Kwa mnaotaka kuja Norway, ujipange kwa vyakula na vinywaji

Dah kumbe mbele na bongo tunatofautiana vitu vingi sana.

Leo nmegundua tofauti moja.

Yani ukipiga pasi ndefu ukiwa bongo unakuwa umesave kati ya 1000-3000.
Ila mbele ukipiga pasi ndefu unakuwa umeokoa kati ya 60,000/= hadi 120,000/=

Kweli bongo bahati mbaya

😁😁😁
 
Hizi hesabu zitakuchelewesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…