 Kazi zipo ila ni za kununua. Ila sahau kupata kazi uliyo somea...kwa kuanzia ni lazima ufanye cheap labour kwanza 😂😂😂
Mkuu habari,
Unaweza kunisaidia kazi gani ulizonazo na je unawezaje kumsaidia mtu apate kazi na Gharama zako zipoje kwa Faida ya wanajamvi, kusudi mtu ajue anaanzaje kabla Ajakucheki WhatsApp?
Shukrani.
Duuuhh!!!! Ilikuwa kazi gani hiyo mkuu??Mimi Sina nafasi ya kazi...ambazo nazifahamu zimesha jaa...! Commission yake ilikuwa 1.5 milioni
Duuuhh!!!! Ilikuwa kazi gani hiyo mkuu??
Duuuhhh noma sana mkuu, na mishahara yao inakuwa kiasi gani ?Ilikuwa kazi ya ULINZI...kimbembe ni kuwa ilikuwa lazima utume agent fee Kisha ndio upate visa.
Kuna watu watatu wali tuma na Jana Visa zao walitumiwa...hivi sasa wanasubiri ticket tu. Vipimo na mkataba watakuja kuvikuta huku huku ili kupunguza gharama...!
Mishahala inaanzia 1,000,000/= na kuendeleaDuuuhhh noma sana mkuu, na mishahara yao inakuwa kiasi gani ?
Je naww unamsaidia mtu akiwa Yupo Dubai kabisa au hata kama tupo bongo bado, na hapo ndio nilikuwa nataka nifaham gharama zako kwa mtu ambae ajakuja huko yani, na chance ya kupata kazi inakuwaje??
Haijaingia mdudu...inaendelea chini kwa chini...🤣🤣🤣🤣HII NDO JF 😂😂 biashara emeingia mdudu lishe
Mkuu unatembeleaga maeneo gani nami nipate kukupigia muluzi?Nishawahi kua mwembamba
Nimepima mwili wangu wa sasa miluzi ni mingi kuliko nilivyokua mwembamba
NI mjeda huyo huogopi...Mkuu unatembeleaga maeneo gani nami nipate kukupigia muluzi?
Hadi France mtani, napapenda Paris.[emoji23][emoji16][emoji16]Twende hadi Italy
Wee Dubai umewahi fika? MmmhIDDY S MHANDO Nimekuuliza unakaa pande ipi maana Dubai imegawanyika sehemu mbili. Moja ni Old Dubai na new Dubai. Au kifupi nikueleze kuwa kuna Uzunguni na uhindini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yap...yapView attachment 3018005metro hiyo hapo Bado huamini tu...?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Humu unabishana na maafisa ushafirishaji na ubashiri
Wengine wanaishi kwa shemeji hawana hata hela ya kuangalia youtube
Hapa ni wapiiii?
Nakazia, aboreshe muonekano kwanza ndipo arudi hapa na agenda zakeMuonekano wako mbona kama unahitaji wa kukushika mkono na wewe mwenyewe huko Dubai, ni kama fursa zimekupitia kushoto.
Boresha muonekano wako kwanza ndio uweke tangazo. Hiyo picha yako imekaa kama wewe mwenyewe ni tatizo kuliko kuwa suluhisho. Ni ngumu mtu kukuamini.