Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
ni nchi gani mkuu?Uzuri ulishakaa huku miaka kadhaa kuja ni kugusa tu
Wanaheshimu sana mtu aliyekaa huku akurudi kwao hawana makuu
asante rafiki yangu kwa kunielewa unajua watu ambao hawajawahi kutembea nchi za watu zenye ustaarabu wanazani kuwa utaperi unaweza kufanyika kama inavyo fanyika Tanzania...kwakweli kwa nchi za wenzetu wamefanikiwa sana kwa kiasi kikubwa kuzuia janja janja...ndio maana sehemu kama dubai ndio mahala pekee ambako mwanamke anaweza kutembea saa 8 za usiku bila kusindikizwa...lakini wabongo ukiwaambia hilo watakubishiaMnaponda kujifurahisha tuu, watu serious wanaotaka hiyo huduma watauliza maswali serious sio kuponda mwonekano wa mtu usiyemjua , hiyo huduma ni muhimu sana, niliwahi kwenda Paris kutembea tuu nikaunganishwa na jamaa from west Africa kwa malipo ili ani tembeze na trip ilikuwa very successful and stress free, acheni ujinga na ushamba
hata mimi niliwaza kama wewe ...ni kaamua tu kukaa kimya...wao wana waza kuibiana tuUshauri gan? Unavuta bangi nn!
nimecheka kwa sauti...Mie naomba nipatie connection na basha mmoko wa kiarabu nizamie huko Dubengaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fanyaa kuni inua kihivyoo yaan!!!
pesa yako tu ila hakuna ambacho dubai hakunaKwahiyo mkuu kwa mujibu wa picha yako huko "debei" hakuna biriani,kachori,bagia na sambusa kwa wingi??
Hata Dar sijawahi fika. Sana sana Nimefika Songea mjini tu. Kwetu Mbamba bayWee Dubai umewahi fika? Mmmh
Acha dharau dogoMuonekano wako mbona kama unahitaji wa kukushika mkono na wewe mwenyewe huko Dubai, ni kama fursa zimekupitia kushoto.
Boresha muonekano wako kwanza ndio uweke tangazo. Hiyo picha yako imekaa kama wewe mwenyewe ni tatizo kuliko kuwa suluhisho. Ni ngumu mtu kukuamini.
Eeeh fanya hivyoo bas nawee, [emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kwa sauti...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko ndo umeamua unichambee hivyooo? SijapendaaHata Dar sijawahi fika. Sana sana Nimefika Songea mjini tu. Kwetu Mbamba bay
Nchi gani?
Haijaathiri chochote...!Mkuu usingeweka picha
Yaishe wakunyumba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko ndo umeamua unichambee hivyooo? Sijapendaa
Imeathiri sanaHaijaathiri chochote...!
Imeathiri sana
Kwa mfalme chalesiNchi gani?