Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #61
Dube hajafikisha mwaka bila goli ,Dube ana ngapi ?
Kibu kafikisha mwaka na miezi 6 anakimbilia miwili .
Takataka hiyo Rasta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dube hajafikisha mwaka bila goli ,Dube ana ngapi ?
hadi Chikola wa Tabora Boys anamzidi Kibu, na Dube pia lakini 😁😁😁Ligi tu kafikisha mwaka hajafunga goli mpaka mabeki wanamzidi
Anacheza mbele kazi yake ni kufunga no excuse!Kwani Kibu anacheza mwenyewe mbona wengine wanafunga, je nye mechi 3 mfululizo hamjashinda tusemaje? Mwaka huu hakuna kudunga sindano mtafululiza kupoteza back to back hadi game 6
Kama hamzidi Al Ahly basi bado sana kwa Simba. Ni rahisi kwa Simba kuiogopa Tabora Boys ya akina Chikola, lakini sio mwarabu 😀😀😀Ahly ahly hachezagi shirikisho jiheshimu we mzee
Nyie kaeni huko huko kwa kina mama huku wanacheza wababe tu si msimu jana tu waliwagonga nyie?
Hizi ni stress halafu kama wewe ni mwanaume kuwa unaongelea mambo ya chupi uache unatafsiriwa vibaya. Jana umedondosha point 3 Simba kapata point 3 move on ndio mechi ya Kwanza Acha ushamba😔Viwango vimeshuka kwa na pia yanga hii bii iliyowagonga miaka karibu minne.
Yaani mashabiki wa Simba huwa mna utoto sana .
Kibu ametimiza mwaka hajafunga je kiwango chake kimepanda eeh?
Akili mtu wangu
Ndiyo hilo ni kwelihadi Chikola wa Tabora Boys anamzidi Kibu, na Dube pia lakini 😁😁😁
OK sawa sawaKama hamzidi Al Ahly basi bado sana kwa Simba. Ni rahisi kwa Simba kuiogopa Tabora Boys ya akina Chikola, lakini sio mwarabu 😀😀😀
Hapa wanaongea wanaume OK?Hizi ni stress halafu kama wewe ni mwanaume kuwa unaongelea mambo ya chupi uache unatafsiriwa vibaya. Jana umedondosha point 3 Simba kapata point 3 move on ndio mechi ya Kwanza Acha ushamba😔
Ndiyo shida ya kutokuwa na akili Al ahly amewahi beba shirikisho, kuku weweAhly ahly hachezagi shirikisho jiheshimu we mzee
Nyie kaeni huko huko kwa kina mama huku wanacheza wababe tu si msimu jana tu waliwagonga nyie?
Yaani robo tu inawatosha hata kama tia maji tia majieti eehTia maji tia maji mpaka robo kawaida yetu
Acha matusi kama mwanaume kweli ongea point. Kashauri timu lako lilifungwa Jana.Hapa wanaongea wanaume OK?
Wewe endelea kujichekesha tu sina time na wewe huna la kuongea🤣
German machine hoyeeer! Gamondi ziiiii 😀😀😀😀OK sawa sawa
Ni rahisi sana yanga kuiogopa Tabora kuliko simba tunayojipigia kila day kama demu wetu tu 🤣
Kibu ni mwaka tu, kwanza Kibu na Dube nani kazi yake kufunga?Dube hajafikisha mwaka bila goli ,
Kibu kafikisha mwaka na miezi 6 anakimbilia miwili .
Takataka hiyo Rasta
Ilikuwa zamani na ana muda mrefu hajacheza huko kila mara yeye ni CAFCl na anakuwa bingwa anapokelezana tu na wydadNdiyo shida ya kutokuwa na akili Al ahly amewahi beba shirikisho, kuku wewe
We robo unaichukulia ppwa,africa kuna timu zaidi ya 859 za ligi kuu,robo xinaingia yimu 8 tu,na simba imo uschukulie poaYaani robo tu inawatosha hata kaa tia maji tia majieti eeh
Kibu anacheza winga pembeniKibu ni mwaka tu, kwanza Kibu na Dube nani kazi yake kufunga?
Basi mchukueni Chikola badala ya Dube. Ila utopolo hawatabiriki, nimesikia wanawinda saini za Fredy fungafunga na Jobe 😀😀😀Ndiyo hilo ni kweli
Dube na kibu wote ni wazembe na wawajibike!
Mwenzio anadai kibu kwani anacheza peke yake so na dube anacheza peke yake?
Katika hizo 859 nyingi ni mchekea wababe ni wachache sana ambao ndiyo mabingwa na wengine wasindikizaji akiwemo simbaWe robo unaichukulia ppwa,africa kuna timu zaidi ya 859 za ligi kuu,robo xinaingia yimu 8 tu,na simba imo uschukulie poa
Sasa angalau chikola atatusaidia vipi mbangula striker hatari nimeskia simbilisi mpo katika hatua za mwisho kumsainisha pale lunyasi🤣Basi mchukueni Chikola badala ya Dube. Ila utopolo hawatabiriki, nimesikia wanawinda saini za Fredy fungafunga na Jobe 😀😀😀
Msimsahau na mbangulaTutaongeza nguvu dirisha dogo kwa kumsajili Dube 😀😀😀