Kwa mnaotaka kuja Norway, ujipange kwa vyakula na vinywaji

Hivi mbona tunaharibiana namna hii? Mm nimeolewa? Mbona tunaharibiana maisha hapa mjini jamani???
Chura ntanunua kigodoro babe mradi uhakika wa maisha upo!
Haya nimekutunzia siri, kipindi nipo majuu nilikuwa nakatiza mitaa na mbebezi wa kibotswana, mbona njemba za kizungu zilikuwa zinapiga jicho kinamna kwa jinsi mbebezi alivyofunga chura, mimi nikawa nasema kimoyomoyo hiiiii, botswana kuna mibebez bana bongo mtasubiri sana...
 
Kwamba huku tumejichokea☺!mtuvumilie tu... vyura huku kuna vigodoro balaa tunadamshi tu
 
Hahaha fafanua kidogo hapo nilipoweka wino mzito.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…