X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #61
Haija goma...hiyo imeenda😍🤣🤣uzi wa dubai ushachafuliwa na picha ya mweka mada! mkuu rudi kivyengine hii imegoma...😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haija goma...hiyo imeenda😍🤣🤣uzi wa dubai ushachafuliwa na picha ya mweka mada! mkuu rudi kivyengine hii imegoma...😀
Jamaa alikua ana m criticizes mtoa thread afanye kuboleshe afya na muonekano wake ili watu wamwamini maana anamwona jamaa Kama mwenye njaa..Dr unajipakulia minyamaa😂
Wala asitutoe kwenye reli... ukipata muda wa kuja Dubai nitafute nita ku assist...!All in all,
Tujifunze kumweshimu yeyote bila kuangalia muonekano au CHOCHOTE....
Kuna watu wana Dharau watu kwa kuwa fanyia assessment kua Ni duni kwa uvaaji na muonekano dhaifu
Sio vyema hata kidogo maana dakika yeyote MTU anaweza kua YEYOTE..
Kweli kabisaAll in all,
Tujifunze kumweshimu yeyote bila kuangalia muonekano au CHOCHOTE....
Kuna watu wana Dharau watu kwa kuwa fanyia assessment kua Ni duni kwa uvaaji na muonekano dhaifu
Sio vyema hata kidogo maana dakika yeyote MTU anaweza kua YEYOTE..
Sawa dokta muhimu tushajua wewe ni handsome na una muonekano wa kitajiriiJamaa alikua ana m criticizes mtoa thread afanye kuboleshe afya na muonekano wake ili watu wamwamini maana anamwona jamaa Kama mwenye njaa..
Apige akiwa amechuchumaa😁
sawa tutakuja dubaiHaija goma...hiyo imeenda😍🤣🤣
Mleta mada chukua ushauri wa wadau positively siyo lazima unenepe shavu ila weka tangazo uonekane presentable.Sikuja kutafuta shavu huku ndugu yangu...hata hivyo tokea ni zaliwe sikuwahi kunenepa huu ndio mwili wangu ninao pendezwa nao...!
Hajaandika kwa wivu amekushauri vizuri tu pengine lugha yake imekuwa ngumu kidogoMuache ana wivu pengine hata Kenya hapo apajui... watanzania tunajuana wenyewe kwa wenyewe
Au tapeli flani hivi😃Jamaa alikua ana m criticizes mtoa thread afanye kuboleshe afya na muonekano wake ili watu wamwamini maana anamwona jamaa Kama mwenye njaa..
In deed,Sawa dokta muhimu tushajua wewe ni handsome na una muonekano wa kitajirii
Mleta mada bila shaka utakuwa mtu wa Pwani watu wa mwambao huwa hawajali sana muonekano wao.Je unawaza kwenda Dubai kibiashara...?
Je unawaza kwenda Dubai kwaajili ya KUTAFUTA kazi...?
Je unawaza kwenda Dubai kutembea...?
Kwa unae taka kwenda Dubai kwa Sababu nilizo ziainisha hapo juu solution la tatizo lako Mimi ninalo.
View attachment 3017911
Ukifikiria kwenda Dubai usiogope Tena juu ya wapi utafikia, nani atakupokea airport...na ni nani atakutembeza kupata kile utakacho kifata...!
Kwa gharama nafuu sana nitakutembeza na kukuguide kwa muda tutakao elewana.
Hivyo usiogope Tena kuja Dubai...!
Nipo DUBAI kwaajili Yako njoo Whatsapp tujadiliane Katalog von mhando auf WhatsApp ansehen
{+971581480619 Whatsapp}
Amkeeeeeeni,,, kumekuchaaaa,,,,anajitekenya na kucheka mwenyewe🤣🤣🤣💔💔💔🚮Nitaandaa Uzi maalum kwaajili hiyo Wala usijali ndugu yangu... kwenye Uzi huo nitamwaga nondo zote kuanzia nauli, visa na gharama za maisha kule...!
Nishawahi kua mwembambaIn deed,
Ila humble down to the Earth..
Ukiwa mwembamba Sanaaa watu wanakudharau...
Sijawai penda kurudia wembamba wangu wa old stone age abadani
Tatizo la wabongo wengi wanapenda kusifiwa kuliko kukosolewa. Nilipoandika kuhusu muonekano wengi wamekimbilia kuwa aidha namdhihaki/kumdharau jamaa ama kunanga mwili wake.Mleta mada bila shaka utakuwa mtu wa Pwani watu wa mwambao huwa hawajali sana muonekano wao.
Ila zingatia sana comment ya kwanza hapo ya Ngurukia
Mhando kua serious na kitu unafanya. Maneno huwa yapo tu.. unakosa focus kwa kujib jibu kila mtuNiambie wewe mtu...umenikimbia Hadi nimekuachia...kisa nilikuomba kinyeo🤣🤣🤣🤣
Sas Nyamwi dhamira yako umjazie watu kijana wa Watu au vipAmkeeeeeeni,,, kumekuchaaaa,,,,anajitekenya na kucheka mwenyewe🤣🤣🤣💔💔💔🚮
chuki tu zimemjaa et muonekano hao ndiyo zile type za watu wanaomini ukiwa na kitambi basi unapesa foolish mind yupo dunia ya leo kw bahat mbaya ila akili ni dhana zakizamaniMuache ana wivu pengine hata Kenya hapo apajui... watanzania tunajuana wenyewe kwa wenyewe
Ndio maana DUDE wa kwenye bongo dar es salaam analikua Ana wa win watu wengi Sanaaaa..Au tapeli flani hivi😃