Kwa mnaotaka kuja Norway, ujipange kwa vyakula na vinywaji

Siye akina baba ni aibu kutoka kwako kwenda kushobokea kwa jirani, nyie akina mama ruksa ila msije kurudi mnalialia mkikuta nafasi zenu zimejazwa na mibebezi ya kutoka Eritrea...
 
Siye akina baba ni aibu kutoka kwako kwenda kushobokea kwa jirani, nyie akina mama ruksa ila msije kurudi mnalialia mkikuta nafasi zenu zimejazwa na mibebezi ya kutoka Eritrea...
Naona tunaanza kutishwa sasa jamani! Saitakuaje
 
Nipe tenda nikupige ngeli, usipo tema yai kama Theresa May nakurudishia pesa yako.
🤣🤣! Napiga shortcut ya kunywa tu daily ung'eng'e ushuke hiyo fee ya ngeli bora nikanunue kijora cha kumtega mume😀
 
Aisee Acha niendelee kula Chips kwa Eddo 🚶🏽‍♀️
 
Kilo ya nyama elfu 70-90...sema umeandika kwa vitisho sana....kama muvi za kutisha.
 
Hakuna kitu bei chee Ulaya kama chakula! Nchi nyingi za Ulaya hasa EU zina standard moja ya maisha,tofauti ni ndogo sana. Sijafika Norway ila sidhani kama kilo ya nyama inafika 70,000! Nakumbuka enzi tunapiga box nyama ya kuku tulikuwa tunanunua kwenye box unachagua mapaja au vidari na box kubwa sana tunakula wiki nzima watu watano na wageni wakitokea, box lilikuwa £12, mchele Basmati kg5 ilikuwa £12-15,nyama lamb kilo £3 hivi nyama ya ng'ombe iko juu kama £4 kwa kilo au zaidi kidogo, mazagazaga mengine mostly kwenye makopo kwenye supermarket majuisi,yoghurt,etc bei chee tu. Kwa mishahara ya kubeba box hata minimum wage huumizi kichwa kwenye kula,kuvaa,kulala ndio maana unaona watu wakitoka majuu kuja bongo wanang'aa sana hata kama hawana hela za kujenga magorofa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…