Kwa mnaotaka kuja Dubai, huu ni uzi wenu

Kwa mnaotaka kuja Dubai, huu ni uzi wenu

Tatizo la wabongo wengi wanapenda kusifiwa kuliko kukosolewa. Nilipoandika kuhusu muonekano wengi wamekimbilia kuwa aidha namdhihaki/kumdharau jamaa ama kunanga mwili wake.

Nahisi Mkuu umeelewa zaidi dhamira na point yangu.
Watu tunakuwa rated kwa uharaka na muonekano ajitahidi kuzingatia ushauri wako utamsaidia sana.

Haoni hata matapeli wengi hujificha kwenye muonekano na haiba ?
 
Muonekano wako mbona kama unahitaji wa kukushika mkono na wewe mwenyewe huko Dubai, ni kama fursa zimekupitia kushoto.

Boresha muonekano wako kwanza ndio uweke tangazo. Hiyo picha yako imekaa kama wewe mwenyewe ni tatizo kuliko kuwa suluhisho. Ni ngumu mtu kukuamini.
We jamaa ni miongoni mwa watu wajinga sana mliopo nchini. Hadi leo unadhani unene ndo mwonekano mzuri. Nadhaji pia unadhani kuvaa suti ndo ujanja sana. Huyo jamaa sijaona tatizo lolote kuanzia mwonekano hadi mavazi. Usimhukumu mtu kupitia mwonekano wake. Carlos alikuwa handsome na mwonekano mzuri ila gaidi.
 
Pole mleta mada kwa majibu unayopokea humu, ulifanya vyema saana kuweka kila kitu kinachokuhusu ktk hili tangazo lako.

Ninachokushauri ni kwamba, angalia kile wateja wanataka, mfano kama wanataka uwe mtu wa kuvaa mavazi fulani basi tafuta mavazi mazuri nadhifu.

Kuwa mnene au mwembamba sio shida kabisa ila je wavaa nini, mavazi yana uwezo wa kukufanya utambulike kwa namna gani na kuficha baadhi ya mambo fulani.
 
Back
Top Bottom