Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Mbona hawawek ushahidi akapigwa life banKuna mtu huko nyuma kasema umempiga mtu 7m ni kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hawawek ushahidi akapigwa life banKuna mtu huko nyuma kasema umempiga mtu 7m ni kweli?
Sio uchawi. Kuna kitu amesahau kusema. Nini wastani wa kipato kwa shilingi za kikwetu.acha uchawi Mkuu
Troobaah!! Bongo SitokiNimeweka kwa tsh, hivyo wewe Soma Kama ilivyo
Ndio maana nimemuuliza mhusika.Mbona hawawek ushahidi akapigwa life ban
Bageshi, huyo shoga yako niunganishe mimi. Atakuja kukushukuru sana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji123][emoji123][emoji123]Mkuu...wanawake wenye miili yao huko vipi? Yaan wenye kiuno kilichojikata wanasoko?? Makalio makubwa wana thoko? Nimuunganishe shogangu
🤣🤣🤣! Kama namuona atakavyokuwa mtumwa...lolBageshi, huyo shoga yako niunganishe mimi. Atakuja kukushukuru sana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji123][emoji123][emoji123]
Mkuu umetufokea....😳😳😳Hv mtaacha lini huu ulimbukeni wa kulinganisha gharama za maisha ya nchi mnazotembelea au kuishi na mlipotoka Tanzania? Acheni kabisa habari za ku convert pesa ya nchi fln na bongo.
Unakuta mtu mzima kabisa na ni msomi katembelea Europe au America akiingia mall anaanza ku convert gharama ya bidhaa kwa pesa za kibongo ilhali maisha na pato la mtu mmj mmj kati ya bongo na nchi nyingi za Ulaya ni tofauti. Ujira wa kupiga Box kwa saa Ulaya au US wa $15( minimum paycheck) kwa saa si sawa na ujira wa mlalahoi wa Viwanda vya wahindi pale Keko. Tujifunze kuishi sehemu husika kwa mazingira yake ya hapo, na siyo mtu unaishi Baltimore au conventry city huku ukitaka uishi kwa gharama za Mbeya Uyole, it's highly impossible. Kumbuka " if ur in Roma, do as Romans do"
Mtumwa wa nini? Hebu fanya kweli basi nkoyi![emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Kama namuona atakavyokuwa mtumwa...lol
Hahaaa...nilikua natania tu mkuu....!Mtumwa wa nini? Hebu fanya kweli basi nkoyi!
Tunaomba tu waweke ushahidi hapa ....!itasaidia sana ..Sio kweli
7m😀Kuna vitu ni vya kupuuzia, kwanza hata siamini Kama Kuna mtu katapeliwa na yoyote humu hiyo pesa pia Kwa jinsi watu walivyo humu pasingetosha
Nimecheka sanaMkuu huko fursa za waganga wa kienyeji zinapatikana?
maana bongo nyoso sana
Jf burudani Mkuu enjoyNimecheka sana