Kwa mnaotaka kuja Norway, ujipange kwa vyakula na vinywaji

Kwa mnaotaka kuja Norway, ujipange kwa vyakula na vinywaji

Dah kumbe mbele na bongo tunatofautiana vitu vingi sana.

Leo nmegundua tofauti moja.

Yani ukipiga pasi ndefu ukiwa bongo unakuwa umesave kati ya 1000-3000.
Ila mbele ukipiga pasi ndefu unakuwa umeokoa kati ya 60,000/= hadi 120,000/=

Kweli bongo bahati mbaya

[emoji16][emoji16][emoji16]
Ujerumani pana unafuu sana kama ndo hivyo. Vyakula vingi super market bei hazitofautiani sana na Tz.
Ila ukienda mgahawa kweli bei zimetulia. Ukinunua super market unakula vizuri kwa bei poa kabisa.
 
Mabwana wa kipemba tun jaa kedekede sasa mwataka kimbilia vibabu Norway kunani jama?
Vibaya hivyoooo mshanifaham 🤣 🤣 tusitiriane humu humu uswahiliniiii
 
Nyama 90k kweli wafanya masikhara au unsema kweli weye?
Hapa Magomeni tunaheshimiana nyama tofauti supu ile ile 🤣 🤣 🤣
Asubuhi nagonga supu yangu ya mifumo na chapati naenda kuangusha msitu nikiwa na energy kisawa sawa
 
k]Katika pitapita zangu zote majuu, nilichowaapreciate na kuona wametupita mbali sana na hatutakuja kuwakuta ni tabia ya usafi, kila kitu kisafi kuanzia mazingira ya nje, makazi, vyakula, usafiri, magari yote mapya, watu wasafi, hukuti nzi hata sehemu moja utatafuta inzi hutamkuta, hadi hewa safi.

Ukifika kule hata ukila chakula cha kimasikini tu ile kukaa miezi miwili mitatu hadi ngozi inabadilika unanawiri, yaani Mungu kawabariki upako wa maisha mazuri hadi ya hewa inakunawirisha hata kama hali yako ya chini tofauti na bongo mtu ana mihela lakini kakomaa utafikiri anachuna ngozi za watu, ukitoka huko kushuka tu uwanja wa dsm, kuanzia harufu ni tofauti kabisa, mazingira tofauti, watu tofauti hafuru ya umasikini imetapakaa kila mahali. Mungu atusaidie waafrica.
Matusi hayo mkuu ,kumbuka ulipotoka hahhaha
 
siendi kuishi, umasikini wao ndio fursa kwangu ya kibiashara.
hata siku moja siwezi kwenda kuishi nchi nyingine tofauti na nchi yangu Tanzania.
Tanzania ndio kila kitu kwangu.
Wewe ni msukuma, bisha? Unapenda CCM bisha?
 
Mimi nadhani gharama za maisha inategemea na mzunguko wa pesa pia, kwenye theory za uchumi wanasema sehemu ukiona vitu ni gharama ujue mzunguko wa pesa ni mkubwa Sana
 
Wapo Africans wengi, unakula mkenya, akizubaa unakula mnaija hivyohivyo wazungu ni ngumu labda wale wa kujiuza
wanarogeka? Kama nikija na dawa za mapenzi? Kimzizi yaani.
Watanielewa km nikiuza?
 
Ukiolewa huko hata na kibabu....usinisahau nipo tayari kuja kuwa house girl huko Norway
house boy au house girl??
Uliwahi jadiliwa humu wewe jinsia yako haieleweki!! Nikakutetea sana.kuumbe ni kweli
 
yaani sijui umerogwa mkuu
Hata mimi nahisi hivyo, wapi ntapata mganga mzuri anifanyie mambo? Ambae haombi kuku please!!!! Nami nna nusu mwaka sijala kuku kununua afu nimpelekee mganga hapana....
 
Back
Top Bottom