Kwa mnaotaka kuja Norway, ujipange kwa vyakula na vinywaji

Kwa mnaotaka kuja Norway, ujipange kwa vyakula na vinywaji

k]Katika pitapita zangu zote majuu, nilichowaapreciate na kuona wametupita mbali sana na hatutakuja kuwakuta ni tabia ya usafi, kila kitu kisafi kuanzia mazingira ya nje, makazi, vyakula, usafiri, magari yote mapya, watu wasafi, hukuti nzi hata sehemu moja utatafuta inzi hutamkuta, hadi hewa safi.

Ukifika kule hata ukila chakula cha kimasikini tu ile kukaa miezi miwili mitatu hadi ngozi inabadilika unanawiri, yaani Mungu kawabariki upako wa maisha mazuri hadi ya hewa inakunawirisha hata kama hali yako ya chini tofauti na bongo mtu ana mihela lakini kakomaa utafikiri anachuna ngozi za watu, ukitoka huko kushuka tu uwanja wa dsm, kuanzia harufu ni tofauti kabisa, mazingira tofauti, watu tofauti hafuru ya umasikini imetapakaa kila mahali. Mungu atusaidie waafrica.
Ni kweli watu weusi ni wachafu wachafu sana. Wanapaswa kupewa elimu ya Usafi na Lishe
 
wazungu ndo dili hao,ukipiga piga akipata ujauzito ni vyema zaidi,hao wakina asha ndala ndefu unawaacha huku huku Bongo,sasa nifike mbele alafu nimsukumie moto Mkenya hapo sitakua serious
Mkenya [emoji848]
Sasa si bora hata wairaki wa Bongo kuliko hao watu mana ni katari sana
 
Unaenda ulaya maskini. Armenia ni kati ya nchi masikini ulaya kwa Africa ni kama Burundi hivi
siendi kuishi, umasikini wao ndio fursa kwangu ya kibiashara.
hata siku moja siwezi kwenda kuishi nchi nyingine tofauti na nchi yangu Tanzania.
Tanzania ndio kila kitu kwangu.
 
Duuu, ki ukweli nitafia tu hapa hapa bongo.,,siyawezi hayo maisha.
Dollar ukiibadilisha pesa za madafu utaona ni pesa nyingi sana , imagine unalipwa $35 kwa saa, piga mahesabu hapo!
 
hapana mkuu..siwezi kushindia mikate mimi, hata Kwa bunduki 100 sitoki Africa hasa nyumbani (sweet Tanzania).
Mshahara wako ni Tshs ngapi/unatengeneza kwa mwezi?
 
Dah kumbe mbele na bongo tunatofautiana vitu vingi sana.

Leo nmegundua tofauti moja.

Yani ukipiga pasi ndefu ukiwa bongo unakuwa umesave kati ya 1000-3000.
Ila mbele ukipiga pasi ndefu unakuwa umeokoa kati ya 60,000/= hadi 120,000/=

Kweli bongo bahati mbaya

😁😁😁
Ulaya ukishinda njaa siku moja unakufa mkuu, usije jaribu kufanya hivyo
 
Gharama za maisha kwa mtu wa kawaida ulaya haziko juu saaana, kwa infrastructures walizokwishaweka na teknolojia za kisasa walizonazo kwenye mambo ya uzalishaji wa vyakula na kutoa huduma mbalimbali unafanya gharama ziwe chini, sema itategemea unaishi kwenye jiji gani na eneo unalokaa. Mfano, kama unaishi kwenye mji mdogo au umepanga nje ya jiji (sub-urban areas) unaweza usione hizo gharama na utafanya savings za kutosha kuweza kujenga mjengo hata kununua gari la kisasa kabisa....
Sasa mkuu umerudi bongo kufanya nini, au uliacha familia? Huku labda kurudi kuwekeza tu!
 
Ukitaka kwenda huko unafungasha kiroba chako cha mchele kilo 100, unga wa dona na michembe. Maisha safi.
Tatizo mtoa mada hajui machimbo ambayo tunanunua maharage kwenye jagi ....yeye kwa maelezo yakee inaonekana anakaaa masaki ya norway...

Aje huku ndani ndani tunatumia hadi hela za kitz😎😎😎😎😂
 
Hv mtaacha lini huu ulimbukeni wa kulinganisha gharama za maisha ya nchi mnazotembelea au kuishi na mlipotoka Tanzania? Acheni kabisa habari za ku convert pesa ya nchi fln na bongo.

Unakuta mtu mzima kabisa na ni msomi katembelea Europe au America akiingia mall anaanza ku convert gharama ya bidhaa kwa pesa za kibongo ilhali maisha na pato la mtu mmj mmj kati ya bongo na nchi nyingi za Ulaya ni tofauti. Ujira wa kupiga Box kwa saa Ulaya au US wa $15( minimum paycheck) kwa saa si sawa na ujira wa mlalahoi wa Viwanda vya wahindi pale Keko. Tujifunze kuishi sehemu husika kwa mazingira yake ya hapo, na siyo mtu unaishi Baltimore au conventry city huku ukitaka uishi kwa gharama za Mbeya Uyole, it's highly impossible. Kumbuka " if ur in Roma, do as Romans do"
Mimi pia nimeshindwa kuelwwa kwa kweli kushindana na watu wanaolipwa kwa saa!!
 
Anaogopa kunyanyapaliwa huyo na hata kupewa msala wa sexual harassment na kurudishwa bongo, unaishi kwa tahadhari zote na bila kujiamini, ndo maana nayaita maisha ya utumwani....
Utumwa wakukosa madem wakizungu?
 
Chumba mill 2 huko ni sawa na huku los Angeles nalipa USD 1000 kwa mwezi..
Mkuu nifanyie mpango nije huko.. maana kila nikiamka asubuhi na angalia account ya bank na PASSPORT yangu kama viko salama na begi nimelipaki karibu kabisa na mlango ,nipo tayari muda wowote
 
Back
Top Bottom