Teee!!teh! Mkuu! Wacha kabisa utani!! Utumwa ni akili ya mtu.
wafanya kazi wa idara ya Afya bongo,waalimu, nk. ni watumwa Wasiojitambua kabisaaaa!!
Huko majuu ni mfanya kazi yeyote ni mtumwa mstaarabu unaependwa na bana kuba.kwa halizote.Ok angalia hii
H/girl wa kikwete ni tofauti na H/girl wa nyumisi lkn kazi ni ileile.
Ila huyu Wa kikwete analala pazuri ana kula vizuri tena chkla cha Rais mstaaf na kwa wakati na anachotaka.posho ndefu.
Linganisha na huyu wa nyumisi huko mbagala mara apige desh! Mara alale chini wageni wamekuja mweee!! Mara mshahara mwezi huu umechelewa! Hapati.
Unadhani km ana akili timamu akipewa kuchagua ata chagua wapi??...jibu unalo.
Africans bado ni watumwa mbaya tena kwa sasa ni waafrica wenzao wanawatumikisha bila huruma.
Mtu mmoja anaamua kukata tu, riziki la kundi flani la watu.kwa kisingizio eti ni wafanya kazi fake!! Wkt Waliidhinishwa na wizara na yeye mwenyewe kaiba kura tu ni fake!!
Sasa hao watoto wake aliyefanyiwa huu ukatili watasoma vipi???