Sharbel
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 1,393
- 2,759
Tuweke na TaboraIlikuwa zamani na ana muda mrefu hajacheza huko kila mara yeye ni CAFCl na anakuwa bingwa anapokelezana tu na wydad
Sasa nyie simbilisi sijui tuwaweke wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuweke na TaboraIlikuwa zamani na ana muda mrefu hajacheza huko kila mara yeye ni CAFCl na anakuwa bingwa anapokelezana tu na wydad
Sasa nyie simbilisi sijui tuwaweke wapi?
Huna akili,timu iko nafasi ya 6 kwa rank za Caf unaichukuliaje pooKatika hizo 859 nyingi ni mchekea wababe ni wachache sana ambao ndiyo mabingwa na wengine wasindikizaji akiwemo simba
Kwahiyo Dube anacheza wapi na kazi yake ni ipi ?Kibu anacheza winga pembeni
Kwahiyo ukiwa winga hufungi?
Hivi sjmbilisi mna matatizo gani lakini?
Hebu acha kuleta mambo ya zilipendwa sawa nani aliyekwambia mpo nafasi ya 6 wakati mlishashuka kwa kucheza huko luza?Huna akili,timu iko nafasi ya 6 kwa rank za Caf unaichukuliaje poo
Dube mshambuliaji wa kati na kibu mshambuliaji wa pembeni wote kazi yao mama ni kufunga acha kutetea ujjnga weweKwahiyo Dube anacheza wapi na kazi yake ni ipi ?
Striker maana yake ni nini?na Winga maana yake ni nini?Kibu anacheza winga pembeni
Kwahiyo ukiwa winga hufungi?
Hivi sjmbilisi mna matatizo gani lakini?
Sisi tuwekeni na simba tunashenyete kama kawaida yetuTuweke na Tabora
utopolo bana hamlali!I salute you kinsmen
Hawa Waarabu hapa wamewasha moto wa hatari sana kiasi kwamba naogopa team ya simba itaenda kutia aibu kubwa sana taifa siku zijazo maana wapo kundi moja.
Kutokana na tia maji tia maji ya Simba kama walivyocheza leo basi taifa linakwenda kupata aibu kubwa kuwahi kutokea week chache tu zijazo amini nawaambia.
Simba bado sana na wajipange sana hata hivyo uwezo wao mdogo sana kuweza kufanya vizuri mashindano haya ya luza.
Jipangeni ndugu zangu
Kumbe huna akili eti babu eeh?Striker maana yake ni nini?na Winga maana yake ni nini?
Sisi hatuna shida na wengine tunamtaka mywetu simba basi tumleAcheni kubishana na hawa waliofungwa mechi tatu mfululizo madishi yameyumba😄😁
Kweli Manara alikuwa sahihi, nyie hamnazoDube mshambuliaji wa kati na kibu mshambuliaji wa pembeni wote kazi yao mama ni kufunga acha kutetea ujjnga wewe
Nyie kwa sasa ni level za Tabora, na Namungo atawamanuaSisi tuwekeni na simba tunashenyete kama kawaida yetu
Tulale nini lazima tuseme ukweliutopolo bana hamlali!
Labda kama umelewa ila kama una akili timamu huwezi kuwa mjinga kiasi hicho soka limebadilika sana umekariri winga ya kizamani utakuwa muhenga weweKweli Manara alikuwa sahihi, nyie hamnazo
Sawa lakini sisi tunamtaka my wetu simba tumle tabu iko pale paleNyie kwa sasa ni level za Tabora, na Namungo atawamanua
Sijadiliani tena na wewe,wenye akili ni wawili na wewe haumo.Kumbe huna akili eti babu eeh?
Sikuhizi Morden football winga ni mshambuliaji anayetoka pembeni naye..!
Humuoni Raphinha na kina lamine? Wanacheza wapi?mbona wanafunga?
Yaani simbilisi mnatia aibu sana jamani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wapumzishen utopolo mtawauwa bure.Mashabiki wa utopolo ni kama fyuzi zimelegea kwenye ubongo tangu vipigo vilivyofuatana