Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana hamna pointi wala goli.Ujinga wa kununua mechi kwa pesa za GSM hamna.Argument ya kizembe hiyo
Huku kimataifa uwezo ndiyo unaongea na sio huu ujinga wa huku ligi kuu sasa Tabora akienda CAf atamfunga nani?
Uzuri kwenye Kila kundi zinapita timu mbili so Amna shida yeyote kwasisi wanalunyasi🦁, sisi ni wazoefu nyie ni wadhaifu mkuu no sindano no good resultI salute you kinsmen
Hawa Waarabu hapa wamewasha moto wa hatari sana kiasi kwamba naogopa team ya simba itaenda kutia aibu kubwa sana taifa siku zijazo maana wapo kundi moja.
Kutokana na tia maji tia maji ya Simba kama walivyocheza leo basi taifa linakwenda kupata aibu kubwa kuwahi kutokea week chache tu zijazo amini nawaambia.
Simba bado sana na wajipange sana hata hivyo uwezo wao mdogo sana kuweza kufanya vizuri mashindano haya ya luza.
Jipangeni ndugu zangu
Ttizo huna akili, sisi tumepangwa mara ngapi na hao Al ahly? na zote tumetoboa na mara moja kuongoza kundiNdiyo shida yenu hamtakagi kuambiwa ukweli
Sasa yanga wao wako vizuri sana unadhani yanga angecheza na wachovu mliocheza nao si hao waangola wangetandikwa hata 6?
Al hilal waliweka kikosi Chao cha ukweli ile x1 yenyewe
Halafu sasa sisi tulishapangwa mpaka kundi moja na ahly ahly na bado tukatoboa kumbuka mechi ya kwanza na CRB walitufunga tena 3 kwao kule .
Simba msimu huu ya kinyonge sana msije aema sikuwaambia
Kukusaidia Simba ilichukulia poa sana game ya Leo imekuwa ni surprise kiwanjani don't expect this to happen again nazani unakumbuka game ya Ahly Tripol we'd the same players.Ndiyo shida yenu hamtakagi kuambiwa ukweli
Sasa yanga wao wako vizuri sana unadhani yanga angecheza na wachovu mliocheza nao si hao waangola wangetandikwa hata 6?
Al hilal waliweka kikosi Chao cha ukweli ile x1 yenyewe
Halafu sasa sisi tulishapangwa mpaka kundi moja na ahly ahly na bado tukatoboa kumbuka mechi ya kwanza na CRB walitufunga tena 3 kwao kule .
Simba msimu huu ya kinyonge sana msije aema sikuwaambia
Ya Utopolo yamekushinda Jana, Leo umehamia kwa Mnyama....I salute you kinsmen
Hawa Waarabu hapa wamewasha moto wa hatari sana kiasi kwamba naogopa team ya simba itaenda kutia aibu kubwa sana taifa siku zijazo maana wapo kundi moja.
Kutokana na tia maji tia maji ya Simba kama walivyocheza leo basi taifa linakwenda kupata aibu kubwa kuwahi kutokea week chache tu zijazo amini nawaambia.
Simba bado sana na wajipange sana hata hivyo uwezo wao mdogo sana kuweza kufanya vizuri mashindano haya ya luza.
Jipangeni ndugu zangu
Chura huyo anajifariji kwa matokeo ya Al Hilal Omdurman.Al Ahly kwenye ubora kafungwa na mnyama umtishie hicho kituko mkuu!!
Nafikiria hofu iwe kwa timu yako maana kwa group ulilopo unaweza kuburuza mkia na sehemu ya watu kuokotea point
Juzi tu hapa mlikaa chupi upande wakawagonga unataka kusemaje kwamba mnawaweza sana wakati mliwahi kumfunga mara moja tu zingine zote kawagonga?Ttizo huna akili, sisi tumepangwa mara ngapi na hao Al ahly? na zote tumetoboa na mara moja kuongoza kundi
Tumewafunga zaidi ya mara moja na droo zaidi ya mara moja na hiyo ni juzi tuJuzi tu hapa mlikaa chupi upande wakawagonga unataka kusemaje kwamba mnawaweza sana wakati mliwahi kumfunga mara moja tu zingine zote kawagonga?
Uongo unakusaidia nini?Tumewafunga zaidi ya mara moja na droo zaidi ya mara moja na hiyo ni juzi tu
Tafuta taarifa sahihi ukianza na mwaka jana kwenye African football leagueUongo unakusaidia nini?
Sema sehemu ya wahuni kukojoleaAl Ahly kwenye ubora kafungwa na mnyama umtishie hicho kituko mkuu!!
Nafikiria hofu iwe kwa timu yako maana kwa group ulilopo unaweza kuburuza mkia na sehemu ya watu kuokotea point
Iwapo Tabora akienda CAF hawezi kumfunga yoyote isipokuwa Yanga.Argument ya kizembe hiyo
Huku kimataifa uwezo ndiyo unaongea na sio huu ujinga wa huku ligi kuu sasa Tabora akienda CAf atamfunga nani?
Argument za kitoto sanaNdio maana hamna pointi wala goli.Ujinga wa kununua mechi kwa pesa za GSM hamna.
Na yanga pia atafungwa na Tabora lakini mywetu simba aaah tunasogeza chupi upande upande tu imoooIwapo Tabora akienda CAF hawezi kumfunga yoyote isipokuwa Yanga.
Anadhani kaangalia mwenyewe, vile viwango vya kawaida tu,nilivyoangalia Simba na Bravo wakicheza karata zao vizuri ndo watafuzu kwenye hili kundiMoto gani... mechi tumeangalia ni papatupapatu tu
Simba alimfunga ahly ahly mara moja tu CAf champions league hapo kwa mkapa bao 1-0 enzi za pitso mosimane..Tafuta taarifa sahihi ukianza na mwaka jana kwenye African football league
Kwenye mpira hakuna kusogezana chupi tunacheza kutafuta magoli,kuvuana vyupi itakuwa michezo yenu huko Avic Town ndo maana viwango vimeshukaNa yanga pia atafungwa na Tabora lakini mywetu simba aaah tunasogeza chupi upande upande tu imooo