Haipo hivyo ila bia supermarket ni kama Bongo au cheep zaidi.. Halafu kwa uchumi wa Ujerumani hiyo pesa ya bia ni kama sh. 100 tuu haiumizi yani bia ipo bei chini kuliko kilo ya mchele au robo kilo ya karanga.. So unaweza kuelewaUsiniambie mkuu yani pale Berlin wali ndondo ni Buku?
[emoji16][emoji2][emoji2] hapana mkuu, ni fact iliyo wazi kabisa: huweziMkuu umetufokea....π³π³π³
Yaani ni kama menu ya KFC Β£5 wakati kibarua wa mwisho kabisa analipwa Β£8 kwa saa! Kifupi mtu huyu anaweza kula milo mitatu kwa kufanya kazi masaa mawili.Usiniambie mkuu yani pale Berlin wali ndondo ni Buku?
Mkuu unaogopa unyanyapaa kutokea demu wa kizungu, au utakuwa unaogopa kupewa msala wa sexual harassment urudishwe bongo mkuku mkuku.....Wapo Africans wengi, unakula mkenya, akizubaa unakula mnaija hivyohivyo wazungu ni ngumu labda wale wa kujiuza
Zakushiba!!?? au ndo kama zile za KFC kwenye kakipochi chips sita.?Chips 8000
Nilishasema huyu ni parabola jumlisha ontario mwenye mapembe.Wee jamaa utakuwa unatafuta namna ya kuwapiga watu, maana si kwa spidi hii ya kutangaza maisha ya ughaibuni Norway......
Sasa ndugu yangu kama ni hvyo kumbe hata mimi naweza kukomaa huko mchele 1kg 7000, hapo utakua ni mwendo wa wali mkavu na chai au maji ya bomba kama ulivyoainisha mkuuπππππMoja ya swali ambalo nimeulizwa Sana na wadau humu Ni kuhusu chakula.
Imenibidi nijibu hili kwa kuweka post maana Kuna Mtu amesema yeye amefanya kila aliwezalo kuja na amefanikiwa kwa 90%(anajua mwenyewe kafanyaje) maana yeye ni Mtu anayependa kula na kupiga gambe.
Mimi mwanzo kabisa nilipoingia niseme wazi nilipata changamoto kubwa Sana ya chakula, ulikuwa mtihani Ila baada ya muda nilizoea vyakula vyao na gharama zake taratibu.
Hivyo ni vyema nikaeleza Hali halisi ili Mtu ajue kupoje kwenye suala la chakula huku.
Huku hakuna mama ntilie au mgahawa bubu ambapo utaingia na sh.2000 utaondoka umeshiba, la hasha huku kwenye msosi kuna migahawa ambayo ni ya hadhi kidogo na bei imechangamka ukitaka kula na kushiba andaa 60000 hadi 80000, elfu sitini Hadi elfu themanini.
Karibu vyakula vingi vinapatikana ni pesa yako tu.
Nakutolea mfano tu: kilo ya mchele huku ni Kati ya Tshs 6000 - 8000, na kilo ya nyama ni Kati ya Tshs 70000 - 90000. Yes ni elfu sabini hadi elfu tisini(natamani bongo iwe hivi ili watu waheshimiane)
Hivyo kula wali nyama ni anasa, Mimi chakula changu kikubwa ni mikate, sausage, maziwa, samaki, chips n.k.
Maji ya kunywa Mara nyingi nikienda kwenye kazi nachota ya bomba, ni masafi na mazuri Sana Ila ukitaka kununua ya chupa ni sawa pia.
Kuhusu beer Kuna gharama kidogo Ila bei ni sh.8500 kwa baadhi ya bia na nyingine ni zaidi ya hapo, hadi heineken zipo Ila ni sh 12000. Na pia soda pepsi zipo bei ni humohumo 8500
Suala la mwisho ambalo ungependa kujua ni gharama za ninapoishi, ni chumba kimoja Cha kulala na gharama ni million 2 kwa mwezi.
Nahisi nitakuwa nimejibu maswali ya wadau wengi pamoja na aliyeniuliza.
Chini ni picha moja ya mgahawa nikiwa na maji ya Farris, na vyakula ndani ya huo mgahawa.
Picha nyingine ni bar, huku hata ukiwa bar hakuna kujuana kila mtu afanye mishe zake, hawapendi kabisa kupiga story na mtu wasiyemjua.
Ina maana mkuu mpaka sahiv hujala papuchi ya kizungu, we n wakenya tu na nigerians?Wapo Africans wengi, unakula mkenya, akizubaa unakula mnaija hivyohivyo wazungu ni ngumu labda wale wa kujiuza
Mi ndo nshashupaa hivyo. Unalo ng'wanawane [emoji16][emoji16][emoji16]Hahaaa...nilikua natania tu mkuu....!
Hahaha nahobhaga nkoiπMi ndo nshashupaa hivyo. Unalo ng'wanawane [emoji16][emoji16][emoji16]
Wangari Maathai kwavile nipo bongo sasa ivi wewe niunganishe nae kwanza niendelee kuitumia huku afisa uhamiaji wakitafakari hatma ya makaratasi yake ya passportMkuu...wanawake wenye miili yao huko vipi? Yaan wenye kiuno kilichojikata wanasoko?? Makalio makubwa wana thoko? Nimuunganishe shogangu
vi babu ambayo itabidi uviogesheAny connection? Au hadi tinder!πΆ
yaani iyo kitu ina raha zake pindi nikikutana nayo! πUganda na sisi tunapitwa kidg kwenye ile sector!π¦
πyaani iyo kitu ina raha zake pindi nikikutana nayo! π
Mradi nalipwa vizuri mkuu sina shidavi babu ambayo itabidi uviogeshe