Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Nimepata my dear!jana tu hiyo hiyoWe ushapata tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepata my dear!jana tu hiyo hiyoWe ushapata tayari
🤣🤣🤣 dah maisha haya🤣🤣🤣Dera bila kyupi mwenzangu
Nakata rufaa...Nimepata my dear!jana tu hiyo hiyo
Naona tunaanza kutishwa sasa jamani! SaitakuajeSiye akina baba ni aibu kutoka kwako kwenda kushobokea kwa jirani, nyie akina mama ruksa ila msije kurudi mnalialia mkikuta nafasi zenu zimejazwa na mibebezi ya kutoka Eritrea...
Huamini? Nimepewa jana pm zungu zee🥺! Najipanga ngeli tu hapaNakata rufaa...
Ndo hivo, huwezi kupata kila kitu...Naona tunaanza kutishwa sasa jamani! Saitakuaje
Hahaha bahati mbaya ntu unayemtisha hayo hatishikagi!😀😀..mie nikiamua kitu mara nyingi nakifanya mkuu..ngumu sana kunitisha nikatishika😀Ndo hivo, huwezi kupata kila kitu...
Nipe tenda nikupige ngeli, usipo tema yai kama Theresa May nakurudishia pesa yako.Huamini? Nimepewa jana pm zungu zee🥺! Najipanga ngeli tu hapa
🤣🤣! Napiga shortcut ya kunywa tu daily ung'eng'e ushuke hiyo fee ya ngeli bora nikanunue kijora cha kumtega mume😀Nipe tenda nikupige ngeli, usipo tema yai kama Theresa May nakurudishia pesa yako.
Wee si unaogopa hadi mende, basi endelea kukaza...Hahaha bahati mbaya ntu unayemtisha hayo hatishikagi!😀😀..mie nikiamua kitu mara nyingi nakifanya mkuu..ngumu sana kunitisha nikatishika😀
🤣🤣 mende niogope mimi???khaaa..kwani mm mwanadaresalama mkuu?Wee si unaogopa hadi mende, basi endelea kukaza...
Nawajuaga sana mibebezi mnavyoogopa vitu vya ajabu, mende anaweza kutamba nyumba nzima.🤣🤣 mende niogope mimi???khaaa..kwani mm mwanadaresalama mkuu?
Mimi washawasha aka chavichavi napanya...dah..hapo ntakaaNawajuaga sana mibebezi mnavyoogopa vitu vya ajabu, mende anaweza kutamba nyumba nzima.
Vipi kinyonga, hata mimi sipendi mtu aniletee kinyonga.....nitatimua mbio.Mimi washawasha aka chavichavi napanya...dah..hapo ntakaa
Kinyonga hata na mkono nashika...na nauaVipi kinyonga, hata mimi sipendi mtu aniletee kinyonga.....nitatimua mbio.
Aisee Acha niendelee kula Chips kwa Eddo 🚶🏽♀️Moja ya swali ambalo nimeulizwa Sana na wadau humu Ni kuhusu chakula.
Imenibidi nijibu hili kwa kuweka post maana Kuna Mtu amesema yeye amefanya kila aliwezalo kuja na amefanikiwa kwa 90%(anajua mwenyewe kafanyaje) maana yeye ni Mtu anayependa kula na kupiga gambe.
Mimi mwanzo kabisa nilipoingia niseme wazi nilipata changamoto kubwa Sana ya chakula, ulikuwa mtihani Ila baada ya muda nilizoea vyakula vyao na gharama zake taratibu.
Hivyo ni vyema nikaeleza Hali halisi ili Mtu ajue kupoje kwenye suala la chakula huku.
Huku hakuna mama ntilie au mgahawa bubu ambapo utaingia na sh.2000 utaondoka umeshiba, la hasha huku kwenye msosi kuna migahawa ambayo ni ya hadhi kidogo na bei imechangamka ukitaka kula na kushiba andaa 60000 hadi 80000, elfu sitini Hadi elfu themanini.
Karibu vyakula vingi vinapatikana ni pesa yako tu.
Nakutolea mfano tu: kilo ya mchele huku ni Kati ya Tshs 6000 - 8000, na kilo ya nyama ni Kati ya Tshs 70000 - 90000. Yes ni elfu sabini hadi elfu tisini(natamani bongo iwe hivi ili watu waheshimiane)
Hivyo kula wali nyama ni anasa, Mimi chakula changu kikubwa ni mikate, sausage, maziwa, samaki, chips n.k.
Maji ya kunywa Mara nyingi nikienda kwenye kazi nachota ya bomba, ni masafi na mazuri Sana Ila ukitaka kununua ya chupa ni sawa pia.
Kuhusu beer Kuna gharama kidogo Ila bei ni sh.8500 kwa baadhi ya bia na nyingine ni zaidi ya hapo, hadi heineken zipo Ila ni sh 12000. Na pia soda pepsi zipo bei ni humohumo 8500
Suala la mwisho ambalo ungependa kujua ni gharama za ninapoishi, ni chumba kimoja Cha kulala na gharama ni million 2 kwa mwezi.
Nahisi nitakuwa nimejibu maswali ya wadau wengi pamoja na aliyeniuliza.
Chini ni picha moja ya mgahawa nikiwa na maji ya Farris, na vyakula ndani ya huo mgahawa.
Picha nyingine ni bar, huku hata ukiwa bar hakuna kujuana kila mtu afanye mishe zake, hawapendi kabisa kupiga story na mtu wasiyemjua.
View attachment 1806118View attachment 1806119View attachment 1806120View attachment 1806122