Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Kwani bomani si ni ndoa? Ndoa maana yake ni muunganiko wa "kisheria" unaotambulisha kuwa hawa ni mme na mke na wanakuwa na cheti. Cheti kinatolewa na serikali hata kama ndoa ya kanisani/msikitini/bomani. Kanisani tunatafuta "baraka" za huyo unayemwabudu aingilie kati na kuwalinda/kuwabariki. Usipofanya hivyo shetani anachukua usukani!Ndio maana mimi ikiwezekana nitampanga bibie tukamalizie mambo bomani, asubuhi tunaenda zetu bomani tukitoka tunapita KFC kupata kuku na coke kubwa then tunaenda beach kuogelea, tunarudi home kulala.
Kesho yake Tunaingia zenji siku 3. Sherehe na honeymoon inakua imeisha hivyo.