Kwa mparaganyiko huu wa ndoa, sitaki tena kusikia wala kupokea kadi ya mchango wa harusi tena

Kwani bomani si ni ndoa? Ndoa maana yake ni muunganiko wa "kisheria" unaotambulisha kuwa hawa ni mme na mke na wanakuwa na cheti. Cheti kinatolewa na serikali hata kama ndoa ya kanisani/msikitini/bomani. Kanisani tunatafuta "baraka" za huyo unayemwabudu aingilie kati na kuwalinda/kuwabariki. Usipofanya hivyo shetani anachukua usukani!
 
Mimi ya mshikaji wangu imedumu miezi 3 jana kila MTU kaelekea njia yake!
 
Reactions: G4N
Pokea 🌺💐🪷🪻🌷⚘️🌹🌻yako hela zao za maagano, na macho yao ya husda hiyo ndoa haitoboi
 
Rafk angu wa karibu sana ....amefunga ndoa kesho asubuh ilibd tuende hospital kumchek mgonjwa fulan wa muhim sana....tulipotoka hospital jamaa akaenda kula mzgo mchepuko...jamaa alifunga ndoa ya gharama ya KIJESHI ... Kwakwel KATAA NDOA..
Nb: alisahau kadi ya benk so hela ya lodge nlitoa mm ..
 
Ex ni janga la kimataifa mkuu

Ex hawaepukiki. Maana siku hizi tunachelewa kufunga ndoa kwa sababu kibao.

Huwezi kuoa binti wa miaka 28 ambaye hana X zake.

Na huwezi kuolewa na mwanaume wa miaka 28 ambae hana X zake.

Imagine hao wa miaka 28 ndio wanaonekana wamewai kuolewa ama kuoa.


Ndoa nyingi siku hizi maharusi wanakuwa above 30.

Je kuna mtu wa hizo age ambaye hana ma X wake ?

Ukitaka kuoa mwanamke ambaye hana X zake. Muwai umuoe akiwa na miaka 18, ama 20
 
Sijabisha isome tena hiyo comment
 
Maana yangu ni kwamba nataka kitu simple.
 
This makes sense unajua. Kiukweli ndicho kinachotokea.
 
This makes sense unajua. Kiukweli ndicho kinachotokea.
Kabisa mkuu. Haiwezekani watu waishi kwa amani wakati wa sogea tukae miaka hata 8. Wakifanya tu harusi migogoro inaingia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…