Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Nna madogo hapa bora niwaswage tu huko nje walau wanilee dada yao..maana umri ushagota!pm nafungagammh,best we ndio upo na body structure iyo?? halafu PM yako mbona umeifunga jirani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nna madogo hapa bora niwaswage tu huko nje walau wanilee dada yao..maana umri ushagota!pm nafungagammh,best we ndio upo na body structure iyo?? halafu PM yako mbona umeifunga jirani
Sasa embu toa ufafanuzi kidogo uthamani wa hiyo hela ya huko dhidi ya kwetu, maana unazidi tu kunichanganya.Bongo iwe hivi watu waheshimiane
Nahisi unatumia 3rd prty kuongea mkuu!Mkuu...wanawake wenye miili yao huko vipi? Yaan wenye kiuno kilichojikata wanasoko?? Makalio makubwa wana thoko? Nimuunganishe shogangu
Ndugu zangu...life bongo linakinai kakaNahisi unatumia 3rd prty kuongea mkuu!
Siyo kwamba ni wewe ndiye mwenye maumbile hayo?
Maana wazuri wote hujijua ila huwa hawataki kusema mpaka wasemewe!
Hii thread iko kitapeli mnoo.Moja ya swali ambalo nimeulizwa Sana na wadau humu Ni kuhusu chakula.
Imenibidi nijibu hili kwa kuweka post maana Kuna Mtu amesema yeye amefanya kila aliwezalo kuja na amefanikiwa kwa 90%(anajua mwenyewe kafanyaje) maana yeye ni Mtu anayependa kula na kupiga gambe.
Mimi mwanzo kabisa nilipoingia niseme wazi nilipata changamoto kubwa Sana ya chakula, ulikuwa mtihani Ila baada ya muda nilizoea vyakula vyao na gharama zake taratibu.
Hivyo ni vyema nikaeleza Hali halisi ili Mtu ajue kupoje kwenye suala la chakula huku.
Huku hakuna mama ntilie au mgahawa bubu ambapo utaingia na sh.2000 utaondoka umeshiba, la hasha huku kwenye msosi kuna migahawa ambayo ni ya hadhi kidogo na bei imechangamka ukitaka kula na kushiba andaa 60000 hadi 80000, elfu sitini Hadi elfu themanini.
Karibu vyakula vingi vinapatikana ni pesa yako tu.
Nakutolea mfano tu: kilo ya mchele huku ni Kati ya Tshs 6000 - 8000, na kilo ya nyama ni Kati ya Tshs 70000 - 90000. Yes ni elfu sabini hadi elfu tisini(natamani bongo iwe hivi ili watu waheshimiane)
Hivyo kula wali nyama ni anasa, Mimi chakula changu kikubwa ni mikate, sausage, maziwa, samaki, chips n.k.
Maji ya kunywa Mara nyingi nikienda kwenye kazi nachota ya bomba, ni masafi na mazuri Sana Ila ukitaka kununua ya chupa ni sawa pia.
Kuhusu beer Kuna gharama kidogo Ila bei ni sh.8500 kwa baadhi ya bia na nyingine ni zaidi ya hapo, hadi heineken zipo Ila ni sh 12000. Na pia soda pepsi zipo bei ni humohumo 8500
Suala la mwisho ambalo ungependa kujua ni gharama za ninapoishi, ni chumba kimoja Cha kulala na gharama ni million 2 kwa mwezi.
Nahisi nitakuwa nimejibu maswali ya wadau wengi pamoja na aliyeniuliza.
Chini ni picha moja ya mgahawa nikiwa na maji ya Farris, na vyakula ndani ya huo mgahawa.
Picha nyingine ni bar, huku hata ukiwa bar hakuna kujuana kila mtu afanye mishe zake, hawapendi kabisa kupiga story na mtu wasiyemjua.
View attachment 1806118View attachment 1806119View attachment 1806120View attachment 1806122
Mkuu jamani si umeona hizo picha jamanii[emoji16]Wee jamaa utakuwa unatafuta namna ya kuwapiga watu, maana si kwa spidi hii ya kutangaza maisha ya ughaibuni Norway......
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukiolewa huko hata na kibabu....usinisahau nipo tayari kuja kuwa house girl huko Norway
Na rates of currency conversionUsikate tamaa mkuu, swali la msingi kwa mleta mada je anapokea kiasi gani kwa wiki/mwezi(in Tsh)?
Tuanzie hapo.
Mkuu...wanawake wenye miili yao huko vipi? Yaan wenye kiuno kilichojikata wanasoko?? Makalio makubwa wana thoko? Nimuunganishe shogangu
usijali mzee mwenzanguNna madogo hapa bora niwaswage tu huko nje walau wanilee dada yao..maana umri ushagota!pm nafungaga
Yu wish....!Naona umetumia fursa vizuri hongera.
Mi nataka kazi, wangari ndio anatafuta ndoa....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini usitafute we mwenyewe hicho kibabu
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
mzee umasikini unanukia, sio kwenye nchi tu , hata familia au nyumba fulani ukienda na kukaribishwa ndani, hali ya hewa tu mle ndani inaweza kukupa jibu kuwa nyumba hii umasikini umetapakaa (roho ya umasikini), umasikini ni roho na inaweza kutambuliwa kwa lugha ya kiroho (discerning in the spirit). utajiri vilevile, kuna hali inakuambia na kwa uhakika kuwa mji huu ni wa kitajiri, nyumba hii ni yakitajiri, mtu huyu ni tajiri au masikini etc., mtu huyu ni mwema, mtu huyu ni hatari, mazingira haya ni hatari au salama au yana huzuni etc.Hahaha fafanua kidogo hapo nilipoweka wino mzito.
Hahahahhahaa umenilabel aise...hhaha...education is sexy😀😀!Mi nataka kazi, wangari ndio anatafuta ndoa....
Haya mzee mwenzangu...!usijali mzee mwenzangu