Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Kwani bomani si ni ndoa? Ndoa maana yake ni muunganiko wa "kisheria" unaotambulisha kuwa hawa ni mme na mke na wanakuwa na cheti. Cheti kinatolewa na serikali hata kama ndoa ya kanisani/msikitini/bomani. Kanisani tunatafuta "baraka" za huyo unayemwabudu aingilie kati na kuwalinda/kuwabariki. Usipofanya hivyo shetani anachukua usukani!Ndio maana mimi ikiwezekana nitampanga bibie tukamalizie mambo bomani, asubuhi tunaenda zetu bomani tukitoka tunapita KFC kupata kuku na coke kubwa then tunaenda beach kuogelea, tunarudi home kulala.
Kesho yake Tunaingia zenji siku 3. Sherehe na honeymoon inakua imeisha hivyo.
Mimi ya mshikaji wangu imedumu miezi 3 jana kila MTU kaelekea njia yake!Yaani ndoa inadumu muda mfupi kuliko hata ule uliotumika kwenye vikao??
Kuna haja ya watanzania kubadilika ktk suala hili la sherehe za harusi. Tafakari ya kina ifanyike ili tuchukue mwelekeo mpya.
Watu wafunge ndoa kwenye nyumba za Ibada na baada ya hapo waelekee majumbani mwao na siyo kwenda kwenye kumbi kufanya maigizo ya kujifaharisha.
Mnafanya maonesho ukumbini ya fahari kubwa na kujifanya mna furaha kubwa kumbe watu wenyewe hata hampendani.
Kuna ndoa nimechangia laki 2 zangu lkn imedumu siku 21 tu.
Dompo kubwa!Kuna ndoa nilichangia kwa kujinyima laki moja na hamsini ikadumu wiki mbili nilituma mtu akaawambie wanirudishie japo elfu 50,000/= nikanunue dompo
Ex ni janga la kimataifa mkuuwatu wana ma X zao ila wanaolewa na watu wengine ama kuoa watu wengine
baaada ya kufunga ndoa wanafumaniwa wakiwa na ma X wao.
Pokea 🌺💐🪷🪻🌷⚘️🌹🌻yako hela zao za maagano, na macho yao ya husda hiyo ndoa haitoboiKupiga parange kutaka hela za watu wakuchangie harusi unakaribisha manuksi, mikosi na mabalaa. Wengine hela zao za mashetani alafu unachukua kuchangia tendo takatifu la ndoa?? Unamkaribisha shetani kwenye ndoa yako! Usihusishe watu wasio wa muhimu katika ndoa yako hasahasa kutaka hela zao! Lipa mahari, pata ridhaa ya wazazi, nenda kanisani au serikalini (tendo la kisheria la umiliki wa mwenza) chukua mkeo nenda nyumbani! Hao unaowahusisha na kula hela zao wengi wachawi!
Ex ni janga la kimataifa mkuu
Sijabisha isome tena hiyo commentEx hawaepukiki. Maana siku hizi tunachelewa kufunga ndoa kwa sababu kibao.
Huwezi kuoa binti wa miaka 28 ambaye hana X zake.
Na huwezi kuolewa na mwanaume wa miaka 28 ambae hana X zake.
Imagine hao wa miaka 28 ndio wanaonekana wamewai kuolewa ama kuoa.
Ndoa nyingi siku hizi maharusi wanakuwa above 30.
Je kuna mtu wa hizo age ambaye hana ma X wake ?
Maana yangu ni kwamba nataka kitu simple.Kwani bomani si ni ndoa? Ndoa maana yake ni muunganiko wa "kisheria" unaotambulisha kuwa hawa ni mme na mke na wanakuwa na cheti. Cheti kinatolewa na serikali hata kama ndoa ya kanisani/msikitini/bomani. Kanisani tunatafuta "baraka" za huyo unayemwabudu aingilie kati na kuwalinda/kuwabariki. Usipofanya hivyo shetani anachukua usukani!
Una kahawa huko ndani, hebu niletee nipate kusukutua kinywa wakati tukiongea.Ngoja nitandike mkeka hapa...haya tuje tusogoe wanajamvi....
Kabisa..na vikashata viko hapa basi nakuletea sasa hivi sheikhUna kahawa huko ndani, hebu niletee nipate kusukutua kinywa wakati tukiongea.
This makes sense unajua. Kiukweli ndicho kinachotokea.Kuna mzee mmoja jirani yangu huwa anatoa nadharia hii. Anasema harusi ndiyo inakaribisha ulozi, mikosi na mabalaa mbalimbali. Anatolea mfano kwa kusema kuwa utakuta watu wameishi kinyumba kwa miaka hata 5, lkn wakifunga ndoa na kufanya harusi tu migogoro inaanza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leta hapaKabisa..na vikashata viko hapa basi nakuletea sasa hivi sheikh
Kabisa mkuu. Haiwezekani watu waishi kwa amani wakati wa sogea tukae miaka hata 8. Wakifanya tu harusi migogoro inaingia.This makes sense unajua. Kiukweli ndicho kinachotokea.