Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Ndio..Sema ni wewe unatafuta soko
Huko ulipo liko? Huku halipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio..Sema ni wewe unatafuta soko
Any connection? Au hadi tinder!😶Wapo
Huwezi kushindia mikate mkuu,mleta mada hatuwakilishi wabeba box wote,maisha ni popote,wewe na michongo yako tu.hapana mkuu..siwezi kushindia mikate mimi, hata Kwa bunduki 100 sitoki Africa hasa nyumbani (sweet Tanzania).
Last yr jan had april nilikua nakunywa asbh uji wa 500, mchana nakula msos wa 1000, usk napga dash ..mradi watendakazi wangu wale milo mi3! Maisha haya!!Huwezi kushindia mikate mkuu,mleta mada hatuwakilishi wabeba box wote,maisha ni popote,wewe na michongo yako tu.
Hiyo ilikua nchi gani?Last yr jan had april nilikua nakunywa asbh uji wa 500, mchana nakula msos wa 1000, usk napga dash ..mradi watendakazi wangu wale milo mi3! Maisha haya!!
TzHiyo ilikua nchi gani?
Sasa kuna mtu ka comment eti hawezi kwenda abroad coz vyakula tabu,kumbe hata Bongo ipo tu hiyo issue! Ndio maana nikamjibu,maisha ni popote,wewe na michongo yako tu.
Usiniambie mkuu yani pale Berlin wali ndondo ni Buku?Hizo nchi miyeyusho Ujerumani vitu kama Bongo tuu kwenye chakula
Connection sijui kwa kweliAny connection? Au hadi tinder![emoji55]
Cost utazikutana nazo utaomba poo bora ununue hukohukuUkitaka kwenda huko unafungasha kiroba chako cha mchele kilo 100, unga wa dona na michembe. Maisha safi.
Sidhani Kama inawezekana, kwanza hivi upo kweli huko wali ndondo?Usiniambie mkuu yani pale Berlin wali ndondo ni Buku?
Hizi hesabu zitakucheleweshaDah kumbe mbele na bongo tunatofautiana vitu vingi sana.
Leo nmegundua tofauti moja.
Yani ukipiga pasi ndefu ukiwa bongo unakuwa umesave kati ya 1000-3000.
Ila mbele ukipiga pasi ndefu unakuwa umeokoa kati ya 60,000/= hadi 120,000/=
Kweli bongo bahati mbaya
[emoji16][emoji16][emoji16]
Ukiolewa huko hata na kibabu....usinisahau nipo tayari kuja kuwa house girl huko NorwayWadhungu wanaopenda kuoa waafrica wapo?
Unipige pini😉!hahahaa haukawii kufanya usafi bila kyupi..mradi unipindue ufurahi nirudi Africa! Ila naskia wathungu wanataka slim ....! Kama ww slim sithubutu😶Ukiolewa huko hata na kibabu....usinisahau nipo tayari kuja kuwa house girl huko Norway