Wee si umeolewa? ukitaka wazungu wakuzimie uhakikishe una chura.Wadhungu wanaopenda kuoa waafrica wapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee si umeolewa? ukitaka wazungu wakuzimie uhakikishe una chura.Wadhungu wanaopenda kuoa waafrica wapo?
Hivi mbona tunaharibiana namna hii? Mm nimeolewa? Mbona tunaharibiana maisha hapa mjini jamani???Wee si umeolewa? ukitaka wazungu wakuzimie uhakikishe una chura.
Haya nimekutunzia siri, kipindi nipo majuu nilikuwa nakatiza mitaa na mbebezi wa kibotswana, mbona njemba za kizungu zilikuwa zinapiga jicho kinamna kwa jinsi mbebezi alivyofunga chura, mimi nikawa nasema kimoyomoyo hiiiii, botswana kuna mibebez bana bongo mtasubiri sana...Hivi mbona tunaharibiana namna hii? Mm nimeolewa? Mbona tunaharibiana maisha hapa mjini jamani???
Chura ntanunua kigodoro babe mradi uhakika wa maisha upo!
Live and die in Africa.Hapa napiga mishikaki ya nundu na chips kwa elfu sita tu, hata ndio maisha sio huko . Tena vitu vya huku ni vitamu kuliko vya huko ambavyo having ladha
Kwamba huku tumejichokea☺!mtuvumilie tu... vyura huku kuna vigodoro balaa tunadamshi tuHaya nimekutunzia siri, kipindi nipo majuu nilikuwa nakatiza mitaa na mbebezi wa kibotswana, mbona njemba za kizungu zilikuwa zinapiga jicho kinamna kwa jinsi mbebezi alivyofunga chura, mimi nikawa nasema kimoyomoyo hiiiii, botswana kuna mibebez bana bongo mtasubiri sana...
Na nyie hampo nyuma sana, EA mnakimbiza labda ligi inakuwa ngumu pande za rwanda na uganda.....kule kenya mtakuwa mnakimbiza kinyama.Kwamba huku tumejichokea☺!mtuvumilie tu... vyura huku kuna vigodoro balaa tunadamshi tu
tunashukuru Per Diem kwa michango yako ya kutupa mwanga wa uko dunia lakn unatutisha asee mlo mmoja utumie 60000 kwa kilo ya nyama kuna maisha apo??
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Uganda na sisi tunapitwa kidg kwenye ile sector!💦Na nyie hampo nyuma sana, EA mnakimbiza labda ligi inakuwa ngumu pande za rwanda na uganda.....kule kenya mtakuwa mnakimbiza kinyama.
Mhh! sijakupata...Uganda na sisi tunapitwa kidg kwenye ile sector!💦
😀😀! Lodge za Uganda naskia magodoro yako covered!Mhh! sijakupata...
Waterproof 😂😂😀😀! Lodge za Uganda naskia magodoro yako covered!
Hahaha....nimeshakusoma, nitajisogeza pande hizo...😀😀! Lodge za Uganda naskia magodoro yako covered!
😂😂😂
Kuna jamaa alishuhudia jana kwamba ameshaliza watu wawili jumla shilingi mil. 14, akili kumkichwa...
Utapanda ndege ipi ndugu yangu na hiyo mizigo, ama bombadia?Ukitaka kwenda huko unafungasha kiroba chako cha mchele kilo 100, unga wa dona na michembe. Maisha safi.
mmh,best we ndio upo na body structure iyo?? halafu PM yako mbona umeifunga jiraniMkuu...wanawake wenye miili yao huko vipi? Yaan wenye kiuno kilichojikata wanasoko?? Makalio makubwa wana thoko? Nimuunganishe shogangu
Hahaha fafanua kidogo hapo nilipoweka wino mzito.katika pitapita zangu zote majuu, nilichowaapreciate na kuona wametupita mbali sana na hatutakuja kuwakuta ni tabia ya usafi, kila kitu kisafi kuanzia mazingira ya nje, makazi, vyakula, usafiri, magari yote mapya, watu wasafi, hukuti nzi hata sehemu moja utatafuta inzi hutamkuta, hadi hewa safi. ukifika kule hata ukila chakula cha kimasikini tu ile kukaa miezi miwili mitatu hadi ngozi inabadilika unanawiri, yaani Mungu kawabariki upako wa maisha mazuri hadi ya hewa inakunawirisha hata kama hali yako ya chini tofauti na bongo mtu ana mihela lakini kakomaa utafikiri anachuna ngozi za watu, ukitoka huko kushuka tu uwanja wa dsm, kuanzia harufu ni tofauti kabisa, mazingira tofauti, watu tofauti hafuru ya umasikini imetapakaa kila mahali. Mungu atusaidie waafrica.