Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna hoja wewe simbilisi umezidiwaSijadiliani tena na wewe,wenye akili ni wawili na wewe haumo.
Imagine mechi ikiisha hadi makomando wao wanawapiga mashabiki wao wanaohojiwa na vyombo vya habari pale nje ya kwa mkapa hawataki kuona mashabiki wao wanakosoa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wapumzishen utopolo mtawauwa bure.
Aise nakuunga mkono hawajamaa kwasasa wamevurugwa.
Badala waangalie timu yao wanamuwazia simba mwenye point
Hao ndio gongowazi original.Imagine mechi ikiisha hadi makomando wao wanawapiga mashabiki wao wanaohojiwa na vyombo vya habari pale nje ya kwa mkapa hawataki kuona mashabiki wao wanakosoa
Namungo wanawashenyenta tena.I salute you kinsmen
Hawa Waarabu hapa wamewasha moto wa hatari sana kiasi kwamba naogopa team ya simba itaenda kutia aibu kubwa sana taifa siku zijazo maana wapo kundi moja.
Kutokana na tia maji tia maji ya Simba kama walivyocheza leo basi taifa linakwenda kupata aibu kubwa kuwahi kutokea week chache tu zijazo amini nawaambia.
Simba bado sana na wajipange sana hata hivyo uwezo wao mdogo sana kuweza kufanya vizuri mashindano haya ya luza.
Jipangeni ndugu zangu
Wewe mbona simba wamefunga acha hizoI salute you kinsmen
Hawa Waarabu hapa wamewasha moto wa hatari sana kiasi kwamba naogopa team ya simba itaenda kutia aibu kubwa sana taifa siku zijazo maana wapo kundi moja.
Kutokana na tia maji tia maji ya Simba kama walivyocheza leo basi taifa linakwenda kupata aibu kubwa kuwahi kutokea week chache tu zijazo amini nawaambia.
Simba bado sana na wajipange sana hata hivyo uwezo wao mdogo sana kuweza kufanya vizuri mashindano haya ya luza.
Jipangeni ndugu zangu
Huna akiliLabda kama umelewa ila kama una akili timamu huwezi kuwa mjinga kiasi hicho soka limebadilika sana umekariri winga ya kizamani utakuwa muhenga wewe
Al hilal waliweka kikosi Chao cha ukweli ile x1 yenyewe
Wewe mpuuzi haswa. Orapa United timu iliyofungwa 6 ni ya ngapi kwenye ligi ya Botswana?Alifungwa Galaxy bingwa wao goli 6 wewe unashangaa timu ya 7 kufungwa 6USM ALGER ameshampiga mtu 6 uko na kwa mpira huu wanaocheza simba wajiandae kwa kweliii watatia aibu taifa 🤣
USM ALGER ameshampiga mtu 6 uko na kwa mpira huu wanaocheza simba wajiandae kwa kweliii watatia aibu taifa 🤣
Angalau wewe ndiyo mtu mwenye akili kidogoUSM ALGER ameshampiga mtu 6 uko na kwa mpira huu wanaocheza simba wajiandae kwa kweliii watatia aibu taifa 🤣
Kwa hiyo Ulitaka aseme mna point ndio iwe argument ya kikubwa? Mmechamganyikiwa na vipigo sio bureArgument za kitoto sana
Hajafunga goli la Kwanza na Tripoli alifunga Dube?😃😃Viwango vimeshuka kwa na pia yanga hii bii iliyowagonga miaka karibu minne.
Yaani mashabiki wa Simba huwa mna utoto sana .
Kibu ametimiza mwaka hajafunga je kiwango chake kimepanda eeh?
Akili mtu wangu
Zilipendwa? Hiyo ni currentHebu acha kuleta mambo ya zilipendwa sawa nani aliyekwambia mpo nafasi ya 6 wakati mlishashuka kwa kucheza huko luza?
Hebu kaangalie vizuri tena
Ukatoboa kwenda,wapi wewe????Ndiyo shida yenu hamtakagi kuambiwa ukweli
Sasa yanga wao wako vizuri sana unadhani yanga angecheza na wachovu mliocheza nao si hao waangola wangetandikwa hata 6?
Al hilal waliweka kikosi Chao cha ukweli ile x1 yenyewe
Halafu sasa sisi tulishapangwa mpaka kundi moja na ahly ahly na bado tukatoboa kumbuka mechi ya kwanza na CRB walitufunga tena 3 kwao kule .
Simba msimu huu ya kinyonge sana msije aema sikuwaambia
Hao Bravo wamewatoa Coastal Union ambao nyie mlibebwa kwa goli la offside la Baleke,umepigwa 3 na Tabora ndio uje kuwafunga Bravos?Umefungwa na wakimbimbizi nyumbaniNdiyo shida yenu hamtakagi kuambiwa ukweli
Sasa yanga wao wako vizuri sana unadhani yanga angecheza na wachovu mliocheza nao si hao waangola wangetandikwa hata 6?
Al hilal waliweka kikosi Chao cha ukweli ile x1 yenyewe
Halafu sasa sisi tulishapangwa mpaka kundi moja na ahly ahly na bado tukatoboa kumbuka mechi ya kwanza na CRB walitufunga tena 3 kwao kule .
Simba msimu huu ya kinyonge sana msije aema sikuwaambia