Ujerumani pana unafuu sana kama ndo hivyo. Vyakula vingi super market bei hazitofautiani sana na Tz.Dah kumbe mbele na bongo tunatofautiana vitu vingi sana.
Leo nmegundua tofauti moja.
Yani ukipiga pasi ndefu ukiwa bongo unakuwa umesave kati ya 1000-3000.
Ila mbele ukipiga pasi ndefu unakuwa umeokoa kati ya 60,000/= hadi 120,000/=
Kweli bongo bahati mbaya
[emoji16][emoji16][emoji16]
Hamna pisi kali vimeo tu vya kizunguTupia picha ya pisi Kali za Norway
Nikweli kabsa. Ila utakufa ukiwa umesave ase.Ulaya ukishinda njaa siku moja unakufa mkuu, usije jaribu kufanya hivyo
Labda uende navyo kwa miguuUkitaka kwenda huko unafungasha kiroba chako cha mchele kilo 100, unga wa dona na michembe. Maisha safi.
Namaanisha:Kumaaaa nisha
Duh unamjua huyu![emoji28][emoji28]Msalimie Kissendi Nyanda Ntalima Mpandagoya
Yuko Denmark nafikiriSidhani kama hili jina lipo kwa wanorwishi, hata uje na tochi ya masasi 12 hulipati ngo'
Matusi hayo mkuu ,kumbuka ulipotoka hahhahak]Katika pitapita zangu zote majuu, nilichowaapreciate na kuona wametupita mbali sana na hatutakuja kuwakuta ni tabia ya usafi, kila kitu kisafi kuanzia mazingira ya nje, makazi, vyakula, usafiri, magari yote mapya, watu wasafi, hukuti nzi hata sehemu moja utatafuta inzi hutamkuta, hadi hewa safi.
Ukifika kule hata ukila chakula cha kimasikini tu ile kukaa miezi miwili mitatu hadi ngozi inabadilika unanawiri, yaani Mungu kawabariki upako wa maisha mazuri hadi ya hewa inakunawirisha hata kama hali yako ya chini tofauti na bongo mtu ana mihela lakini kakomaa utafikiri anachuna ngozi za watu, ukitoka huko kushuka tu uwanja wa dsm, kuanzia harufu ni tofauti kabisa, mazingira tofauti, watu tofauti hafuru ya umasikini imetapakaa kila mahali. Mungu atusaidie waafrica.
Wewe ni msukuma, bisha? Unapenda CCM bisha?siendi kuishi, umasikini wao ndio fursa kwangu ya kibiashara.
hata siku moja siwezi kwenda kuishi nchi nyingine tofauti na nchi yangu Tanzania.
Tanzania ndio kila kitu kwangu.
Naomba na mimi unipiyemu mana iko empty muda sasaApart masuala ya kiroho mie nawaza mambo positive zaid...ukiona nimeandika utopolo ujue nimechoka akili siku hiyo..nimekupiyemu
πππ leo umeamka kichwa si chako mkuu nadhani...hahaa !Naomba na mimi unipiyemu mana iko empty muda sasa
wanarogeka? Kama nikija na dawa za mapenzi? Kimzizi yaani.Wapo Africans wengi, unakula mkenya, akizubaa unakula mnaija hivyohivyo wazungu ni ngumu labda wale wa kujiuza
house boy au house girl??Ukiolewa huko hata na kibabu....usinisahau nipo tayari kuja kuwa house girl huko Norway
Doh!!! Maawamuzi ikawa niwe jinsia gani???house boy au house girl??
Uliwahi jadiliwa humu wewe jinsia yako haieleweki!! Nikakutetea sana.kuumbe ni kweli
wavumilie tu.wa hivi hata yesu walimwita tapeli kwa hiyo jua kwenye msafara wa Mamba kenge pia wamo!Haina shida
yaani sijui umerogwa mkuuDoh!!! Maawamuzi ikawa niwe jinsia gani???
Hata mimi nahisi hivyo, wapi ntapata mganga mzuri anifanyie mambo? Ambae haombi kuku please!!!! Nami nna nusu mwaka sijala kuku kununua afu nimpelekee mganga hapana....yaani sijui umerogwa mkuu