Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
HahahahaKwanza hakapo Dubai 😁 Kuna mahala kamejiachanganya🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaKwanza hakapo Dubai 😁 Kuna mahala kamejiachanganya🤣🤣🤣
Yani nachekaga mpk machozi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁 Dah ! Jamani 😂😁😁😁
Daha! We raraa reree umepigaje hapa km umepuliza hivi kdgo halafu ukang'ata.Kwa mfano mtu ni mgonjwa mahututi na akamkuta jamaa ndio Dr wa kumfanyia upasuaji etc je angeangaliwa kwanza muonekano wake
NB Kuna baadhi ya kazi mtu ukifanya muonekano na haiba ni muhimu kuzingatia
Yeah kabisa first impression yako mbele ya watu wengine inaweza kuamua either uaminike au upuuzwe😡Ndio maana DUDE wa kwenye bongo dar es salaam analikua Ana wa win watu wengi Sanaaaa..
Hii synopsis ya kuwa judge watu kwa appearance zao ipo Sanaa huku kwetu afrika mkuu 😊😊
Namkubali sana Fally anajua sana kuimba masebene ndio maana nimemuweka kwenye profile 😂😁😁😁Yani nachekaga mpk machozi 😂😂😂
Walaaah! Wewe ukinipa kibali mimi natupiaMpaka apate kibali kwa Lucas ama guede😂😊
IDDY S MHANDO ana muda mfupi sana dubai, ni ajabu leo hii anataka kutembeza watu kona za huko.Shem we huoni hiyo dis 😂
Kweli una mahaba naye mpk ukajipost ili kufanya uvuvi haramu 😂😂😂Namkubali sana Fally anajua sana kuimba masebene ndio maana nimemuweka kwenye profile 😂😁😁😁
Uzi ufungwe 😂😂😂😂IDDY S MHANDO ana muda mfupi sana dubai, ni ajabu leo hii anataka kutembeza watu kona za huko.
2. Umekuwa attention sana kuwa katika midomo ya watu kila wakati. Ulitakiwa utulie na kufocus kwa kile kilichokupeleka kwanza. Ukusanye pesa/ mtaji then ndo uangalie fursa zingine (side hustling). Utajikuta kila kitu unakitaka alaf sio efficient kwa wakat huo
3. Jamii forum sio mahala sahihi kwq marketing has hasa ya sasa. Mana hata hata watu wa kuja huko kufanya utalii hawawez kuwa wengi. Watu wengi humu ni wasaka fursa kama mm na wew. So usiipe attention saana kweny plan zako kubwa kubwa kama hizi
Je kama huko dubai hana kazi ya kufanyaIDDY S MHANDO ana muda mfupi sana dubai, ni ajabu leo hii anataka kutembeza watu kona za huko.
2. Umekuwa attention sana kuwa katika midomo ya watu kila wakati. Ulitakiwa utulie na kufocus kwa kile kilichokupeleka kwanza. Ukusanye pesa/ mtaji then ndo uangalie fursa zingine (side hustling). Utajikuta kila kitu unakitaka alaf sio efficient kwa wakat huo
3. Jamii forum sio mahala sahihi kwq marketing has hasa ya sasa. Mana hata hata watu wa kuja huko kufanya utalii hawawez kuwa wengi. Watu wengi humu ni wasaka fursa kama mm na wew. So usiipe attention saana kweny plan zako kubwa kubwa kama hizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu kantrii akamuumbua, ile siku nilicheka had machozi, kila nikikumbuka mbavu cna.Kweli una mahaba naye mpk ukajipost ili kufanya uvuvi haramu [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilitaka kuwachanganya tu 😂😁😁😁Kweli una mahaba naye mpk ukajipost ili kufanya uvuvi haramu 😂😂😂
Ila mwamba unaroho safi umeona njia kidgo tu hutaki upite peke yko safi sna wabongo roho mbaya ndio mana wanakushangaa wameshazoea kutapeliwa na wenye vitambi. Boda ulimuachia nani?Dah Wana wanamdiss mwanangu IDDY S MHANDO kisa mwonokano wanasahau so mda yupo huko maana alikuwa huku jehanam na alitaka kuuwawa kabla hajakimbilia huko mbinguni .
Mwanangu mwenyewe embu toa ABC mtu akitaka kuja huko ajiandae na nini ? Hasa vibali ,mshiko na mengineyo ili vijana wafanye chapu kuja kukucheki hapo ushuani
Kwahiyo ulikua unajifanya wewe ni fally ipupa?Nilitaka kuwachanganya tu 😂😁😁😁
Unataka nikupelekee Moto tukiwa Dubai?
Unasemea ile ya Italy sio ya fally lamomy ndio alijuwa pekee😂😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu kantrii akamuumbua, ile siku nilicheka had machozi, kila nikikumbuka mbavu cna.
KabisaWatu wanafocus na mambo mengine. Appearance is deceiving.
Muhoji maswali, ona kama anamake sense fanya naye kazi
Hapana Mimi ni vin sio Fally ni rolimodoKwahiyo ulikua unajifanya wewe ni fally ipupa?
KumekuchaUnataka nikupelekee Moto tukiwa Dubai?