Kwa moto huu wa FC Constantine, Simba wajiandae kugongwa nyingi sana

Kwa moto huu wa FC Constantine, Simba wajiandae kugongwa nyingi sana

Moto gani... mechi tumeangalia ni papatupapatu tu
 
I salute you kinsmen
Hawa Waarabu hapa wamewasha moto wa hatari sana kiasi kwamba naogopa team ya simba itaenda kutia aibu kubwa sana taifa siku zijazo maana wapo kundi moja.

Kutokana na tia maji tia maji ya Simba kama walivyocheza leo basi taifa linakwenda kupata aibu kubwa kuwahi kutokea week chache tu zijazo amini nawaambia.

Simba bado sana na wajipange sana hata hivyo uwezo wao mdogo sana kuweza kufanya vizuri mashindano haya ya luza.

Jipangeni ndugu zangu
Uzuri kwenye Kila kundi zinapita timu mbili so Amna shida yeyote kwasisi wanalunyasi🦁, sisi ni wazoefu nyie ni wadhaifu mkuu no sindano no good result
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Ndiyo shida yenu hamtakagi kuambiwa ukweli
Sasa yanga wao wako vizuri sana unadhani yanga angecheza na wachovu mliocheza nao si hao waangola wangetandikwa hata 6?

Al hilal waliweka kikosi Chao cha ukweli ile x1 yenyewe
Halafu sasa sisi tulishapangwa mpaka kundi moja na ahly ahly na bado tukatoboa kumbuka mechi ya kwanza na CRB walitufunga tena 3 kwao kule .

Simba msimu huu ya kinyonge sana msije aema sikuwaambia
Ttizo huna akili, sisi tumepangwa mara ngapi na hao Al ahly? na zote tumetoboa na mara moja kuongoza kundi
 
Ndiyo shida yenu hamtakagi kuambiwa ukweli
Sasa yanga wao wako vizuri sana unadhani yanga angecheza na wachovu mliocheza nao si hao waangola wangetandikwa hata 6?

Al hilal waliweka kikosi Chao cha ukweli ile x1 yenyewe
Halafu sasa sisi tulishapangwa mpaka kundi moja na ahly ahly na bado tukatoboa kumbuka mechi ya kwanza na CRB walitufunga tena 3 kwao kule .

Simba msimu huu ya kinyonge sana msije aema sikuwaambia
Kukusaidia Simba ilichukulia poa sana game ya Leo imekuwa ni surprise kiwanjani don't expect this to happen again nazani unakumbuka game ya Ahly Tripol we'd the same players.
Ukitaka kujua hilo ndio maana akaanza na Mkwala, Ngoma plus Okejepha.
 
I salute you kinsmen
Hawa Waarabu hapa wamewasha moto wa hatari sana kiasi kwamba naogopa team ya simba itaenda kutia aibu kubwa sana taifa siku zijazo maana wapo kundi moja.

Kutokana na tia maji tia maji ya Simba kama walivyocheza leo basi taifa linakwenda kupata aibu kubwa kuwahi kutokea week chache tu zijazo amini nawaambia.

Simba bado sana na wajipange sana hata hivyo uwezo wao mdogo sana kuweza kufanya vizuri mashindano haya ya luza.

Jipangeni ndugu zangu
Ya Utopolo yamekushinda Jana, Leo umehamia kwa Mnyama....
 
Ttizo huna akili, sisi tumepangwa mara ngapi na hao Al ahly? na zote tumetoboa na mara moja kuongoza kundi
Juzi tu hapa mlikaa chupi upande wakawagonga unataka kusemaje kwamba mnawaweza sana wakati mliwahi kumfunga mara moja tu zingine zote kawagonga?
 
Juzi tu hapa mlikaa chupi upande wakawagonga unataka kusemaje kwamba mnawaweza sana wakati mliwahi kumfunga mara moja tu zingine zote kawagonga?
Tumewafunga zaidi ya mara moja na droo zaidi ya mara moja na hiyo ni juzi tu
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Sijui, ila mimi naamini matokeo mazuri unsyopata kwa timu B, hayatafsili matokeo utakapo cheza na timu C.
Nani alikua anajua K.M.C. atakula za kutosha kwa Simba, alafu pamba akomae.

Nani alikua anajua Al hillal atampanda yanga, ikiwa wenyewe yanga walikua hawafikili Swala ushindi, walishajihakikishia,
Hivyo walichokua wanafikilia wao ni kuwafunga idadi kubwa ya magoli.
 
Argument ya kizembe hiyo
Huku kimataifa uwezo ndiyo unaongea na sio huu ujinga wa huku ligi kuu sasa Tabora akienda CAf atamfunga nani?
Iwapo Tabora akienda CAF hawezi kumfunga yoyote isipokuwa Yanga.
 
Iwapo Tabora akienda CAF hawezi kumfunga yoyote isipokuwa Yanga.
Na yanga pia atafungwa na Tabora lakini mywetu simba aaah tunasogeza chupi upande upande tu imooo
 
Moto gani... mechi tumeangalia ni papatupapatu tu
Anadhani kaangalia mwenyewe, vile viwango vya kawaida tu,nilivyoangalia Simba na Bravo wakicheza karata zao vizuri ndo watafuzu kwenye hili kundi
 
Tafuta taarifa sahihi ukianza na mwaka jana kwenye African football league
Simba alimfunga ahly ahly mara moja tu CAf champions league hapo kwa mkapa bao 1-0 enzi za pitso mosimane..


Huko AFL mlitoa draw dar afu kule Cairo mkagongwa
Na CAF pia msimu ule yanga robo aliipangwa na mamelodi na simba alipangwa na ahl ahly mkagongwa tena .

Kama kuna zingine taja hebu fuatilia sawa?
 
Na yanga pia atafungwa na Tabora lakini mywetu simba aaah tunasogeza chupi upande upande tu imooo
Kwenye mpira hakuna kusogezana chupi tunacheza kutafuta magoli,kuvuana vyupi itakuwa michezo yenu huko Avic Town ndo maana viwango vimeshuka
 
Back
Top Bottom